Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Unaandikaga vya maana ila hpa
umeandika rubbish.

Mimi ni mwanamke wa kisasq ila sijawahi kutamani upuuzi hata mmoja kwenye hio list yako.

Huyo unayemuongelea ni malaya mchafu mchafu wa Manzese coz hata malaya classic hawezi kufit hapo.

Heshimuni wanawake nyie viumbe.Kila saa kujifanya mko lab. mmegundua jambo jipya kutuhusu.
Dada mkubwa umemaliza, nilitaka nimjibu hivi huyu Zemanda naona umeniwakilisha kwa comment yako.!!
Tatizo hajui kutofautisha mwanamke wa kisasa na malaya walioamua kuboresha umalaya wao.!!
 
Before sija submit kwa Kevin apprenticeship program, nilikuwa nipo upande huu huu, na yeye amekuwa ni role model kwa kutembea lane niliyopo.

Nachotaka kusema ni kabla sijakutana na Kevin, mimi nilikuwa hivi hivi na ideologies zangu. Huwezi tu amka overnight una ufahamu wa mambo fulani sababu umesikiliza mtu fulani.
Sasa kwanini ukachukua apprenticeship?

Sikatai kwamba hao online gurus wanaweza kusaidia watu, lakini mara nyingi wapo kimaslahi zaidi, wanapiga pesa. Na mimi sishauri uamini mtu mwenye kitu cha kukuuzia.

Haya mambo yako ya simps, sijui sexual market value, hoe phase.... hayapo kama unavyofikiria. Kumbuka mitandao inakuza sana mambo na sio kila lisemwalo ni sheria
 
Ningeolewa nikiwa na miaka 19
Ningeolewa nikiwa na miaka 21
Ningeolewa hata mwaka huu
Na bado umri wangu unaniruhusu kukaa miaka mingine 7 mbele bila pressure ya ndoa

Kwa dunia ya sasa hivi wanawake wengi ndoa si kitu kwao na ndio maana ndoa zinavunjika sanaa
The bad thing ni kua inawezekana toka ulipo na miaka 19 unagongwa na wanaume hovyo hovyo,unadhani ni easy huyo mwanaume unayesema wa level yako kuoa mwanamke used?,
Ila kama toka una miaka 19 haugongwi,yes upo sahihi,ndoa haina maana kwako
 
The bad thing ni kua inawezekana toka ulipo na miaka 19 unagongwa na wanaume hovyo hovyo,unadhani ni easy huyo mwanaume unayesema wa level yako kuoa mwanamke used?,
Ila kama toka una miaka 19 haugongwi,yes upo sahihi,ndoa haina maana kwako
Sasa nagongwa mimi huku Lindi! wewe huko Dar unaumia
Acha hizoo!!😉
 
Katika maisha ya mwanamke wa kisasa, kuna stage imekuwa introduced inaitwa "Hoeing phase". Hii ni stage ambapo mwanamke anakuwa anataka kuwa huru kufanya yale yote ambayo jamii imekemea mwanamke kufanya au yale yote vitabu vya MUNGU vimepiga marufuku ili ajisikie kuwa ameishi kwa utimilifu maana bila kufanya hivyo maisha hayajakamilika kwake.

6. Kumkana MUNGU kwa matendo na kumkiri shetani kama kiongozi wa nafsi kwa usiri na kwa hiyari.
Unaweza kuthibitisha hii kauli yako?
 
Sasa kwanini ukachukua apprenticeship?

Sikatai kwamba hao online gurus wanaweza kusaidia watu, lakini mara nyingi wapo kimaslahi zaidi, wanapiga pesa. Na mimi sishauri uamini mtu mwenye kitu cha kukuuzia.

Haya mambo yako ya simps, sijui sexual market value, hoe phase.... hayapo kama unavyofikiria. Kumbuka mitandao inakuza sana mambo na sio kila lisemwalo ni sheria
Wanawake wa tiktok wanamchanganya anatujumlisha wote.!!
 
Usagaji hauna impact ya madhara ya kudumu maisha yote ni sehemu ya mwanamke kupandisha mizuka ya kingono tu ila mwisho wa siku akishazaa na kupata watoto usagaji sijui huwa unakimbiliaga wapi.

Ni bora mwanamke kuwa msagaji kuliko kuingiliwa kinyume na maumbile. Usagaji akishazaa anaweza kuacha maana life la familia litamtoa kwenye akili za kungonoka.

Ila akiliwa kinyume na maumbile ile physical damage ya njia ya haja kubwa itamletea madhara ya maisha yote.
Kuna Acc moja insta ya mbele ina potosha jamii kwa kupinga nadharia yako hiyo...inadai kuwa anal sex in a proper way they cant destroy you in any condition
 
Utapomaliza kuongea ujinga na kunitukana uniambie tujenge hoja. Upo 21st century unataka umtunze mtu ambae tokea la saba katolewa bikra na boda boda...at chuo ana maisha mazuri kuliko mwanaume wa miaka 25...unataka umwambie nini...ndo maana nasema haya maisha kila mtu ashinde mechi zake pambana na uliyowazaa
Yeye kuwa hivyo ina uhusiano gani na anayo yatenda ambayo yanaidhoofu jamii.
 
Maadili yaangaliwe both sides.. sio mtu anasema hoo wanawake Malaya afu ye anaenda bar kila weekend kulala na bar maids
Kama umeliona hilo mbona haufungui uzi kukemea wanaume wanakwenda Bar kulala na ma Barmaid?

Yaani unasubiria uzi wa kuponda matrafiki wala rushwa ili uanze kuwasema madereva wazembe barabarani?

Kwann usianzishe mjadala wa wanaume wanaokwenda Bar kula wahudumu? [emoji848]

Ukiona umeshindwa kufanya jambo jua hauna hoja za kulianza.
 
Back
Top Bottom