Jifunze kuwajibika kijana, tatizo wavulana mmekua wavivu na mmezowea "malezi".Women are created to receive, wewe endelea kulala usingizi wa pono, you build her a house she will give you a baby, wanawake wameumbwa kupokea, ukimjengea nyumba anakupa watoto, nyie mnasema anakuzalia watoto tena wengi tu
Mke anatawaliwa na mwanaume yes, lakini ukiona unampiga basi heri umuache ili usije ingia makwenye matatizo.Sasa nitafanyaje hapa maana mimi napenda kutawala mke wangu na kupiga wanawake.
Umeandika kitu kizuri hatariWavulana wengi wanafikiri eti.....
Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...π€£
Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...π
Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...βΉοΈ
π π π π niko hapa JF muda huuAsante mkuu...π
Kwani ukwapi..π
Soma na kuelewa nilicho andika utanishukuru, after all am aged than you my first born daughter was born in 1989, being addressed as councillor before her namesJifunze kuwajibika kijana, tatizo wavulana mmekua wavivu na mmezowea "malezi".
Kwa taarifa yako hakuna mwanaume anae miliki nyumba, bali ni mke ndie mwenye nyumba na mume ni mwenye kaya.
Shida yenu mnalazimisha mapenzi, na mnaogopa kuvunja ndoa ama mahusiano kwasababu "eti watu watasema" bladi hell....π€¨
Sina haja ya kukushkuru boss, by the way....Soma na kuelewa nilicho andika utanishukuru, after all am aged than you my first born daughter was born in 1989, being addressed as councillor
Speaking I'll, will not help you in life,it is unbecoming behaviorSina haja ya kukushkuru boss, by the way....
Ebu naomba huyo binti yako nimuweke geto alafu atakupa feedback bladi hell...π€¨
The world π has life learning skills, thus, we are here to share experiencesDo you think I need help..π€
Bladi hell...π
Weee, ChakaπππHaiombwi hivyo
SuvannalahSasa nitafanyaje hapa maana mimi napenda kutawala mke wangu na kupiga wanawake.
Quite the contrary, wanawake HAWAPENDI "solutions" they want "Support&Empathy"Wavulana wengi wanafikiri eti.....
Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...π€£
Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...π
Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...βΉοΈ
So....Mapenzi ni pesa Mr ushimen, mwanamke anapenda through fantasy, ukiwa na pesa na viujanja flani ujue unaweza kupendwa na mwanamke yoyote. Msimamo pekee hautoshi, you will scare many birds away along the journey, sema msimamo unatosha kukufariji mwenyewe pindi ndege wamepeperuka.