Sawa wanakuja.Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.
Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".
Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi kiongozi wa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mavi yako".
Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha, shida na laana ile.
Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Changia acha matusiAcha majungu wewe
Huna hoja. Nakupuuza🗑🗑🧻 trash
Nakupuuza wewe na maandishi yakoUpo kundi lipi kati ya haya;
Vyeti fake,
Fisadi,
Ama timu Msoga?
UmesahauUpo kundi lipi kati ya haya;
Vyeti fake,
Fisadi,
Ama timu Msoga?
Exactly, alikuwa na ttazo la mental healthWatu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa.
Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama sijengi barabara".
Watu walichoshwa kusikia ama kuona kiongozi wa kitaifa akitoa matusi mazito kwenye mikutano ya hadhara tena mbele ya kamera. Mfano "watu watakunywa mkojo wako?" Kama huwezi kulipia "beba mavi yako".
Mungu akaona isiwe tabu. Akazisikia sala za watanzania na kuchukua hatua. Kiulaini akatuondolea adha, shida na laana ile.
Ndipo sasa ninasema MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.
Akili hizo azitoe wapi?Changia acha matusi
Unauwezo mdogo wa kupambanua mambo kwamba kila anayetofautiana nae mawazo niUpo kundi lipi kati ya haya;
Vyeti fake,
Fisadi,
Ama timu Msoga?
Anategemewa huyo hadi kunyonyesha watoto wa familia.U
Unauwezo mdogo wa kupambanua mambo kwamba kila anayetofautiana nae mawazo ni
Msoga
Vyeti feki
A
Fisadi
Hata mtoto wa primary hawezi kuwa na akili kama hizi
Yaani kwakweli alipaswa kuwa milembe hospitalExactly, alikuwa na ttazo la mental health
Nani?Kipensi?RIP KOMANDO