Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Cute Msangi

Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
79
Reaction score
226
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.

Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.

Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
 
960a64a7-daf8-42af-ab02-609b9711db7a.jpg
 
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.

Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.

Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Kwanza maoni yako ni nini juu ya simulizi ya Hakimi?
 
Asante mkuu kwa Taarifa ila hili swala lako hata bungeni wamesema lijadiliwe mwezi november ili sasa tuendelee na hili swala la hakim kwanza maana nae ametaka mgao wake kutoka kwa mwanamama maana naye si haba navyosikia anaukwasi wakutosha [emoji23]
 
Mwanaume kama huyo sikubali amuoe hata dadangu au binti yangu
jay-millions

The best comment of the year🥰🥰🥰🥰🥰

Am super exited to see that there still Gentleman out there.

People are acting like she’s screwing him over when she’s just seeking assets she’s legally entitled to..especially because she’ll probably end up with majority custody of their child


🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨
 
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.

Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.

Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Mwanaume gani anaoa nyakati hizi mkuu ni full kuzalisha tu
Screenshot_20230410-174333~3.png
 
Wanamshabikia lakini ni wachache wanaoweza hilo.

Waulize tu wale wanaofanya kazi Serikalini ni wangapi wameandika kuwa wakifa basi mrithi awe Mama yake?
Usilolijua ni kama usiku wa giza kaa kwa kutulia dawa iwa ingie vizuri
 
Back
Top Bottom