Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Ni mbinafsi katili....anaweza kukufanyia lolote ndani coz anajua hata ukiondoka huambulii kitu.Afu ndo mseme mabinti wasisomeshwe,wasiwe na Kaz......haya binti kapoteza muda Kwa miaka mi3 na kuzalishwa juu afu kabaki maskini.MI KIUKWELI KATAA NDOA NIMEANZA KUWAELEWA.NDOA NI JEHANAMU
Wanawake hii ishu imewauma sana, nasema hv tafuteni pesa zenu wenyewe.
To yeye kula chuma hicho 😂
 
Ni mbinafsi katili....anaweza kukufanyia lolote ndani coz anajua hata ukiondoka huambulii kitu.Afu ndo mseme mabinti wasisomeshwe,wasiwe na Kaz......haya binti kapoteza muda Kwa miaka mi3 na kuzalishwa juu afu kabaki maskini.MI KIUKWELI KATAA NDOA NIMEANZA KUWAELEWA.NDOA NI JEHANAMU
Hata mwanamke ni katili mno, lengo lake lilikua kuchuma Mali ila ndio kaambulia pakavu.
Malengo hayajatimia.
 
jay-millions

The best comment of the year[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]

Am super exited to see that there still Gentleman out there.

People are acting like she’s screwing him over when she’s just seeking assets she’s legally entitled to..especially because she’ll probably end up with majority custody of their child


[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
Gentleman wa nyoko
 
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.

Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.

Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Hakimi kawavuruga sana wanawake....jamaa kapiga bonge la golden goal😂😂😂😂
 
Ni mbinafsi katili....anaweza kukufanyia lolote ndani coz anajua hata ukiondoka huambulii kitu.Afu ndo mseme mabinti wasisomeshwe,wasiwe na Kaz......haya binti kapoteza muda Kwa miaka mi3 na kuzalishwa juu afu kabaki maskini.MI KIUKWELI KATAA NDOA NIMEANZA KUWAELEWA.NDOA NI JEHANAMU
Nani kapoteza muda, hivi kumbe mnakua kwenye ndoa ili mpate kitu..msipopata mnaona mmepoteza?!!

Hakimi kaonyesha njia.
 
Nimewaza kuhusu familia zetu hizi ,unamilikisha Mali mama akavuta ghafla ........
Unamwambia mama akuandikie urithi kabla hajafa, so ukifa wewe kabla Bi mkubwa anakula hela, akifa yeye kabla nakula urithi ambao sidhani kama unagawanywa kama mkiachana.


So its risk free labda tufe wote at per.
 
Zumbukuku, waambie dada zako wakatafute za kwao!

At the end utawaoa wewe mwenyewe!!

Kikao chetu kila kitu andika mama mzazi, ndo anajua uchungu wa mtoto!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wana hizo mali sasa,mtu ana nyumba moja ya milioni 30 na ki ist naye anasema aandike majina ya mama ili akiachana na mkewe wasigawane mali alafu ana watoto watatu
Kiufupi hii technique haiapply kwa kila mtu,imagine kwenu mko watano alafu bahati mbaya mama akate moto ndo utajua hujui
Bigup Hakimi we ni gentleman
Unaongea na bimkubwa mapema mali unazompa anaandika kwenye will kabisa we ndio mrithi.
 
Wenye mawazo kama yako ndio huwa hamna hiyo bahati ya kuolewa, mnaishia kupuyanga tu mjini.
 
Back
Top Bottom