We kweli kiazi Mbezi mwisho,Mbezi beach,mwananyamala,Kigamboni,Kijichi,Temeke kote Kuna maghorofa embu acha ushamba.Wewe ni kichaa? Ni wapi Dar maghorofa yanapatikana ukitoa cbd, kijitonyama na Upanga? Hebu nipe picha kama hii ya eneo la kawaida wanapoishi watu hapo Dar ndio tujue jiji lipi lina maghorofa mengi View attachment 2538114View attachment 2538116View attachment 2538119View attachment 2538120View attachment 2538121View attachment 2538122
Mjinga ni wewe, jichunguze tu vzr dada utajua kua unahitaji mume ili akili itulieUKIWA MJINGA NI MJINGA TU.ULISHAWI KUSAFIRI KUJUA RANK YA WASAFIRI EAST AFRICA
kajamba ajambe mwengine kujisaidia ujisaidie wewe.sasa umeshindwa nini kutoa fact ya kumsaidia mwenzakoMjinga ni wewe, jichunguze tu vzr dada utajua kua unahitaji mume ili akili itulie
View attachment 2538199
Nitafutie aerial pic ya jiji la NBy. Hili jengo lisipoonekana, njoo uchukue milioni.
Nby ni ndogo sana (compared to Dar). Ndio maana wanaonesha sehemu iyo iyo.
Lete aerial view...