Hahahaaa. Nsharudi tayari Sesten.Hebu rudi hapa kwanza wee mtoto sasa unakimbia unaenda wapi au ndio unaanza mazoezi?🙂😉😀
Kweli ila kipa wa belgium nae alikua vizuri sana aliokoa nyingiHahahaa. Mie nipo ujue tutaona hiyo baadae best.
Hakika ni bonge la game japokuwa haitaingia ile ya Brazil sababu ile muda mwingi nilikuwa nashika kichwa nikijua Bra wanachomoa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa. Hatumwi dukani aiseee.Kweli ila kipa wa belgium nae alikua vizuri sana aliokoa nyingi
France kwenye kushambulia sio wakali sana kama belgium ila kwa beki na kiungo wapo njema..
Yani mtoto hatumwi dukani leo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hajar hapa nimekutukana kimoyomoyo ujue, yaani ulikua muda wote unaombea Brazil isichomoe! Ona sasa bila ya Brazil kuna World Cup tena hapo?Hahahaa. Mie nipo ujue tutaona hiyo baadae best.
Hakika ni bonge la game japokuwa haitaingia ile ya Brazil sababu ile muda mwingi nilikuwa nashika kichwa nikijua Bra wanachomoa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa, ulipo tupo Hajar.....mazoezi lazima yakoleeHahahaaa. Hivyo hapo hakuna kuchoka. Lol.
Nimejikuta navuta picha. Hahahaaa. Ila Wanaume nyie lol.
Hahahaaa. Nimeamini jamaani leo. Lol.Hahahaaa, ulipo tupo Hajar.....mazoezi lazima yakolee
Kweli mkuu kumbe umeliona hilo ladha yote imeishaHajar hapa nimekutukana kimoyomoyo ujue, yaani ulikua muda wote unaombea Brazil isichomoe! Ona sasa bila ya Brazil kuna World Cup tena hapo?
Karibu sana Hajar traksuti au tight si unayo lakini, nitahakikisha nakupa kipaumbele kwa kukutanguliza halafu wengine tunakufuatiaHahaaa. Basi na mie nitakuja kujiunga kwenye hicho kikundi chenu. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Atakaepita leo ana asilimia kubwa sana ya kuwa bingwaHahahaaa. Hatumwi dukani aiseee.
Ndio uje ujiunge kwenye kikundi chetu sasaHahahaaa. Nsharudi tayari Sesten.
Walaaa nilishashindwa mieee.
Hahaaaa. Wacha weeee.Karibu sana Hajar traksuti au tight si unayo lakini, nitahakikisha nakupa kipaumbele kwa kukutanguliza halafu wengine tunakufuatia
Usijali Sesten. This Weekend najongea aisee. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio uje ujiunge kwenye kikundi chetu sasa
Umeona eeh, basi jitahidi mamiiHahahaaa. Nimeamini jamaani leo. Lol.
Halina ladha kabisa mkuu kama chai isyokua na sukariKweli mkuu kumbe umeliona hilo ladha yote imeisha
Kombe la mwaka huu limekua halina mvuto kabisa
Miguu haiwezi gongana kwani kutakua na nyimbochombeza za kukuhamasisha uzidi kukazamwendo HajarHahaaaa. Wacha weeee.
Ahsante nshakaribia kila kitu ninacho hapo. Ila nimecheka eti utanitanguliza jamaani. Waeza fanya miguu yangu igongane. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa nita jita hidi. Hahaaaa.Umeona eeh, basi jitahidi mamii
Eti eeeee.Miguu haiwezi gongana kwani kutakua na nyimbochombeza za kukuhamasisha uzidi kukazamwendo Hajar