Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Hivi ni kwanini kila wanandoa wakiachana mwanamke anadai mali za mwanamme.
Si wameoana na kila mtu ana mali zake ?

Na kama mwanamke ameolewa si kesha tolewa mahari kwa wazazi wake?

Tena utakuta mwanamke ndio anadai talaka na mali.
Kuna haja ya kuirekebisha mikataba ya ndoa.
 
We nae ongea Kiswahili bana wemzungu kwani
 
TUNA

KATAA NDOA

NDOA NI WIZI

NDOA NI UTAPELI

NDOA NI ULAGHAI

NDOA NI UNYONYAJI

NDOA NI UTUMWA

NDOA NI HUJUMA

NDOA NI UBADHIRIFU WA MALI ZA MWANAUME.

KATAA NDOA.[emoji419][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…
 
πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…πŸ™…
😎😎😎😎😎😎πŸ₯ΈπŸ₯ΈπŸ₯ΈπŸ₯ΈπŸ₯ΈπŸ₯Έ
 
Wew mwanamke wa hovyo humu hujawai kutokea
🀬🀬🀬🀬🀬🀬🀬🀬🀬🀬🀬
πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…