Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Huyo fara Nairobi anavyosema anaiangalia ni kwakupitia google maps.Ndugu ulishawahi kufika Nairobi au huwa unaisikia au kuambiwa?
Njoo Nairobi nikuonyeshe uchafu, umaskini, uhalifu na ujinga mkubwa na uliotapakaa ambao hujawahi kuuona au kuusikia popote duniani.
Hakuna jiji bovu, baya na la kipuuzi kama Nairobi kwa ukanda huu.
ndiyo naamini hivyo, wako sahihi hawakukoseaKwa hiyo na wewe unaamini hivyo?
Kila nikiangalia Afrika Mashariki sehemu mbalimbali za majiji na kuta Nairobi tu.
Kila nikiangalia usafiri wa ndege nyingi ni Nairobi tu.
Tukubali ukweli Nairobi ni jiji
Wewe utakuwa ni mpuuzi kama kweli unaamini Dar ni kijiji cha wavuvi eti tu kwa sababu "chombo fulani cha habari cha Marekani" kimeripoti hivyo.ndiyo naamini hivyo, wako sahihi hawakukosea
moja ndio Jiji, lengine ni kijiji cha wavuviSawa mleta mada,ila yote ni majiji.
hata mimi naamini hivyoKwa hiyo na wewe unaamini hivyo?
punguza jazba basi ππWewe utakuwa ni mpuuzi kama kweli unaamini Dar ni kijiji cha wavuvi eti tu kwa sababu "chombo fulani cha habari cha Marekani" kimeripoti hivyo.
Shauri yako.hata mimi naamini hivyo
Sipunguzi. Ndio kwanza naongezaπpunguza jazba basi ππ
Tu shakwambia toka nyumbani kwa wazazi.ukiwa nyumbani ndio unatukana sanaHuyo fara Nairobi anavyosema anaiangalia ni kwakupitia google maps.
Mwambie aende Mathare au Kibera.
Wewe utakuwa ni mpuuzi kama kweli unaamini Dar ni kijiji cha wavuvi eti tu kwa sababu "chombo fulani cha habari cha Marekani" kimeripoti hivyo.
Wameaminishwa tuWengi hawajafika wakaona jinsi Nairobi ilivyo kenge!
Mh!,thamani ya jiji sio majengo marefu tu,pia idadi ya watu ndugumoja ndio Jiji, lengine ni kijiji cha wavuvi
kweli ndugu.... sasa wewe unaweza shindana na huyu πSiyo kweli...
pengine labda hujaelewa. hebu rudia kusoma hapa Chini πMh!,thamani ya jiji sio majengo marefu tu,pia idadi ya watu ndugu
Dar ni Jiji la hovyo Sana Sana tuache utani!!!
Pia asilimia kubwa ya watu Wana kipato duni Sana Sana !Yan dar watu wamechoka Sana wengi hawana vipato ni madalali mision taun tupu!!
Mji upo squatters sehemu kubwa Sana
Usafiri ni mbovu jamani!?
Mji mchafu Sana Sana
Nitoke nije kukuoa au?Tu shakwambia toka nyumbani kwa wazazi.ukiwa nyumbani ndio unatukana sana
Wewe ni kichaa? Ni wapi Dar maghorofa yanapatikana ukitoa cbd, kijitonyama na Upanga? Hebu nipe picha kama hii ya eneo la kawaida wanapoishi watu hapo Dar ndio tujue jiji lipi lina maghorofa mengiKama Nyerere alisema hayo basi alisema hapo kabla ya mwaka 1990, kwa sasa huenda Ruto akasema hivi "Kama unataka kuona maghorofa marefu, makubwa na mazuri basi usipoteze nauli yako kwenda Ulaya, wewe nenda Dar"
What is my point?
Kama ubora wa jiji utapimwa kwa maghorofa, basi kwa sasa Nairobi haiwezi kuifikia Dar hata chembe. Kwa kifupi sana, kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, huenda Dar imejengeka zaidi kwa maghorofa kuliko majiji mengine.
Eti wavuvi milioni ngapi? πππmoja ndio Jiji, lengine ni kijiji cha wavuvi