Kila nikijaribu kumsamehe/kuwasamehe nashindwa

Kila nikijaribu kumsamehe/kuwasamehe nashindwa

Uzinzi huwa haulalishwi na adhabu yake si ndogo kama wewe hutaki mwenza wako achepuke jua na yeye ni hivyo hivyo unless hakupendi wanawake wengi mnawaona ni mashetani kwa sababu mioyo yao imejeruhiwa yaani moyo uko vipande vipande. Jitahidi sana kuheshimu moyo wa mke ili uishi maisha marefu na ya furaha. Hata Mungu hapendi uzinzi unless uwe mfuasi wa shetani
Kwa kuwaheshimu wanawake huwa tunafanya kwa siri mnoooo
 
dadaangu suala la kuchepuka kwa mwanaume ni jambo la kawaida saana!!!

Yaani about 80% ya wanaume tunachepuka!!! Ni jambo la ninyi kukubali tu,

Nakumbuka tukiwa wadogo kijijini wazee wetu walikuwa wanaleta watoto nyumbani from no where!! Na kutuambia hawa wadogo zenu!! Anachinjiwa mbuzi tunakula
Watu wengi kufanya jambo fulani haimaanishi kuwa ndo kitu sahihi; tunahalalisha tu ushenzi. And wanawake wa kizazi hiki si sawa na wa kizazi cha mabibi zetu. Kama unaitaka amani ya ndoa yako kweli; be faithful. Ila kama unataka pia kuhesabu pamoja miaka ambayo "mmedumu" katika ndoa; ni ruksa tu. Badala ya kuwa kati ya hiyo 80% ya wapumbavu; unaweza ukachagua kuwa kati ya hao 20% wenye akili njema. Chaguo ni lako
 
Watu wengi kufanya jambo fulani haimaanishi kuwa ndo kitu sahihi; tunahalalisha tu ushenzi. Ans wanawake wa kizazi hiki si sawa na wa kizazi cha mabibi zetu. Kama unaitaka amani ya ndoa yako kweli; be faithful. Ila kama unataka pia kuhesabu pamoja miaka ambayo "mmedumu" katika ndoa; ni ruksa tu. Badala ya kuwa kati ya hiyo 80% ya wapumbavu; unaweza ukachagua kuwa kati ya hao 20% wenye akili njema. Chaguo ni lako
Ni nature yetu na ndio maana wenzetu waislam wanaruhusu mke zaidi ya mmoja
 
COLE nilikuwa naona uvivu wa kutype ila umenipa motisha. Ujue wengi wetu huwa tunaangalia ni wapi tulipoangukia; na sio wapi tulipojikwaa. Kila kitu kilianza kubadilika baada ya mume kuchepuka. Na bado watu tunachanganya kuhusu kufanya kosa na kuvunja trust ya mtu. Mtoa mada alivunja trust ya mkewe; mkewe hakusamehe kosa lake na zaidi hakurudisha Imani kwa mumewe. Inawezekana kabisa alijenga uchungu juu ya mumewe. Tutamlaumu ooh si bora basi kama alichukia angemuacha tu huyo mwanaume: ila tunasahau kuwa ndoa ni investment ambayo mtu anaifanya; sio rahisi kuiacha investment yako ipotee; wengi wanagugumia ndani. Mke aliendelea kuishi na mume ila mambo yakiwa yameshabadilika; alikuwa na uchungu tayari. Usaliti unaweza ukasameheka; ila kuna baadhi ya mambo yanaweza yakabadilika completely; usaliti unaondoa ubora wa ndoa. Mke alijaza uchungu na hivyo akakosa hekima ya kukabili changamoto yake hiyo; mwishowe akapata kichaa cha ndoa.

Siku zote waliposema uchungu unakutafuna kwanza wewe mwenyewe kabla ya mwingine uliyembebea; hawakukosea. Upumbavu wote ambao mke ameufanya was just part ya yeye kutoa uchungu wake; thinking kwamba labda nikifanya hivi mume wangu na yeye ataumia. Na kuna wengine; yeye akiumizwa na mume; uchungu unaishia kwa watoto; usishangae mtu anakuwa katili kwa watoto aliowazaa mwenyewe; huyu uchungu wake uliishia kwa mume. Bahati mbaya sana wakati mke amejaa uchungu na kukosa hekima, alikutana na washauri wabaya; bora hata angekimbilia kanisani maana angeambiwa na kufundishwa kusamehe. (Binafsi hata nione mtu analala kanisani; i won't judge him/her kwa sababu siwezi jua amebeba nini moyoni mwake; na zaidi ya yote is there any safe place to run to if not to Jesus?).

Mke amefanya upumbavu sana; lakini ni kwa sababu ya kutokusamehe na kulimbikiza uchungu. Mtoa mada wakati unakaa na kujiaminisha kuwa wanawake ni watu wasioeleweka wakuishi nao kwa machale; usisahau kuwa hata ukimpata anayeeleweka kama hayupo stable emotionally; ukizingua tu; she will turn into a disaster. Funga zipu yako huko nje; usifikiri kuna mwanamke anayefurahia mumewe kuchepuka; wengine wanalia kimya kimya; wengine wanakuwa wanyama etc.

Mtu anachagua kuwa aina ya mtu anayemtaka yeye; ila mpendwa umechangia sana kwa mkeo kuwa mpumbavu. Wewe ndo sababu ya yeye kuwa na uchungu. (Usishangae; ndo maana kuna wanaume out of bitterness anajiua au anafyeka mke au mke na watoto etc.). Kama mtu akiamua kuharibu maisha yake muache tu; ila usiruhusu kuwa sababu ya mtu mwingine kuharibikiwa. Wewe una % kubwa kwa kilichotokea kwa ndoa yenu leo. Kila mtu kati yenu anahitaji kujisamehe na kusamehe; na kwa kuwa mkeo ameshamove on na maisha yake; find a way ya kumsaidia hadi awe stable again amlee huyo mwanae na a-play part kwenye malezi ya watoto wenu pia. Hutokuwa umemsaidia tu yeye; bali utakuwa umeinvest kitu chema kwa watoto wako.
Nimefurahi kuona mchango wako katika ili wengi wanatakiwa kujifunza kupitia kusoma huu ujumbe wako uliouweka its very powerful. kuwa strong emotionally ni trait ambayo kimsingi watu wachache sana wanayo si kwa wanawake wala wanaume maana ukimsoma mtoa mada kuna mahali anasema alikuwa anapotea isipokuwa tu huyo mshauri mzuri aliyempata

kuhusu kesi ya yaliyomkuta ndugu yangu ni kwlei kabisa mke wake hakuwa strong emotionally na hakupata washauri sahihi lakini asilimia kubwa ya jamii wanampa lawama yeye kwasababu alimalizia vibaya kuuza mali na kukimbia na mtot, kasoro mimi.

Wakati ndugu yangu ndiye aliyekosea in the first place alimsaliti, utakuta alikuwa anampiga wakati mwingine na kero nyingine nyingine ambazo kwa mtazamo wake yeye kama mwanaume alikuwa anaona ni sawa hakuna shida hapa yeye ndiye alikuwa chanzo cha tatizo (but he feels like there were justifications for whatever he was doing)

Again wanaume wa Tanzania, Afrika tujitahidi kuwa responsible na kufikiria matendo yetu na vile tufanyavyo kwenye mahusiano imagine huyu victim ambaye hataki kusamehe anavyosimulia yeye kuwa ana zini nje halafu amekamatwa anajua yameisha kirahisi rahisi tu ni Ngumu sana, Na Mungu atusaidie kwa kweli

Ndoa ni uwekezaji mkubwa sana. Aliyeanzisha kosa ndiye hataki kusamehe its so Sad
 
Bro hujui maisha yangu kabisa. Na wala sina haja ya kufanya comparison. Na huwa sina dharau, nimelelewa kuheshimu kazi na watu.

Hata hilo la kumwendeleza inaonyesha kabisa jamaa alikuwa anaona huyo mwanamke hawezi kufanya maamuzi yoyote ya maana. Leo hii hata watoto wetu huwa tunawasikiliza wanachokitaka.

Na vipi kuhusu swala la kuchepuka mbona hajaliongelea, aliendelea na yule mwanamke au aliacha? Na ameongea katika namna ya kwamba ilikuwa lazima kwa yule mwanamke amsamehe.

Bro, kuna sintofahamu nyingi sana kuhusu hadithi ya ndugu yetu. The way anavyoelezea msaada aliuotoa kwa mama mkwe, it was like he was counting everything. Najua wewe hujafika hapo kwa msaada wako mwenyewe, vipi unajisikia ukikorofishana na mtu halafu aanze kuelezea misaada aliyokupatia nyuma.

Mimi naona kosa la huyo mwanamke ni ignorance, exposure, na umaskini. Na ndio maana hata watoto kashindwa kulea vizuri.

Mkuu I rest my case, ngoja nifanye mambo mengine. Ila na wewe next time ongea kwa heshima bro, mimi mwenyewe mtoto wa mjini, matusi nayajua, nimechagua tu kutotukana.


Dharau unazo maana ulianza kwa kusema vitu vyenyewe TV na kitanda, ukasema hayo maisha umeishi 5 yrs back, ndo nikakuambia kama wewe umeishi 5yrs back yeye kaishi 10 yrs back.
Kwa hyo kwako kipi bora kujaribu kumwendeleza mtu ambaye unahisi hana uwezo wa Kufanya maamuzi ili awe na uwezo wa Kufanya maamuzi na kulea familia au kumwacha alivyo. Mkuu sijui hata unaongea nini tu maana kija Jema alolojaribu Kufanya jamaa kwako unaona mbaya. Kama umesoma comments kuna sehemu jamaa akasema aliachana na yule mchepuko maana kwa Mapito Yale hata network ilikuw haishiki sometimes. Nimemsoma vzuri sana mwana nadhani Yale matusi yalimfika kiasi cha kuamua kuongelea Kuhusu msaada aliompa mama Mkwe. Jamaa alikuwa provoked kwa kiwango cha juu. Je mbona huongelei mwana kutukanwa na mama, Dada, na mke, mbona unongelea tu mwana kumshirikisha Rafiki, sister jirani na mama. Acha wivu mkuu

Mkuu una wivu, huo ndo ukweli
 
Watu wengi kufanya jambo fulani haimaanishi kuwa ndo kitu sahihi; tunahalalisha tu ushenzi. And wanawake wa kizazi hiki si sawa na wa kizazi cha mabibi zetu. Kama unaitaka amani ya ndoa yako kweli; be faithful. Ila kama unataka pia kuhesabu pamoja miaka ambayo "mmedumu" katika ndoa; ni ruksa tu. Badala ya kuwa kati ya hiyo 80% ya wapumbavu; unaweza ukachagua kuwa kati ya hao 20% wenye akili njema. Chaguo ni lako
Huyo jamaa nimemfatilia msisitizo wake ni nature tu sijui ni nature gani anayoizungumzia kwenye hii case, wakati kosa lipo wazi kwa jamaa ndiyo wale watu ambao bado wana imani na mila potofu so primitive at the same time amekuwa kipaombele kumlaumu huyu mwanamke wakati upandaji wa mbegu za ubaya umechipua.

kwa mabadiliko ya sasa watu ambao hawataki ku adjust thinking zao at the same time hawako strong emotionally kuna mengi sana ya kuwapata, Ukiona unashikilia nature usioe basi endelea na nature unaoa, unakamatwa na kosa na ushaidi unakomaa nature nature, kazi kweli kweli
 
Huyo jamaa nimemfatilia msisitizo wake ni nature tu sijui ni nature gani anayoizungumzia kwenye hii case, wakati kosa lipo wazi kwa jamaa ndiyo wale watu ambao bado wana imani na mila potofu so primitive at the same time amekuwa kipaombele kumlaumu huyu mwanamke wakati upandaji wa mbegu za ubaya umechipua.

kwa mabadiliko ya sasa watu ambao hawataki ku adjust thinking zao at the same time hawako strong emotionally kuna mengi sana ya kuwapata, Ukiona unashikilia nature usioe basi endelea na nature unaoa, unakamatwa na kosa na ushaidi unakomaa nature nature, kazi kweli kweli
Ndo maana nikaona ninyamaze tu; energy ya kureply comment yake; niitumie kwa mambo mengine ya msingi. Sasa mtu hata hajui kwa nini anafanya kitu fulani ila anafuata tu mkumbo eti ni nature; is he sane? Afu inakuwaga nature tu kwenye ujinga; kwenye mambo ya msingi aaaaah
 
Nimefurahi kuona mchango wako katika ili wengi wanatakiwa kujifunza kupitia kusoma huu ujumbe wako uliouweka its very powerful. kuwa strong emotionally ni trait ambayo kimsingi watu wachache sana wanayo si kwa wanawake wala wanaume maana ukimsoma mtoa mada kuna mahali anasema alikuwa anapotea isipokuwa tu huyo mshauri mzuri aliyempata

kuhusu kesi ya yaliyomkuta ndugu yangu ni kwlei kabisa mke wake hakuwa strong emotionally na hakupata washauri sahihi lakini asilimia kubwa ya jamii wanampa lawama yeye kwasababu alimalizia vibaya kuuza mali na kukimbia na mtot, kasoro mimi.

Wakati ndugu yangu ndiye aliyekosea in the first place alimsaliti, utakuta alikuwa anampiga wakati mwingine na kero nyingine nyingine ambazo kwa mtazamo wake yeye kama mwanaume alikuwa anaona ni sawa hakuna shida hapa yeye ndiye alikuwa chanzo cha tatizo (but he feels like there were justifications for whatever he was doing)

Again wanaume wa Tanzania, Afrika tujitahidi kuwa responsible na kufikiria matendo yetu na vile tufanyavyo kwenye mahusiano imagine huyu victim ambaye hataki kusamehe anavyosimulia yeye kuwa ana zini nje halafu amekamatwa anajua yameisha kirahisi rahisi tu ni Ngumu sana, Na Mungu atusaidie kwa kweli

Ndoa ni uwekezaji mkubwa sana. Aliyeanzisha kosa ndiye hataki kusamehe its so Sad
People should learn to be responsible for their actions period.

Hii scenario imenikumbusha story fulani hivi. Bwana alikuwa anaishi na mdada A kwa muda tu; ikatokea akapata mdada B kazini na baada ya muda B akapata ujauzito. Inavyoonekana mdada A akajua kama kuna B na ana ujauzito. Siku Bwana akakamatwa kwa kosa fulani akawekwa ndani; A akapromise kumsaidia ila akapotea mazima akasomba na furniture zote. So B ndo akamtolea bwana dhamana na kila kitu. Sasa B akawa anaongea kuwa kwa kitendo alichofanya A; aliprove kuwa A hakuwa the right person kwa bwana. Kimoyo moyo nilicheka sana; hivi Bwana aliyekuwa anaishi na A afu bado akaenda akampa B mimba; je bwana ndo alikuwa the right person kwa A?

Kitendo cha mwanamke kutoroka na vyombo naonaga kama ni cha kujidhalilisha sana; but tunatakiwa tuangalie na chanzo. Majority wanafanyaga kama njia ya kutoa uchungu. Though I wish wangekuwa wanaachana tu kwa amani na hao wanaume waliowakosea; simply showing them that there were not worth their love. "You raise your head up and leave gracefully"
 
Mkuu mimi niliongelea kuhusu TV na kitanda mwanzoni kwamba ni vitu vidogo sana ambavyo mtu ukiamua kureplace, haikuchukui muda ( my intentions were good labda namna nilivyowasilisha).

Wewe ndio ukaniambia mimi nina wivu, ninaishi kwa dada yangu, ukaongea maneno machafu kumhusu dada yangu.

Nikakuambia sina cha kuona wivu hapo, kwa sababu hayo maisha nimeyaishi miaka mitano nyuma. Mimi siwezi kulook down on someone kwa sababu ni kitu ambacho nakipinga.

Ntarudia tena na tena, nimejaribu kuwa very objectively. Nakubali huyo mwanamke kakosea, lakini sio shetani kama tunavyoaminishwa hapa.

Na nilijaribu kuongelea mambo ya TV ili wadau mfunguke kuhusu possibility ya kuongezewa sifuri kwenye maelezo mengine.

Story yake imekuwa filtered sana, kuna sehemu mambo yametolewa na kuna sehemu mambo yameongezwa.

Na trust me, huwa sina wivu kabisa kuhusu mshikaji. Naamini Honesty is a best policy. Na ntandelea kusema ukweli.
Dharau unazo maana ulianza kwa kusema vitu vyenyewe TV na kitanda, ukasema hayo maisha umeishi 5 yrs back, ndo nikakuambia kama wewe umeishi 5yrs back yeye kaishi 10 yrs back.
Kwa hyo kwako kipi bora kujaribu kumwendeleza mtu ambaye unahisi hana uwezo wa Kufanya maamuzi ili awe na uwezo wa Kufanya maamuzi na kulea familia au kumwacha alivyo. Mkuu sijui hata unaongea nini tu maana kija Jema alolojaribu Kufanya jamaa kwako unaona mbaya. Kama umesoma comments kuna sehemu jamaa akasema aliachana na yule mchepuko maana kwa Mapito Yale hata network ilikuw haishiki sometimes. Nimemsoma vzuri sana mwana nadhani Yale matusi yalimfika kiasi cha kuamua kuongelea Kuhusu msaada aliompa mama Mkwe. Jamaa alikuwa provoked kwa kiwango cha juu. Je mbona huongelei mwana kutukanwa na mama, Dada, na mke, mbona unongelea tu mwana kumshirikisha Rafiki, sister jirani na mama. Acha wivu mkuu

Mkuu una wivu, huo ndo ukweli
 
Mkuu mimi niliongelea kuhusu TV na kitanda mwanzoni kwamba ni vitu vidogo sana ambavyo mtu ukiamua kureplace, haikuchukui muda ( my intentions were good labda namna nilivyowasilisha).

Wewe ndio ukaniambia mimi nina wivu, ninaishi kwa dada yangu, ukaongea maneno machafu kumhusu dada yangu.

Nikakuambia sina cha kuona wivu hapo, kwa sababu hayo maisha nimeyaishi miaka mitano nyuma. Mimi siwezi kulook down on someone kwa sababu ni kitu ambacho nakipinga.

Ntarudia tena na tena, nimejaribu kuwa very objectively. Nakubali huyo mwanamke kakosea, lakini sio shetani kama tunavyoaminishwa hapa.

Na nilijaribu kuongelea mambo ya TV ili wadau mfunguke kuhusu possibility ya kuongezewa sifuri kwenye maelezo mengine.

Story yake imekuwa filtered sana, kuna sehemu mambo yametolewa na kuna sehemu mambo yameongezwa.

Na trust me, huwa sina wivu kabisa kuhusu mshikaji. Naamini Honesty is a best policy. Na ntandelea kusema ukweli.
Una dharau tena saaaana tu hata sio kidogo, heshimu vya watu pia u ion vina thamani!!
 
Mkuu mimi niliongelea kuhusu TV na kitanda mwanzoni kwamba ni vitu vidogo sana ambavyo mtu ukiamua kureplace, haikuchukui muda ( my intentions were good labda namna nilivyowasilisha).

Wewe ndio ukaniambia mimi nina wivu, ninaishi kwa dada yangu, ukaongea maneno machafu kumhusu dada yangu.

Nikakuambia sina cha kuona wivu hapo, kwa sababu hayo maisha nimeyaishi miaka mitano nyuma. Mimi siwezi kulook down on someone kwa sababu ni kitu ambacho nakipinga.

Ntarudia tena na tena, nimejaribu kuwa very objectively. Nakubali huyo mwanamke kakosea, lakini sio shetani kama tunavyoaminishwa hapa.

Na nilijaribu kuongelea mambo ya TV ili wadau mfunguke kuhusu possibility ya kuongezewa sifuri kwenye maelezo mengine.

Story yake imekuwa filtered sana, kuna sehemu mambo yametolewa na kuna sehemu mambo yameongezwa.

Na trust me, huwa sina wivu kabisa kuhusu mshikaji. Naamini Honesty is a best policy. Na ntandelea kusema ukweli.


Kwani kuna mahali mwana akasema alishindwa kureplace TV, hapa mwana alichokuwa anasema kama huyo mwanamke alishamchoka angemwacha na watoto wake na vitu vyake kwa sababu alimkuta navyo. Nikasema una wivu maana ni kma ulionyesha kama mwana alivhofanyiwa ni sahihi. Sawa inawezekana babda mwana hajaeleza vyote ila hata ukisoam mkasa wake amejaribu kuwa fai mbona kakubali kuwa alichepuka so angeweza kua na story nyingine itakayoonyesha kuwa huyo mwanamke alifanya ndivyo sivyo? Utakuweje objective kwa kuona tu kuwa mwana ndo Mwenye kisa na huyo mwanamke hana kosa. Tutaongezewaje sifuri wewe unamjua mwana maana unvyoongea ni kama hii story unaijua kabla ila hutaki kufunguka. Umejuaje kuwa story imekuwa filtered ? Hii story unaijua nje ya hapa. Acha kujifanya mjuaji wakati hujui lolote

Wivu tu unakusumbua na dharau za kingese, inawezekana kweli unakaa kwa Dada.
 
Ningefanya kama wew,pengne zaidi yako!!hata yule jamaa aliotumia gunia 2 kumchoma mkewe nina hakika ana story ndefu sana ambayo inabidi kwanza tuisikie...hawa viumbe sio wenzetu
Correct
 
Duuu. naona thread imegeuka kuwa uwanja wa mtifuano, naomba nilale kidogo wakuu nimechoka sana leo kwenye mihangaiko ya kuwatafutia watoto ugali (mnajua tena mimi ndo baba ndo mama kwa sasa), usiku mwema wakuu.
 
Mimi nilipo huku watu wakitaka kuhama au kuupgrade vitu vya ndani, huwa wanaacha TV, sofa , na vitu vingine nje. Mimi TV yangu niligawa bosi, gari ya kwanza huku nilipo nilipewa bure.

Kuna jirani yangu hapa, katupa TV yake kwenye dustbin jana. Ningekupigia picha uone.

Labda exposure ndio inanifanya nionekane nina dharau. Labda exposure ndio inanifanya nione kuchepuka ni kosa, haijalishi kalifanya nani. Labda exposure, ndio inanifanya niwe na mtazamo huu. Labda exposure ndio inanifanya niweze kucritique hii story kwa jicho hilo.

Vyovyote vile, sitaki argument za matusi. Ukinitukana tena, nakureport.

Kwani kuna mahali mwana akasema alishindwa kureplace TV, hapa mwana alichokuwa anasema kama huyo mwanamke alishamchoka angemwacha na watoto wake na vitu vyake kwa sababu alimkuta navyo. Nikasema una wivu maana ni kma ulionyesha kama mwana alivhofanyiwa ni sahihi. Sawa inawezekana babda mwana hajaeleza vyote ila hata ukisoam mkasa wake amejaribu kuwa fai mbona kakubali kuwa alichepuka so angeweza kua na story nyingine itakayoonyesha kuwa huyo mwanamke alifanya ndivyo sivyo? Utakuweje objective kwa kuona tu kuwa mwana ndo Mwenye kisa na huyo mwanamke hana kosa. Tutaongezewaje sifuri wewe unamjua mwana maana unvyoongea ni kama hii story unaijua kabla ila hutaki kufunguka. Umejuaje kuwa story imekuwa filtered ? Hii story unaijua nje ya hapa. Acha kujifanya mjuaji wakati hujui lolote

Wivu tu unakusumbua na dharau za kingese, inawezekana kweli unakaa kwa Dada.
 
Mimi nilipo huku watu wakitaka kuhama au kuupgrade vitu vya ndani, huwa wanaacha TV, sofa , na vitu vingine nje. Mimi TV yangu niligawa bosi, gari ya kwanza huku nilipo nilipewa bure.

Kuna jirani yangu hapa, katupa TV yake kwenye dustbin jana. Ningekupigia picha uone.

Labda exposure ndio inanifanya nionekane nina dharau. Labda exposure ndio inanifanya nione kuchepuka ni kosa, haijalishi kalifanya nani. Labda exposure, ndio inanifanya niwe na mtazamo huu. Labda exposure ndio inanifanya niweze kucritique hii story kwa jicho hilo.

Vyovyote vile, sitaki argument za matusi. Ukinitukana tena, nakureport.



Huna lolote exposure exposure my ass, kumbe gari ulipewa, wanaume mwenzako wanajisifi Kununua gari we unajisifu kupewa, we ni.....au? Kwa kifupi hata ueleweki maana kila ukireply unakuja na mengine, acha kubadili gia angani.
 
Back
Top Bottom