tukiweka ushabiki pembeni ,,, hili swala ni kama serikali inajaribu kuwa ambiwa walimu kuwa walimu waliomaliza na kukaa miaka 5 6 mpaka 7 mtaani ,, watafute shughuli nyingine kwenye fani ya uwalimu hawaitajiki tenaaa ,, lakini sasa ndiyo hivyo tena serikali inashindwa lugha ya moja kwa moja ya kuitumia,, serikali inatamani kuajili vijana wa 2020 kuja juu basi ila sasa ndiyo hivyo huwezi kuwaambia watu wasiombe utanyanyua mjadala mzito sanaa
Unajua mfano mtu aliyemaliza let say 2017 ,, leo hii unaenda kumuuliza swali la course may introduction to psychology ,,, course hii huyu mtu aliisoma 2014 au 2015 sasa leo unaenda kumlazimisha akumbuke mambo aliyosoma miaka 7 nyuma na kuangalia kama kweli yupo compitent katika hilo eneo bila kujali other factors like time ,, na mambo mengine mengi,,, is like wame - assume huyu mtu toka alipomaliza yupo costant yani hajishughulishi na jambo jingine lolote isiokuwa shule tu ukwel interview ishakosa realibility...