emmadizzo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,340
- 1,445
umesahau kundi la [emoji304]Upo kundi lipi kati ya haya;
Vyeti fake,
Fisadi,
Ama timu Msoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umesahau kundi la [emoji304]Upo kundi lipi kati ya haya;
Vyeti fake,
Fisadi,
Ama timu Msoga?
Komando wa matusi na kuuwaRIP KOMANDO
Kifo cha shetani lazima kishangiliweUnashangilia kifo
Ben Saanane hakutoa siri yoyote bali alihoji tu uhalali wa Ph.D iliyopasa kusomewa miaka 5 lakini mwamba yeye kaipata ndani ya miaka 3! Akahoji pia andiko la Ph.D kutoonekana maktaba kama ilivyo ada. Mara jamaa kapotea hadi leo! Bila shaka mwamba alikuwa na cheti feki!hata Magufuli alikuwa na cheti feki, PhD na ndiyo maana alimwua Ben Saanane kwa kutoa siri