Kila nikikumbuka Machi 17, 2021 naishia kusema acheni Mungu aitwe Mungu

Kila nikikumbuka Machi 17, 2021 naishia kusema acheni Mungu aitwe Mungu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.

Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".

Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mav* yako".

Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha na shida ile.

Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
 
Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.

Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".

Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi kiongozi wa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mavi yako".

Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha, shida na laana ile.

Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Sawa wanakuja.
 
Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.

Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".

Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mavi yako".

Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha, shida na laana ile.

Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Exactly, alikuwa na ttazo la mental health
 
Kwanza nilkuwa nikifikiria kuwa huyu jamaa mwisho wake lini nikawa siuoni kabisa maana alikuwa ameshaanza kuweka maboguz yake kule bungeni kushinikiza aongezewe muda

Kiukwel hyo tarehe nilkuwa nakifuraha fulan cha ajabu sana muda wote nilkuwa natabasam tu

Jinga sana likawa linaendesha nchi kama ni ya mama ake,

Eti mimi sijibiwagi hivyo(kwani wewe umekuwa nani mbwa wewe,nyambafu)
 
Back
Top Bottom