Kila mwanamke anatamani mwanaume anaempa solutions

Kila mwanamke anatamani mwanaume anaempa solutions

Women are created to receive, wewe endelea kulala usingizi wa pono, you build her a house she will give you a baby, wanawake wameumbwa kupokea, ukimjengea nyumba anakupa watoto, nyie mnasema anakuzalia watoto tena wengi tu
Jifunze kuwajibika kijana, tatizo wavulana mmekua wavivu na mmezowea "malezi".
Kwa taarifa yako hakuna mwanaume anae miliki nyumba, bali ni mke ndie mwenye nyumba na mume ni mwenye kaya.
Shida yenu mnalazimisha mapenzi, na mnaogopa kuvunja ndoa ama mahusiano kwasababu "eti watu watasema" bladi hell....🤨
 
Sasa nitafanyaje hapa maana mimi napenda kutawala mke wangu na kupiga wanawake.
Mke anatawaliwa na mwanaume yes, lakini ukiona unampiga basi heri umuache ili usije ingia makwenye matatizo.
Binafsi naamini kwamba....
Hata mwanaume awe mkali kama simba, lakini mke akiwa mtii kwake basi mwanaume lazima atakua mpole tu.
 
Wavulana wengi wanafikiri eti.....

Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣

Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜

Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️
Umeandika kitu kizuri hatari
 
Nimekusubiri reaf one, kwa ghafla ghafla nimeamua niondoke zangu. 😂😂😂 Nilitaka tujadili hili kwa mapana.
 
Jifunze kuwajibika kijana, tatizo wavulana mmekua wavivu na mmezowea "malezi".
Kwa taarifa yako hakuna mwanaume anae miliki nyumba, bali ni mke ndie mwenye nyumba na mume ni mwenye kaya.
Shida yenu mnalazimisha mapenzi, na mnaogopa kuvunja ndoa ama mahusiano kwasababu "eti watu watasema" bladi hell....🤨
Soma na kuelewa nilicho andika utanishukuru, after all am aged than you my first born daughter was born in 1989, being addressed as councillor before her names
 
Soma na kuelewa nilicho andika utanishukuru, after all am aged than you my first born daughter was born in 1989, being addressed as councillor
Sina haja ya kukushkuru boss, by the way....
Ebu naomba huyo binti yako nimuweke geto alafu atakupa feedback bladi hell...🤨
 
Wavulana wengi wanafikiri eti.....

Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣

Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜

Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️
Quite the contrary, wanawake HAWAPENDI "solutions" they want "Support&Empathy"

Iko hivi mfano, mwanamke anapokwambia "mme wangu leo nimeteseka na usafiri foleni zilikuwa hata haziendi" kwa kawaida sisi wanaume ni watu efficient sana, so majibu/solutions zetu zita-base sio kweny sympathy but kweny efficiency, mostly utamsikia mwanaume anajibu "Bac kama hivo uwe unawahi kuamka mapema alfajiri, alaf usiwe unapita hio route, tumia route nyingine" bac unamkuta mwanamke anasinyaa, ananuna, ananyamaza, hapo unabaki unawaza nimefanya kosa gani?? Kosa ni moja tuu kweny solutions zako hujaweka "support&Empathy".

Mfano mzuri ungejibu kama hivi, "Polee mke wangu, hizi foleni zinazingua sana yaan sio leo tuu wiki nzima, daah leo umeteseka sana, ebu kaoge upumzika mapema".....sasa hili jibu ndo zuri kwa mwanamke kwasababu huja-expose weakness zake na umemfanya ajione kama "victim" ambaye hana kosa. (wanawake wanapenda sana kuonekana wao ndo wanaonewa).

So kumbuka kweny solutions zako, tia support&Empathy, atakupenda hadi bac.
 
Acha kujipa umuhim kweny maisha ya watu, Toa hela kula Mali sepa , solutions atajuana yey na ndugu zake😅😅
 
Wewe endelea kumpa solution wengine wampe pesa ,iko siku utakuja kutoa ushuhuda hapahapa
 
Mapenzi ni pesa Mr ushimen, mwanamke anapenda through fantasy, ukiwa na pesa na viujanja flani ujue unaweza kupendwa na mwanamke yoyote. Msimamo pekee hautoshi, you will scare many birds away along the journey, sema msimamo unatosha kukufariji mwenyewe pindi ndege wamepeperuka.
 
Mapenzi ni pesa Mr ushimen, mwanamke anapenda through fantasy, ukiwa na pesa na viujanja flani ujue unaweza kupendwa na mwanamke yoyote. Msimamo pekee hautoshi, you will scare many birds away along the journey, sema msimamo unatosha kukufariji mwenyewe pindi ndege wamepeperuka.
So....
Unaamini kwamba bila pesa hakuna upendo na mwanamke hawezi akakupenda kama hauna pesa right..🤔
 
Back
Top Bottom