Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kwa ufupi sanaHongera, sijawahi kusikia emu nipe habari zao
Hapana mkuu....hata waliosoma Sasa ni wasomi piaPole sana mkuu ndio maana mimi nasemaga wasomi ni wale waliosoma zamani.
Tafuta exposureSasa hivi natamani nipate ata kazi ambayo nitalipwa ata laki na nusu ila sipati
Kweli MAISHA yana ramani na aliyemchorea masikini pen ili mgomea njiani
Napata makapi vinono navitamani
View attachment 3051725
Kama naiona fursa nzuri nani babu kubwa niiache kisa mtu home ndio pakuanzia ukiwa unajipanga kuponyoka kwende mambele hukoElimu itamlimit kunyumbulika.. aliosoma nao wqtamdhihaki. Ataenda kuwa mfano mbaya huko na ataonyeshewa kidole mana watu ukisoma wanataka kukuona una mafanikio na hela tu... umezipata wapi wao hawatak kujua.. ataenda kubeti tu.
Ukisoma ukarudi nyumban umeachagua kwend kutumika kama mfano mbaya huko unless uwe na kaz ya kueleweka
😂😂😂 kuna wataasisiKwa ufupi sana
"HATA YULE ANAYEONEKANA ANA AFADHALI KIDOGO, WANAMVUTA ARUDI NYUMA AU ASIJIKWAMUE"
We unadhani mkapa mjinga kwao hajawahi kupeleka hata kiroba cha unga?
Kama una moyo wq chuma wewe ni exceptional. Do it now! Lakin sishauri kila mtu hili mana kila mtu kwao anapajua mwenyew ila kama kwenu direct fee imechangwa kwa mbinde na kelele kibao miksa vitisho kwa ndugu usirudi home utaenda kujinyonga bureKama naiona fursa nzuri nani babu kubwa niiache kisa mtu home ndio pakuanzia ukiwa unajipanga kuponyoka kwende mambele huko
Usijichanganye mkuu, utaishia kulia!. UkizLiwa familia za kipato kidogo ujue ukifika home utaanza kuangaliwa hata kama huna mipango. Kuna dogo mmoja humhum jina nimemsahau alnichek na kunieleza ya kwao. Ofkoooz dogo mpaka mda huu nimegundua ana psychosis.😂😂😂 kuna wataasisi
Kipindi anakula yamini y hili kuwa sio wa bei ndogo asiwe tegemez kwa watu wengine. Mpaji Mungu hujambo?Stay positive don't lower ur status
It is matter of time and space -ni swala la muda na nyakati.
Utapata job with well paid salary
Niulize mmUsisahau sure odds... inaweza kukutoa mkuu
Odds ni kitu gani ? Nijuze tafadhariUsisahau sure odds... inaweza kukutoa mkuu
Kama unay ya uhakika mkuu nipe na mm kuna buku 4 hapa nipime upepoUsisahau sure odds... inaweza kukutoa mkuu
Ni mtihani kwa kweli, asiache kupambana ipo siku mambo yatajipaUsijichanganye mkuu, utaishia kulia!. UkizLiwa familia za kipato kidogo ujue ukifika home utaanza kuangaliwa hata kama huna mipango. Kuna dogo mmoja humhum jina nimemsahau alnichek na kunieleza ya kwao. Ofkoooz dogo mpaka mda huu nimegundua ana psychosis.
Yani mzaz katia hela dogo kakosa ajira, mzaz kakopa tena kapiga post graduet na kakosa tena. Sahiv hali si shwar yan kwa namna aliyokutana nayo hata kama ni wewe hauwez kuwa sawa mentally
Kipindi anakula yamini y hili kuwa sio wa bei ndogo asiwe tegemez kwa watu wengine. Mpaji Mungu hujambo?