Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Naunga mkono hoja
 
Hongera sana, naona mizimu yenu inakulinda na mikosi na maradhi. Ebu fikiria hao 35, ulikwisha kutongoza wote wangekuwa wamekukubalia, unadhani ungekuwa hai, salama? Tayari unaye mwanamke (jini mahabati) anayefanya yote yawe hivyo. Ukiona uendelee na tamaa basi: kaoge maji ya mdarasini na pilipili manga; nitafute kwa maelezo ya kina.
 
Weka picha tuone ndg usije ukawa umebeba mguu wa mtoto huko kunako .
 
Yes na hauwez kulenga ndege mia tano ukamkosa kujeruhi hata mmoja..

Ukilenga wachache ndio huwez pata.. Yaani miaka miwili wanawake 35.

We sio mtongozaji kabisa mamamame...
Wakati iyo ilitakiwa iwe idadi ya wanawake ambao uliwaingilia kinyume na maumbile...

Makadirio ya chini kwa bachelor unatakiwa utongoze wanawake 14 per week.. Wakukubali 10, upige 7, uwakatae 3 kwa ajili ya kujijengea credit we mwenyewe.

Sasa we hesabu zako ziko chini kabisa.. Speed yako ya kutongoza ni ndogo saana kama vile unatembea na mkeo mitaani
Nimepost ili nipate msaada,ila nitajaribu hiyo 1 per day wakifika 500 wote kapa nitafanya kitu
 
Duuh,
 
Mimi natamani ningekuwa wewe , yaani kila binti nimtongozae na marafiki wa kike hakatai mtu . Naogopa hata kuwa na marafiki wa kike . NATAMANI NINGEKUWA KAMA WEWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…