Kila nikikumbuka ajira za ualimu nazo zina interview Sasa hivi nachanganyikiwa basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu chuo

Interview ni nzuri mazee maana uwezo wako ndio unakubeba tofauti na ule mfumo wa mwanzo ambao ulikuwa unategemea mabosi wa Tamisemi wameamka vipi maana unaweza Kuta wanakubaliana kwamba mwaka huu tuchukue waliomaliza 2018 na 2019 tu wengine nyote mnaachwa sasa huo ni ujinga .
 
Mwarobaini ingekuwa ni IQ test!! Hata kama umemaliza chuo leo kama IQ iko chini iko chini tu!! Kwa mfano unampa mtu kusoma habari fulani wakati huo huo anasikiliza taarifa ya habari kisha unamwuliza maswali kutoka habari aliyokuwa anasoma na maswali kutoka kwenye taarifa ya habari!! Mwenye IQ kubwa hata kama alimaliza chuo miaka 10 iliyopita atajitokeza tu!!
 
Wewe unaona wanatendewa haki??
Hakuna kelele kwa sababu toka mwanzo walikuwa wanapambana kwenye usaili kwa hiyo walishakubali matokeo!! Kama ni kulia wamelia hadi wamenyamaza!! Lakini watu wa Elimu na Afya walikuwa wanapangiwa vituo tu!!
 
nafasi ni chache serikali yenyewe haielewi imuchuke nani imuache nani,

Huu ndio Muda wa matambiko sasa 😁
 
Wanazingatia lakini kwanza ufaulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…