Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
sipigi nyeto, siishi dsm
tuwe pamojamimi natamani mazoezi ila sina company..
uko wapi wwtuwe pamoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]uko wapi ww
unajua mkiwa kama kumi ivi na nyimbo zenu za hamasa mnafika hata chalinze
Kuwa na ratiba ya kueleweka ya mazoezi, muda wa zoezi kusiwe na kitu kingine cha ziada cha kufanya ni zoezi tu.mkuu nishauri sasa mbona wanivunja moyoo
Mimi napiga nyeto kila asubuhi na navuta bangi kabla sijaenda mazoezini.Swali la kizushi, kwani wewe ni mpiga punyeto uliyebobea au mwanamme wa Dar?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tuko wengi Swahiba.We uko kama mimi aisee naweza nikaanza vizuri consistence inanishinda
Hahahaaa. Lol.Hahaha hayo mambo yamenishinda mm
Hahahaaa. Nimecheka kwa sauti Mkuu.Maisha yenyewe mazoezi tosha, we kuna kingine unakitafuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] swahiba mzima[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tuko wengi Swahiba.
Na tunaanzaga na moto ila mwisho wa siku tunaishia katikati.
Hahahaaa. Na hapo ukute anazidi kufutuka tu.Mkuu bora wewe.
Mimi nna rafiki yangu kila siku anasema ataanza wiki ijayo[emoji23] [emoji23]
Kwani weye Ka Hasssan huwa unafanya hayo mazoezi?Hakuna damu ya mazoezi wala ubongo wa pushapu, tatizo ni wewe mwenyewe na uvivu wako pia huna ratiba ya kueleweka ya mazoezi
Mie pia nakubali ndugu yangu. Sababu nilijitahidi nikaishia njiani.Hahaha poleni jamani mazoezi nacho kipaji
Hahaha dada niache siwezi kabisa mmHahahaaa. Lol.
Kwa nini sasa na wewe dada?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeona eenhMie pia nakubali ndugu yangu. Sababu nilijitahidi nikaishia njiani.
Ndipo nipo tu yaani. [emoji23] [emoji23] [emoji23]