Kila nikijaribu kutaka kufanya Maendeleo kwa wazazi wangu ninashindwa

Kila nikijaribu kutaka kufanya Maendeleo kwa wazazi wangu ninashindwa

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
566
Reaction score
1,583
Ninatoka familia duni sana ambayo kipato chao,mlo wao na ata makazi yao ni duni sana

Nina wakubwa zangu Ila na wao wote wana familia zao na wao pia hali zao zipo chini sana kiuchumi, kwahiyo pale nyumban nimebaki mimi na wadogo zangu wengine ambao na wao bado wanasoma

Mimi ndio mtu wa kwanza kufika elimu ya Chuo Kikuu kwa home na ata kiukoo kwa ujumla japo kiuchumi bado sipo vizuri sana

Ila sasa kila nikiwapigia simu wazaz wangu kuwa mwezi unaokuja nitakwenda kuwakarabatia nyumba yao na ata kuwawekea umeme na pamoja na maji. Zile pesa zote nilizo changa zinaishia kwenye mambo mengne tena ni ya ovyo sana

Ninajiona kama nina jukumu kubwa sana la kubadili hali ya pale home coz nikiwaangalia ndugu zangu sifikirii kama ata wana mawazo hayo,ila sasa hali ninayo kumbana nayo ndio Kama hiyo

Msaada pleasee,kuna nguvu za giza zinaniandama au ni maroho ya umaskini?
 
Ninatoka familia duni sana ambayo kipato chao,mlo wao na ata makazi yao ni duni sana……….

Nina wakubwa zangu Ila na wao wote wana familia zao na wao pia hali zao zipo chini sana kiuchumi, kwahiyo pale nyumban nimebaki mimi na wadogo zangu wengine ambao na wao bado wanasoma

Mimi ndio mtu wa kwanza kufika elimu ya Chuo Kikuu kwa home na ata kiukoo kwa ujumla japo kiuchumi bado sipo vizuri sana

Ila sasa kila nikiwapigia simu wazaz wangu kuwa mwezi unaokuja nitakwenda kuwakarabatia nyumba yao na ata kuwawekea umeme na pamoja na maji……….Zile pesa zote nilizo changa zinaishia kwenye mambo mengne tena ni ya ovyo sana

Ninajiona kama nina jukumu kubwa sana la kubadili hali ya pale home coz nikiwaangalia ndugu zangu sifikirii kama ata wana mawazo hayo,ila sasa hali ninayo kumbana nayo ndio Kama hiyo

Msaada please…………Je,kuna nguvu za giza zinaniandama au ni maroho ya umaskini?
Mambo ya hovyo yanayokula pesa yako ni yapi?
Pia usitoe taarifa ya nakuja au nataka kufanya hili au like, wewe dunduliza ukijua lengo lako ni nini na kiasi gani cha pesa unafanya hilo jambo hata sehemu ya hilo jambo, maana kujenga nyumba ni hatua kwa hatua. Una pesa na nafasi ya kwenda kusimamia, ni kuzuka tu na kufanya jambo lako.
 
Ninatoka familia duni sana ambayo kipato chao,mlo wao na ata makazi yao ni duni sana……….

Nina wakubwa zangu Ila na wao wote wana familia zao na wao pia hali zao zipo chini sana kiuchumi, kwahiyo pale nyumban nimebaki mimi na wadogo zangu wengine ambao na wao bado wanasoma

Mimi ndio mtu wa kwanza kufika elimu ya Chuo Kikuu kwa home na ata kiukoo kwa ujumla japo kiuchumi bado sipo vizuri sana

Ila sasa kila nikiwapigia simu wazaz wangu kuwa mwezi unaokuja nitakwenda kuwakarabatia nyumba yao na ata kuwawekea umeme na pamoja na maji……….Zile pesa zote nilizo changa zinaishia kwenye mambo mengne tena ni ya ovyo sana

Ninajiona kama nina jukumu kubwa sana la kubadili hali ya pale home coz nikiwaangalia ndugu zangu sifikirii kama ata wana mawazo hayo,ila sasa hali ninayo kumbana nayo ndio Kama hiyo

Msaada please…………Je,kuna nguvu za giza zinaniandama au ni maroho ya umaskini?
Huyo ni wewe tu bado hujaweka nia ya dhati
 
Sijajenga ila wazazi wangu wana nyumba yao ila ni kama pagale tu coz haija kamilika sehemu kubwa na ule mtaa wanao ishi wamezungukwa na watu wenye pesa karibu wote………..Huwezi amini!!!! Kwetu ndio imekuwa mfano wa kaya masikini kwa pale mtaani

Shida yangu kubwa ni kubadili mazingira ya pale japo kwa kiasi kidogo tu ili nipunguze ile picha ya kudharaulika pale mtaani ila ndio hivyo tena mabalaa yamekuwa mengi sana
 
Ninatoka familia duni sana ambayo kipato chao,mlo wao na ata makazi yao ni duni sana

Nina wakubwa zangu Ila na wao wote wana familia zao na wao pia hali zao zipo chini sana kiuchumi, kwahiyo pale nyumban nimebaki mimi na wadogo zangu wengine ambao na wao bado wanasoma

Mimi ndio mtu wa kwanza kufika elimu ya Chuo Kikuu kwa home na ata kiukoo kwa ujumla japo kiuchumi bado sipo vizuri sana

Ila sasa kila nikiwapigia simu wazaz wangu kuwa mwezi unaokuja nitakwenda kuwakarabatia nyumba yao na ata kuwawekea umeme na pamoja na maji. Zile pesa zote nilizo changa zinaishia kwenye mambo mengne tena ni ya ovyo sana

Ninajiona kama nina jukumu kubwa sana la kubadili hali ya pale home coz nikiwaangalia ndugu zangu sifikirii kama ata wana mawazo hayo,ila sasa hali ninayo kumbana nayo ndio Kama hiyo

Msaada pleasee,kuna nguvu za giza zinaniandama au ni maroho ya umaskini?
Achana na mademu wa hovyo
 
Mambo ya hovyo yanayokula pesa yako ni yapi?
Pia usitoe taarifa ya nakuja au nataka kufanya hili au like, wewe dunduliza ukijua lengo lako ni nini na kiasi gani cha pesa unafanya hilo jambo hata sehemu ya hilo jambo, maana kujenga nyumba ni hatua kwa hatua. Una pesa na nafasi ya kwenda kusimamia, ni kuzuka tu na kufanya jambo lako.
Mambo ya ovyo kama vile starehe japo uwa situmii pombe Ila bebez na kununua vitu visivyo kuwa na maana yote imekuwa nyingi mno na uwa lust inakuwa kubwa kila nikianza kupata pesa hasa nikiwaambia tu home kuwa next month ntakuwa huko
 
Kafungue hata fixed account kwa kipindi flan let's say hata 3yrs, then jiwekee akiba kadri uwezAvyo , muda ukifika katoe pesa yako zama ndichi kafanye maendeleo,,, pia zingatia usiwe unawaambia sana watu mipango yako mfano kujenga, kufungua biashara nk,,,kuna watu wana mikosi na laana
 
Ninatoka familia duni sana ambayo kipato chao,mlo wao na ata makazi yao ni duni sana

Nina wakubwa zangu Ila na wao wote wana familia zao na wao pia hali zao zipo chini sana kiuchumi, kwahiyo pale nyumban nimebaki mimi na wadogo zangu wengine ambao na wao bado wanasoma

Mimi ndio mtu wa kwanza kufika elimu ya Chuo Kikuu kwa home na ata kiukoo kwa ujumla japo kiuchumi bado sipo vizuri sana

Ila sasa kila nikiwapigia simu wazaz wangu kuwa mwezi unaokuja nitakwenda kuwakarabatia nyumba yao na ata kuwawekea umeme na pamoja na maji. Zile pesa zote nilizo changa zinaishia kwenye mambo mengne tena ni ya ovyo sana

Ninajiona kama nina jukumu kubwa sana la kubadili hali ya pale home coz nikiwaangalia ndugu zangu sifikirii kama ata wana mawazo hayo,ila sasa hali ninayo kumbana nayo ndio Kama hiyo

Msaada pleasee,kuna nguvu za giza zinaniandama au ni maroho ya umaskini?
Nitumie hiyo hela niwe nakushikia! Kila mwisho wa mwezi unatuma kiasi nakutunzia
 
tatizo linaanzia kichwani kwako,una elimu ya chuo kikuu hujui kupangila mambo bado unaamini huenda umerogwa.
Ushauri
Rudi darasani tafuta chuo kinachofundisha kuelewa sio kukariri kisha njoo kitaa tukupe elimu ya mtaa halafu tutakufundisha namna ya kufanya jambo kubwa kwa kuanza kufanya kidogo halafu utatoboa.
 
Back
Top Bottom