Kila nikichanga karata zangu, namuona Dkt. Bashiru akiwa kiongozi wa awamu ya saba

Kila nikichanga karata zangu, namuona Dkt. Bashiru akiwa kiongozi wa awamu ya saba

Inakuwa hivyo kwenye ile wiki ya kwanza mtu kuvuta bangi.

Pole mkuu
 
Yaani mtu aliyefanikisha wizi ule ndiye unasema aje aongoze nchi? Watanzania hawataki kutawaliwa na washamba au madikteta.
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
Kama ni Bshiru huyu ambaye CCM wenyewe wanamkana na kusema ni mwanachama wa CUF,nna wasiwasi na aina ya katata unazochanga ndugu.
 
Mzee Mwinyi yalipotea mauaji alipokuwa wazuri wa mambo ya ndani mpaka kupelekea kujiuzuru hakuna aliyewaza angekuja kuwa Makamu wa Rais na Rais wa nchi zote. Hivyo Bashiru anayo nafasi
Unalinganisha sasa na wakati wa Mwinyi ambapo Rais alikuwa anapatikana kwa kupendekezwa na kusimama peke yake?

Mzee Mwinyi muache tu na bahati yake maana hata kwa kura ndani ya Kamati Kuu asingepita.
 
sisi bado tupo awamu ya tano, chukulia mnasafiri na gari,dereva afariki ghafla alafu konda achukue usukani,je mtasema safari yenu labda ya Mwanza to Aru sha imebadilika ?
Samia hajachaguliwa na wananchi, yeye yupo hapo kutupeleka kwenye uchaguzi tu,ndio maana jiwe bado anaitw Hayati "rais..." hivo basi hii ni awamu ya Tano
Nawaza, Hivi kuna umuhimu gani kupambania kuwa awamu ya tano?

Samia akiwa awamu ya 5 na akiwa awamu ya 8 tofauti ni nn?
 
Bashiru is dead and gone.

Achana na hekaya
Mwaka 2007 wanamtandao waliokuwa wanaongozwa na Kikwete na Lowassa waliamini Mzee Mangula is dead and over. Mwaka 2012 haohao wanamtandao walimfuata Mzee Mangula kijijini kwake Waging'ombe na kumuomba aje "akinusuru chama kisiwafie mikononi mwao". Sina shaka kwa hili kutokea kwa Dk. Bashiru. Ninachomshauri Dk. Bashiru akae kimya alee familia yake hadi muda mwafaka utakapofika.
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
Utakuwa muujiza...
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
Endelea kuota, nani aruhusu tena Mhutu kuwa Rais?
 
Mh Bashiru nimemsikiliza naona ni kiongozi mahiri
Yule mwamba hana hofu ya chochote , ni mtu wa vitendo haswa, hatishwi wala hatishiki. Watu wanambeza kwa sababu ya chuki tu na wanaombeza hapa si wanaCCM bali ni upinzani kwa sababu alipeleka uharibifu kwenye usanii wao.

Wajiandae tu kisaikolojia maana akiwa Rais yule mwamba ,mafisadi watafute pa kujificha
 
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na mafisadi na wazembe ni Dkt.Bashiru.

Uongozi wa Rais Samia unafanya vizuri sana katika kusaka fursa za uwekezaji ambao ndio mwanzo wa kuelekea uchumi wa kati mkubwa. Hivyo ni uongozi utakaojikita kutengeneza fursa nyingi za uwekezaji ambazo Rais ajaye itabidi asimamie fursa hizo kweli kweli

Mwanzoni nilikuwa na watu wawili nilioona wanafaa kurithi mikoba ya urais, pro.Kabudi na Dkt. Bashiru lakini karata ya mwisho imeanguka kwa Dkt. Bashiru. Sio kwamba Prof. Kabudi hawezi ila umri umeenda sana na mwili umechoka kwa kazi nzito ya uwaziri tofauti na Dkt.Bashiru ambaye bado ana nguvu za kutosha.

Dkt.Bashiru si mtu wa kubezwa, ni mtu mwenye nguvu kubwa sana ya kisiasa na ushawishi mkubwa. Ikumbukwe Dkt. Bashiru ndiye kampeni meneja pekee aliyeweza kufanikisha ushindi wa kishindo wa mgombea urais , hivyo tusibeze uwezo wake wa ushawishi.

Dkt. Bashiru amejawa na kipaji cha kuzungumza na kuhutubia na watu wakashawishika

Dkt. Bashiru ni mtu aliyesimama imara na Rais Magufuli kwenye ujenzi wa Tanzania mpya, na ndiye mtu pekee aliyeweza kuieneza na kuiishi falsafa ya Hayati Magufuli kwa watanzania.

Licha ya madhaifu aliyonayo ya kibinadamu, bado naamini ni mtu pekee aliyebaki ndani ya CCM atakayeweza kuvaa viatu vya Hayati Magufuli na vikamtosha kabisa. Apewe nafasi nyingine ya kuonesha uwezo alionao.

Najua upinzani ndani ya CCM katika kumpata atakayerithi mikoba ya Rais Samia kitakuwa kigumu sana na hapo ndipo hakutakuwa na namna nyingine ya kukinusuru chama zaidi ya kwenda na Dkt.Bashiru.

Upinzani mkali utakuwa kati ya
CCM asilia vs CCM wa kuja
CCM viroboto vs CCM wahuni
CCM wasukuma vs CCM wa pwani
CCM wazalendo vs CCM maslahi

Kwa sababu Dkt. Bashiru si mtu anayeamini katika makundi hasimu ya kisiasa hivyo makundi hayo yatakapokuwa katika kuumizana yeye hatoshiriki kabisa hivyo kuja kuonekana ni afadhali.

Nachelea kusema ,njia zilizotumika kumpata Rais Magufuli ndizo hizo zitakuja kutumika kumpata mrithi wa Rais Samia.
Haiwezekani kwanza uraia wake una utata
 
Baada ya Uzembe wa Magu Kuwa rais naona kila ameona Kuwa rais Ni Jambo jepesi la kujaribu?
Baada yaVasco da gama kwenda kubembea kule Jamaica, hata wendawazimu walijua kuwa hakuna kazi rahisi kama kuwa Rais wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom