Kila mwanamke ninayetembea naye uolewa; nina nyota ya ndoa nimesaidia wengi waliokata tamaa

Mkuu kama marketing strategy yako itawork out utatafuna sana masingle maza ya humu...wapo kibao ukifanikiwa kujua majina wanayotumia TikTok na insta utawaona wapo na watoto wao wanaimba gospel
 
Team kataa ndoa mmeshasikia na kujua huyu ni wa kumkimbia asiwakaribie.

Akiwakaribia tu ndoa hihaaa 🤣🤣🤣
 
Acha kujipakulia minyama wakati walikuwa atembei ma wewe pekee.
 
Walah Mimi uyo yaan hata akiwa na mtoto haipiti miezi Miwili aiseeh😂😂 anaolewa na mahari inatolewaaa😂😂🙌🏿, Girls Zaid ya 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…