Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Hapo kwenye dini futa weka Uislamu.
Hata ukristo...kwenye bible eti ukimbaka mwanamke unatakiwa utoe mahari unamuoa... mwanamke akibakwa afu hajapiga kelele kuskika na watu, mtaa mzima unawapiga mawe kama wezi...
🤣Kuna mistari mungu anaamuru waisraeli wachukue kila kitu waue watu wote isipokuwa wanawake bikra wawachukue wafanye wanavyotaka...
Bro usinifanye niendelee
 
Hata ukristo...kwenye bible eti ukimbaka mwanamke unatakiwa utoe mahari unamuoa... mwanamke akibakwa afu hajapiga kelele kuskika na watu, mtaa mzima unawapiga mawe kama wezi...
🤣Kuna mistari mungu anaamuru waisraeli wachukue kila kitu waue watu wote isipokuwa wanawake bikra wawachukue wafanye wanavyotaka...
Bro usinifanye niendelee
Kwenye uislamu wanawake wanapewa zawadi gani wakifika mbinguni ?
 
Ooh sijajua kwanini umeamua kutumia mfano huu wa kifaa ambao mostly muundo wake ni wakibiashara so the more kinavyotumika ndio the more kinavyopoteza ufanisi so probably siwezi kununua kifaa used kwa bei sawa na ya dukani wakati najua tayari kimeshatumika sana so ufanisi wake uko mashakani.

So mfano wako ukiuleta kwa upande huu utaingia kwenye upande wa umri maybe ila mimi sikuingia kwenye engo ya umri bali ya experience ndio maana ukiniletea dereva ambae ametoka kuhitimu pale NIT na yule ambae alishahitimu na akaifanyia kazi elimu yake kwa zaidi ya miaka kadhaa na akaanza kunihadithia ajari kadhaa ambazo aliwahi kuzipata akiwa kwenye majukumu yake basi mimi nitaenda na yeye bila kujali ya kwamba alishaangushaga gari coz naamini kwenye hizo ajari alizowahi kuzipata zimempa funzo na kumkomaza kama dereva.

Kwahiyo ni experience mkuu na sio uchakavu, coz wadada wengi wenye hizo tamaa tajwa hapo juu ni wale wa 20s ila wengi wakishaingia kwenye 30s akili zinawakaa sawa na wale wanaowahi kuolewa kwenye hiyo age ya 20s ndio huwa hawatabiriki ni lini watakengeuka kutamani kuyaishi hayo maisha tajwa hapo juu maana kuna wengine wanaweza kuacha familia zao hata 40s na wakaenda kuhangaika na maisha yanayofanywa na wajukuu zao heheheee.
Mfano uliotoa haufai kwa mwanamke, unafanya vice versa.

Mfano wa dereva mwenye experience ni mfano ambao unaofaa kwa mwanamme na mfano wa gari au simu iliyotumika unaofaa kwa mwanamke.

Mwanamme akakuwa better kwa experiences nyingi alizozipitia. Mwanamke anaharibika kutokana na experiences alizozipitia.

Wewe ukiletewa kajara na binti mbichi mwenye bikra, utamchagua nani?


Nenda kaoe mwanamke anayejiuza bar ambaye ana miaka 30+ na kambadikishe kuwa mke Bora kama utaweza.
 
Sina hata kimoja hapo kweli niko local sana natakiwa kuji establishi niwe wa kisasa.
 
Mfano uliotoa haufai kwa mwanamke, unafanya vice versa.

Mfano wa dereva mwenye experience ni mfano ambao unaofaa kwa mwanamme na mfano wa gari au simu iliyotumika unaofaa kwa mwanamke.

Mwanamme akakuwa better kwa experiences nyingi alizozipitia. Mwanamke anaharibika kutokana na experiences alizozipitia.

Wewe ukiletewa kajara na binti mbichi mwenye bikra, utamchagua nani?


Nenda kaoe mwanamke anayejiuza bar ambaye ana miaka 30+ na kambadikishe kuwa mke Bora kama utaweza.
🤣🤣🤣Kwa nini mwanamke awe simu iliyotumika...je mwanaume aliyebikra na ambae sio hawana tofauti kimaadili....acheni kutetea ujinga wenu...lyf haipo hivyo... Ka we Malaya usilazimishe wanawake wawe bikra
 
Uislamu ni dini inayomshusha mwanamke usiilinganishe na Ukristu. Kwa uliyosema hapo kuwa dini alitengenezewa mwanaume ni Uislamu na si ukristo.
Zote mbili zimetengenezewa mwanaume...amri kumi za mungu zinataja usionee wivu jirani yako na mali zake humo Kuna ng'ombe, mke, mtumwa, wote hao asa uniambie why hawajataja mme... Sio kosa lai jamii zote tumepitia hivyo ila ndo kutumia vitabu hivi kama maadili wakati ndo vinaruhusu unyanyasaji wa kijinsia, ubakaji, utumwa wa kingono, etc ... Ni upumbavu
 
Zote mbili zimetengenezewa mwanaume...amri kumi za mungu zinataja usionee wivu jirani yako na mali zake humo Kuna ng'ombe, mke, mtumwa, wote hao asa uniambie why hawajataja mme... Sio kosa lai jamii zote tumepitia hivyo ila ndo kutumia vitabu hivi kama maadili wakati ndo vinaruhusu unyanyasaji wa kijinsia, ubakaji, utumwa wa kingono, etc ... Ni upumbavu
Kwa hiyo Ulaya chimbuko la ukristo wanawake ndio wameanza kuruhusiwa kuendesha gari. Ulaya na Marekani wanawake hawaruhusiwi kusoma ? Ukristu mwanaume anaruhusiwa kuoa wanawake wanne ? Ukristu mwanaume ukifika mbinguni unapewa wanawake na nguvu ya kuwambato ?
 
Kwa hiyo Ulaya chimbuko la ukristo wanawake ndio wameanza kuruhusiwa kuendesha gari. Ulaya na Marekani wanawake hawaruhusiwi kusoma ? Ukristu mwanaume anaruhusiwa kuoa wanawake wanne ? Ukristu mwanaume ukifika mbinguni unapewa wanawake na nguvu ya kuwambato ?
Uliza ulaya walikuwa wanawafanya nini wanawake waliowahisi kuwa wachawi...uliza wanawake walipata rights za kuvote au kuown property lini...uliza Sheria za ubakaji ziliwekwa lini ...ndo maana nasema kila jamii imepitia hizi stage
 
Uliza ulaya walikuwa wanawafanya nini wanawake waliowahisi kuwa wachawi...uliza wanawake walipata rights za kuvote au kuown property lini...uliza Sheria za ubakaji ziliwekwa lini ...ndo maana nasema kila jamii imepitia hizi stage
Mimi naongelea sasa hivi siongelei zamani maana hata mada inaongelea wanawake wa kisasa. Ndio maana mpaka leo ni ngumu watu kuelewa dini kiundani. Hii yote kwa sababu watu hawajazunguka dunia, kuna dini bado zina support utumwa mpaka leo hii. Kuna dini mpaka leo shule sio muhimu, muhimu kwao ni elimu ya dini. Kuna dada mmoja huko juu aliandika ukitaka tuishi kama nchi fulani watu wataanza kubaka vitoto vya miaka sita. Ni muda wa kuangalia Ustaarabu upo wapi na ulimbukeni upo wapi ?
Umesema kila jamii imepitoa hizi stage hizo jamii ambazo mpaka leo hawajabadilika nini kinawazuia ?
 
Wapi mzee sema nilipokalishwa? [emoji848]

Nikisema lile pale ni jiwe kubwa na ni kweli kubwa, wewe ukaja ukasema mimi ni muongo, kuna mawe makubwa mikoani huko kuliko hilo ninalosema ni kubwa so it means nimesema uongo kusema ni jiwe kubwa, how is does that make my truth a fallacy? [emoji848]

So nimelist tabia na matendo pendwa wanayofanya mabinti wa kisasa na yapo tena kwa uwazi kabisa na uraiani watu wanayajua na kuyaona. Then anakuja mtu ananichallenge na kusema sio wanawake wote wapo hivyo, sasa how is that even relate with what am talking about?
Huyo nayemuongelea Sio wewe
 
Mimi naongelea sasa hivi siongelei zamani maana hata mada inaongelea wanawake wa kisasa. Ndio maana mpaka leo ni ngumu watu kuelewa dini kiundani. Hii yote kwa sababu watu hawajazunguka dunia, kuna dini bado zina support utumwa mpaka leo hii. Kuna dini mpaka leo shule sio muhimu, muhimu kwao ni elimu ya dini. Kuna dada mmoja huko juu aliandika ukitaka tuishi kama nchi fulani watu wataanza kubaka vitoto vya miaka sita. Ni muda wa kuangalia Ustaarabu upo wapi na ulimbukeni upo wapi ?
Umesema kila jamii imepitoa hizi stage hizo jamii ambazo mpaka leo hawajabadilika nini kinawazuia ?
🤣Nimekuwa dada tena kumbe
 
Si ndio nashangaa. Umalaya sijui wanafanya na hao hao mwanaume, kwa hiyo ke wasilaumiwe. Yaani huyu ana chuki binafsi na wanawake.
Unatengeneza hoja yako ambayo mjadala wake sio huu. So ningekuwa mfano nina chuki na wanawake unadhani ningeshindwa kuja kuandika uzi hapa wa namna ninavyowachukia wanawake? [emoji848] Kwasababu namuogopa nani?

Wewe ndio wale raia huku mtaani ambao wakimuona mtu mwenye gari anatembea kwa mguu mnasema amefilisika kauza gari kumbe mtu amemiss kupanda daladala.
 
Ni kama ukimpa vitabu vya CPA darasa la saba, hakuna atakachoelewa. Ndio wewe umetoka kapa si kwasababu hakuna points ni kwasababu kichwa chako hakina uwezo wa kung'amua hata moja lilioandikwa hapa sababu unaishi maisha yanayoreflect huu uchafu nilioandika.
 
Kwanini usubiri ukatili ufanyike ndipo ndoa ivunjwe badala ya kubadili sheria ndoa ziwe za mkataba ili kama mkishindanwa mkataba unavunjwa na wanandoa wenyewe badala ya kuisumbua mahakama?
Duh, so kwakusema kwann nasubiria ukatili ufanyike ndipo ndoa ivunjwe, unakuwa umemaanishaje, yaani ndoa zivunjwe kwanza halafu tusubirie ukatili wa kwenye ndoa utokee sasa utatokea wapi na ndoa zimeshavunjwa? [emoji848]

Yaani ni sawa na kusema watu wale kwanza ndipo chakula kipikwe. Sasa watakula nini na chakula hakijapikwa? [emoji848]
 
Back
Top Bottom