Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Hahahaa. Mie nipo ujue tutaona hiyo baadae best.

Hakika ni bonge la game japokuwa haitaingia ile ya Brazil sababu ile muda mwingi nilikuwa nashika kichwa nikijua Bra wanachomoa.

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli ila kipa wa belgium nae alikua vizuri sana aliokoa nyingi
France kwenye kushambulia sio wakali sana kama belgium ila kwa beki na kiungo wapo njema..
Yani mtoto hatumwi dukani leo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaa. Mie nipo ujue tutaona hiyo baadae best.

Hakika ni bonge la game japokuwa haitaingia ile ya Brazil sababu ile muda mwingi nilikuwa nashika kichwa nikijua Bra wanachomoa.

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hajar hapa nimekutukana kimoyomoyo ujue, yaani ulikua muda wote unaombea Brazil isichomoe! Ona sasa bila ya Brazil kuna World Cup tena hapo?
 
Weka milestone ndogo ndogo. Labda kwa wiki mara moja. Ukiweza unaongeza. Hapo unajitahidi kuwa mwaminifu kwa lengo lako
 
Hahaaa. Basi na mie nitakuja kujiunga kwenye hicho kikundi chenu. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Karibu sana Hajar traksuti au tight si unayo lakini, nitahakikisha nakupa kipaumbele kwa kukutanguliza halafu wengine tunakufuatia
 
Karibu sana Hajar traksuti au tight si unayo lakini, nitahakikisha nakupa kipaumbele kwa kukutanguliza halafu wengine tunakufuatia
Hahaaaa. Wacha weeee.

Ahsante nshakaribia kila kitu ninacho hapo. Ila nimecheka eti utanitanguliza jamaani. Waeza fanya miguu yangu igongane. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaaaa. Wacha weeee.

Ahsante nshakaribia kila kitu ninacho hapo. Ila nimecheka eti utanitanguliza jamaani. Waeza fanya miguu yangu igongane. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Miguu haiwezi gongana kwani kutakua na nyimbochombeza za kukuhamasisha uzidi kukazamwendo Hajar
 
Back
Top Bottom