Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Habari, mkuu ukiota wewe na mkeo mmepata mapacha wawili wa kike, ila kwenye ndoto hawaji kama wachanga ila wanaonekana kama watoto wadogo wa miezi kadhaa au mwaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakua wachawi nyieNimeota nipo Mimi na babaangu tunawalimisha watu vibarua.
Hii maana take Nini?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mtakua wachawi nyie
Ukiota ndoto baba na mama yako wwliofariki wanaishi kwa.pamoja kama mke na mume huko walipo inmnosha nn?Ni kweli kwamba ndoto, maono na njozi huja mara nyingi katika hali ya mafumbo sana ambayo kibinadamu ni ngumu kuelewa, lakini kwa msaada wa Mungu aliyefunua hayo huandaa na tafsiri halisi kuyahusu maono hayo ama ndoto na njozi hizo.
Nina wakaribisha katika tafsiri za Ndoto.
View attachment 2361631
Roho ya uzinzi inakufuatiliaUkiota unang'atwa na Mbwa tena Shingoni ?
Unakuwa unepunguza kuwa karibu na Mungu, maana Mungu anasema na watu kupitia ndoto, ukiona huoti, ombea malango yako ya ndoto, ufahamu wako,zidisha ukaribu na MunguIkiwa miaka ya nyuma mtu alikuwa anaota ndoto za maono ila baada ya muda haoti Tena ndoto yyt ile tatizo litakuwa ni Nini?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Roho za kichawi zinafatilia mahusiano yako, suala la ndoa kutakuwa gumu kwako, msihi Mungu, anaefanya ushirikina katika eneo la mahusiano yako aachieUkiota umevaa gauni la harusi ila upo kanisani unagundua lina madoa, na kama vile halipo sawa na mazingira ya maandalizi hayaeleweki na hilo gauni lina madoa kama vile limemwagiwa black current ina maana gan
Niliota gari yangu imechakaa imepark mahala na mataili yamechanika chanika na sina namna ya kuikwamua,pia ktk ndoto hiyo hiyo mimi nyumbani kwangu nafuga kuku pia,si wengi lakini nikaona wale kuku wako kwenye hali mbaya sana ya kiafya,halafu nina fimbo mkononi namnyanyua kuku aliyechoka kiafya sana sanaNi kweli kwamba ndoto, maono na njozi huja mara nyingi katika hali ya mafumbo sana ambayo kibinadamu ni ngumu kuelewa, lakini kwa msaada wa Mungu aliyefunua hayo huandaa na tafsiri halisi kuyahusu maono hayo ama ndoto na njozi hizo.
Nina wakaribisha katika tafsiri za Ndoto.
View attachment 2361631