Kila nikichanga karata zangu, namuona Dkt. Bashiru akiwa kiongozi wa awamu ya saba

Kila nikichanga karata zangu, namuona Dkt. Bashiru akiwa kiongozi wa awamu ya saba

Hakurudisha. Kwa hiyo Bashiru ni mwanachama wa CUF bado.
Kama ambavyo hatuna uraia pacha hivyo basi hatuna uanachama pacha... Uanachama wa chama husika unakoma pale inapoinika ni mwanachama wa chama kingine, kurudisha kadi au kubaki nayo ni juu yako lakini mchakato wa chama chako cha awali kukufuta uanachama unatakiwa ufuatwe.

Swali: je, CUF bado wanamtambua bashiru kama mwanachama wao?
 
UMESAHAU NI MUISLAMU MWENYE MSIMAMO MKALI.
 
sisi bado tupo awamu ya tano, chukulia mnasafiri na gari,dereva afariki ghafla alafu konda achukue usukani,je mtasema safari yenu labda ya Mwanza to Aru sha imebadilika ?
Samia hajachaguliwa na wananchi, yeye yupo hapo kutupeleka kwenye uchaguzi tu,ndio maana jiwe bado anaitw Hayati "rais..." hivo basi hii ni awamu ya Tano
Kuhusu kuchaguliwa na wananchi 2015 na 2020, Samia na Magufuli wako sawa. Usifikiri confidence ya Samia kama Rais wa awamu ya sita ni ya mashaka. Anajitambua vizuri sana. Mkakati mzima wa ushindi anao. Anakamilisha ku-set up back-up ya chama na dola. Hakuna wa kumtisha wala kumtikisa huko CCM.
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
Wazee wa mtama wana masuala na alikotoka na alikotolewa
 
Marehemu kaondoka katuachia CCM yenye vipande viwili vikubwa, viiite majina unayotaka wewe.
Wale wahamiaji wenyewe hawana upande,wamejikunyata hawajui hatma yao, ni sawa na watoto wa nje kwenye urithi wa baba ambaye alikuwa na watoto na mke wa ndoa.
 
Hata Bata akichaguliwa kuwa campaign manager wa CCM huyo mgombea lazima ashinde

CCM wanajua wap wanautoa ushindi mengine n kiin macho kukamilisha mchakato wa kikatiba tu
 
Kama the state itamuona anafaa kuendeleza pale alipoishia jpm!Basi ni kweli atakuwa Raisi!Pia ataongoza vizuri kwa hekima ya Mungu mkuu!!
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
CCM INA WENYEWEEEE................
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
Mleta mada tunajua Nia yako ni kumsagia kunguni Bashiru. Naunga mkono hoja.
 
Mzee Mwinyi yalipotea mauaji alipokuwa wazuri wa mambo ya ndani mpaka kupelekea kujiuzuru hakuna aliyewaza angekuja kuwa Makamu wa Rais na Rais wa nchi zote. Hivyo Bashiru anayo nafasi
Kwahiyo Bshiru nae Kuna matatizo yametokea akajiuzulu?
 
Kutoka katibu Mkuu kingozi hadi katibu kata huo ni mweleka usio wa kawaida.
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
It's just a wishful thinking or a mere hallucinations, ukikua utaelewa.
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
Du! Utumbo sometimes mtamu sana!
 
Back
Top Bottom