Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa


Je wao wakikutongoza unawakubalia?
 
Hujui kutongoza mkuu, haiwezekan kwa hili ya kawaida wanawake wawil wakukatae, yani Joan akukatae uende kwa Prisca nae akatae? Itakua unafeli kwenye kutongoza
Nafail kutongoza kivipi,kwani kutongoza si kumuelezea mtu hisia zake au nyie mnafanyaje?mnachomoaga betri au
 
Bachelor degree toka jalalani,utakuwa huna hela,hufungui walet. kwahiyo unataka kutuambia hata vyuoni hujawahi kuosha rungu na ma mates''vyuoni totoz'
Mkuu nishasema nimetumia mbinu zote mpaka ya kufungua walet ila hamna kitu
 
Mmhhhh pole sana. ....wewe unadhani una tatizo gani labda? ?? Jiasses kwanza make pesa unayo muonekano fresh...kitandani je? ?? Usafi wa nje? ???


Cc Smart911
Nimefanya assessment ya kutosha kitandani niko fire,pesa kimtindo,muenekano wa nje na ndani naamini mzuri
 
Duh bado kuna vijana wanahangaika kutongoza akat kuna wadada wanahangaika kutongoza [emoji44][emoji44][emoji44]
 
mimi sina hizo sifa mkuu
 
Duh bado kuna vijana wanahangaika kutongoza akat kuna wadada wanahangaika kutongoza [emoji44][emoji44][emoji44]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…