Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
πππ Magonjwa Mtambuka na eliakeem tupatie idadi ya wavuvi mliopo gongo la mboto na buza mtawalia. tuanzie na hapo kwanzaEti wavuvi milioni ngapi? πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ Magonjwa Mtambuka na eliakeem tupatie idadi ya wavuvi mliopo gongo la mboto na buza mtawalia. tuanzie na hapo kwanzaEti wavuvi milioni ngapi? πππ
Nilicheka when I saw that lineπππ Magonjwa Mtambuka na eliakeem tupatie idadi ya wavuvi mliopo gongo la mboto na buza mtawalia. tuanzie na hapo kwanza
πππ Magonjwa Mtambuka na eliakeem tupatie idadi ya wavuvi mliopo gongo la mboto na buza mtawalia. tuanzie na hapo kwanza
Tutafanya hivoView attachment 2538199
Nitafutie aerial pic ya jiji la NBy. Hili jengo lisipoonekana, njoo uchukue milioni.
Nby ni ndogo sana (compared to Dar). Ndio maana wanaonesha sehemu iyo iyo.
Adis Ababa unapajua?Kila nikiangalia Afrika Mashariki sehemu mbalimbali za majiji na kuta Nairobi tu.
Kila nikiangalia usafiri wa ndege nyingi ni Nairobi tu.
Tukubali ukweli Nairobi ni jiji
View attachment 2538199
Nitafutie aerial pic ya jiji la NBy. Hili jengo lisipoonekana, njoo uchukue milioni.
Nby ni ndogo sana (compared to Dar). Ndio maana wanaonesha sehemu iyo iyo.
View attachment 2538199
Nitafutie aerial pic ya jiji la NBy. Hili jengo lisipoonekana, njoo uchukue milioni.
Nby ni ndogo sana (compared to Dar). Ndio maana wanaonesha sehemu iyo iyo.
Apajui huyo πππAdis Ababa unapajua?
NAIROBI ni ECONOMIC HUB ya AFRIKA YA MASHARIKI.Kila nikiangalia Afrika Mashariki sehemu mbalimbali za majiji na kuta Nairobi tu.
Kila nikiangalia usafiri wa ndege nyingi ni Nairobi tu.
Tukubali ukweli Nairobi ni jiji
Katulostisha sana yule babuBaba wa taifa alisema, ukitaka kushangaa magorofa sio lazima uende Ulaya, nenda tu hapo Nairobi.
Unapenda ubishi sana.Kama hujawahi kufika na kuishi Nairobi Kampala Kigali na Mombasa naomba unyameza, hamjui mnachoongelea mko kwenye hearsay
SUreNAIROBI ni ECONOMIC HUB ya AFRIKA YA MASHARIKI.
Ulipoongelea tu watalii hapo ndo nikajua huna lolote! Wewe ni limbukeni tu !Ni ukweli usiopingika labda tu lugha za kizalendo za kujipoza maumivu.
1. Taasisi nyingi za kimataifa. Ofisi zake ziko Nairobi kwa Afrika hii.
2. Anga ya Kenya, mashirika ya ndege ya kimataifa mengi sana. Na usafiri ni mwingi pia.
3. Huduma za kitabibu pia wako vizuri japo gharama ni kubwa sana kulinganisha nasi.
4. Watalii ni wengi zaidi kulinganisha na hapa nyumbani.
Yote haya yaliletelezwa na sera tuliokuwa tukiifua ya ujamaa. Ambayo haikubaliki ktk ulimwengu wa magharibi.
Mwisho mji wetu/miji yetu miundombinu yake uswahili mwingi sana.
Ulimbukeni kuwa watalii hapa ni wengi kuliko Kenya ?! Ndiyo yale niliyoyaita lugha za kizalendo za kujipoza . Endelea kujidanganyaUlipoongelea tu watalii hapo ndo nikajua huna lolote! Wewe ni limbukeni tu !
Yule babu yenu na Mwendazake walitulostisha sana ,JK na Sasa Mama ameanza kuturudishaKatulostisha sana yule babu
View attachment 2538199
Nitafutie aerial pic ya jiji la NBy. Hili jengo lisipoonekana, njoo uchukue milioni.
Nby ni ndogo sana (compared to Dar). Ndio maana wanaonesha sehemu iyo iyo.
View attachment 2538199
Nitafutie aerial pic ya jiji la NBy. Hili jengo lisipoonekana, njoo uchukue milioni.
Nby ni ndogo sana (compared to Dar). Ndio maana wanaonesha sehemu iyo iyo.
Mbona hats Nairobi ni same case mkuuTena wewe ndo fala kabisa Kigali ambayo iko confined sehemu moja, bunge hapo ikulu hapo hapo, ofisi za wizara hapo hapo yani hata sio robo ya Dar, au kwasbb mnasikia kwamba ni safi, ila uliza ina watu wangapi kwanza ndo ulinganishe na Dar.
Yaani usafiri wa ndege Kenya unazidi Ethiopia? We nae ni bumundaKila nikiangalia Afrika Mashariki sehemu mbalimbali za majiji na kuta Nairobi tu.
Kila nikiangalia usafiri wa ndege nyingi ni Nairobi tu.
Tukubali ukweli Nairobi ni jiji
UKIWA MJINGA NI MJINGA TU.ULISHAWI KUSAFIRI KUJUA RANK YA WASAFIRI EAST AFRICAYaani usafiri wa ndege Kenya unazidi Ethiopia? We nae ni bumunda