Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Ningepata bahati km yako ningefurahi sana maana wadada wanavyo nisumbua hadi kero
 
Usikurupuke,mzoee binti,mwoneshe heshima kuwa unamheshimu,unamjali.

Mkaribishe kwako,mpikie hata kama ni chai.Usiwe na pupa ya papuchi akija,pigeni story akiaga mpe 500 ya nauli aende.

Next time atakuuliza upo wp?atakuja utamwomba umshike bega ataupeleka mkono wako kwny matiti mwenyew then then then theeeeen!
 
Utakuwa na kiba 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…