Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kwao wanahilo tatzo ni la kurithi,kuna wengine ni vichaa kabisaExactly, alikuwa na ttazo la mental health
Kwahyo hii nchi iliongozwa na mwendawazimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwao wanahilo tatzo ni la kurithi,kuna wengine ni vichaa kabisaExactly, alikuwa na ttazo la mental health
Tungeteseka sana ila Mungu alituhurumia.Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.
Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".
Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mavi yako".
Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha, shida na laana ile.
Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Hakika Mungu wetu ni Mwema sana,kutuondolea fashisti na dhalim lile bila hata tone la damu kumwagika.Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.
Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".
Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mavi yako".
Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha, shida na laana ile.
Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Unashangilia kifoWatu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.
Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".
Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mavi yako".
Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha, shida na laana ile.
Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Mwenye cheti safi aliyebaki kazini baada ya tumbua watumishi hewa, ila akaonewa kwa kutoongezewa mshahara wala kuandishwa daraja kwa miaka yote 6 ya Shetani-mtu.Upo kundi lipi kati ya haya;
Vyeti fake,
Fisadi,
Ama timu Msoga?
Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.
Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".
Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mav* yako".
Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha na shida ile.
Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Umeshatoka lindo ofisi ya tarafa?Nyie watu wa MAVYETI FEKI muende shule mkasome hatutaki malalamiko
Nape alisema "Mungu alimaliza ugomvi"Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.
Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".
Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mav* yako".
Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha na shida ile.
Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Nyerere, mkapa na Magufuli kwa mtazamo wangu hawajapishana sana kiuongozi hasa kimisimamo,kutoyumbishwa kwa namna yoyote hali kadhalika hata mkwere, mwinyi na Samia pia hawatofautiani sana aina ya uongozi wao ukizingatia wote wanatoka ukanda wa pwaniUnamaanisha nn?
KimeoRIP KOMANDO
Kama hutaki kulipa PIGA MBIZIWatu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mav* yako".
Watu wana maneno ya maudhi sana.Wapige mbizi ila masikio yasilowe!Kama hutaki kulipa PIGA MBIZI
Sukuma GangUpo kundi lipi kati ya haya;
Vyeti fake,
Fisadi,
Ama timu Msoga?
Wameishiwa hojaU
Unauwezo mdogo wa kupambanua mambo kwamba kila anayetofautiana nae mawazo ni
Msoga
Vyeti feki
A
Fisadi
Hata mtoto wa primary hawezi kuwa na akili kama hizi