Kila mwenye ushauri mzuri aje amshauri Lissu. Mimi naanza na ushauri huu

Najifunza kuwa ccm ndio wanatumia mwanya huu kuididimiza Cdm.Kugombanisha wahusika wakuu. Wanaweza hata kumpiga risasi kwenye makao makuu ya Cdm ili mkorogo ufike kileleni.Hivyo lisu inabidi ajilinde na hata mbu wa nyumbani kwake mana wanaweza kuwa mapandikizi
 
I hope so kwamba ushauri wako utazingatiwa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…