Kila nikikumbuka Machi 17, 2021 naishia kusema acheni Mungu aitwe Mungu

Kila nikikumbuka Machi 17, 2021 naishia kusema acheni Mungu aitwe Mungu

hata Magufuli alikuwa na cheti feki, PhD na ndiyo maana alimwua Ben Saanane kwa kutoa siri
Ben Saanane hakutoa siri yoyote bali alihoji tu uhalali wa Ph.D iliyopasa kusomewa miaka 5 lakini mwamba yeye kaipata ndani ya miaka 3! Akahoji pia andiko la Ph.D kutoonekana maktaba kama ilivyo ada. Mara jamaa kapotea hadi leo! Bila shaka mwamba alikuwa na cheti feki!
 
Back
Top Bottom