Haya maswali mbona ni ya chekechea? [emoji23][emoji23][emoji23]Kitendo gani ni uzinzi na kipi sicho na unatumia basis Gani kudefine
🤣🤣 Tumerudi kule kule...bac assume me ni mhindu...dini yangu ni Hinduism...haya uzinzi ni niniHaya maswali mbona ni ya chekechea? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wewe kanisani hauendi, msikitini hauendi then unataka kujadiliana maswala ya MUNGU, hebu acha mizaha.
Nikajua nimeona mwenyewe tu kumbe tupo wengi, Mzee wa Logical Fallacy kakalishwa leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mr much know leo kalivagaa!!
Wameelezea kwenye vitabu vyao. Hakuna dini ambayo haijafafanua uzizi ni kitu gani, sasa wewe hausomi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Tumerudi kule kule...bac assume me ni mhindu...dini yangu ni Hinduism...haya uzinzi ni nini
Jibu swali... Usiassume...jibu we si much know... society police...jibu...Wameelezea kwenye vitabu vyao. Hakuna dini ambayo haijafafanua uzizi ni kitu gani, sasa wewe hausomi[emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi mzee sema nilipokalishwa? [emoji848]Nikajua nimeona mwenyewe tu kumbe tupo wengi, Mzee wa Logical Fallacy kakalishwa leo
Si ndio nashangaa. Umalaya sijui wanafanya na hao hao mwanaume, kwa hiyo ke wasilaumiwe. Yaani huyu ana chuki binafsi na wanawake.Kuna swali moja nalikumbuka "unapo muita yule malaya jinsia fulani kwani anafanya na mtu asiyekuwa malaya mwenzake"
🤣Imani yangu ni upendo....Nitakujibu kwa mujibu wa beliefs zako, wewe umeshika mfumo gani wa imani tuanzie hapo kwanza? [emoji848]
Kwanini usubiri ukatili ufanyike ndipo ndoa ivunjwe badala ya kubadili sheria ndoa ziwe za mkataba ili kama mkishindanwa mkataba unavunjwa na wanandoa wenyewe badala ya kuisumbua mahakama?Sijui umeongea nini mzee. Mwanamke anaoa vipi? Halafu kama haujui uwe unauliza, mwanamke au mwanaume akifanyiwa ukatili ndoani serikali huwa na mamlaka ys kuvunja ndoa, so sheria ipo ni wewe tu haujui unachoongea. Hebu nenda kalale kama hauna hoja.
Hapo kwenye dini futa weka Uislamu.🤣Mnajua nyie watu ndo mnafanya dini ionekane imeundwa na mwanaume kwa ajili ya mwanaume....mara mwanaume akitaka apewe, mara mwanamke asionekane ngozi mwanaume atadisa...dini imetengenezwa kucontrol watu wasio na nguvu including wanawake. Cha kufanya ni kuwekeana mipaka na watu unaowajali na kuwafundisha maadili. Sio unaanza kukamia watu...je we ni bikra? Umeoa bikra? Hutamani wanawake mitandaoni? Sasa mna tofauti Gani. Tatizo wanaume tunapenda kuweka vigezo ambavyo sisi wenyewe hatupendi kufata na tukiambiwa tunakimbilia dini
Hizo ndo kauli zenu nyie wamama wa kisasa na hii madam inawahusu.Watanzania ni watu wa kupenda kupangia wengine maisha na kutaka kuwa washauri na wasemaji wa maisha ya wengine.!!
Hakuna mwanamme mjinga anayeweza oa mwanamke type Yako, hapa unajifariji tuu.Mimi ndiye nilikataa kuolewa na hao wanaume
Ndoa ni lengo langu la 3 baada ya kukamilisha malengo yangu 2
Ndoa sio kila kitu kwa kila mwanamke
Ndoa ni muhimu lakini sio ya Lazima..!