Kila nikijaribu kutaka kufanya Maendeleo kwa wazazi wangu ninashindwa

Haya mambo yanaumiza sana.

Nina deni kubwa sana nyumbani, Sijui hata nalimaliza vpi.

Mshukuru Mungu sana kama umezaliwa kwenye familia Middle class kiasi kwamba hulazimiki kulipa Madeni ya Wazazi wako
 
Haya mambo yanaumiza sana.

Nina deni kubwa sana nyumbani, Sijui hata nalimaliza vpi.

Mshukuru Mungu sana kama umezaliwa kwenye familia Middle class kiasi kwamba hulazimiki kulipa Madeni ya Wazazi wako
Yani we acha tu kuna namna unajaribu kusema watajijua ila ukikaa ukawaza kwa umakini utagundua kuwa ni ujinga sana kutoa hiyo kauli

Kuna siku kwenye utahitaji kupeleka mchumba au wanao nyumban kwenu na zaidi kuna mabalaa yanayokeaga kwa sisi wanadamu Kwahyo nyumbani ni pahali panapohitaji kuwekwa sawa ata kwa kiasi tu
 
pole mkuu, the same to me. na ukicheki mm mwenyewe kwangu mambo hayako poa . na hii ndio hali ya watanzania tulio wengi
 
Kwenye uchumi hakuna kitu kinaitwa huruma watch out

Ningekushauri fanya vitu basic tu
Maji
Umeme
La muhimu zaidi wazazi wapate chakula bora basi
 
Strong code#😎12990📌
 
Kinacho kuponza ni kutoa taarifa juu ya marekebisho ya makazi kwa wazazi wako, fanya iwe siri yako jichange alafu ibuka tu bila ya taarifa utafanikiwa kufanya maboresho
Na hapo ndio mzizi wa tatizo, anaweza kutoa taarifa kwa nia njema kabisa ila binadam kwa kupenda sifa si ajabu wazazi wanazitoa hizo taarifa na huo ndio mwanzo wa mkwamo wa anachotaka kukifanya.
 
The same problem kwa tuliotoka familia duni,

The circle doesn't end, komaa na mmoja (mwenye akili) wenu atoke then Mwingine, that's the only way forward
 
Hebu jaribu kujenga ukweni tuone? Jokes.....

Kabla ya kuanza kujenga fanya maombi na kukabidhi mpango wako kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…