Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Huyo fara Nairobi anavyosema anaiangalia ni kwakupitia google maps.Ndugu ulishawahi kufika Nairobi au huwa unaisikia au kuambiwa?
Njoo Nairobi nikuonyeshe uchafu, umaskini, uhalifu na ujinga mkubwa na uliotapakaa ambao hujawahi kuuona au kuusikia popote duniani.
Hakuna jiji bovu, baya na la kipuuzi kama Nairobi kwa ukanda huu.
Mwambie aende Mathare au Kibera.