Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

Yawezekana wala sio m'bovu.
Tatizo kuna mtu unaogopa hata kumtambulisha kwa watu mana anoaongea hovyo hachagui aongee nini na wapi yaaani anajiropokea tu.
Yaani hawezi kunyamaza hata kama hawajui ataongea tu na akiongea unaweza tamani ukimbie au ujifiche.
Inshort hana staha wala adabu.
Yawezekana ndio alichomaanisha.
Still ataongea pumba tu kwa sababu kichwani hamna kitu
 
Yawezekana wala sio m'bovu.
Tatizo kuna mtu unaogopa hata kumtambulisha kwa watu mana anoaongea hovyo hachagui aongee nini na wapi yaaani anajiropokea tu.
Yaani hawezi kunyamaza hata kama hawajui ataongea tu na akiongea unaweza tamani ukimbie au ujifiche.
Inshort hana staha wala adabu.
Yawezekana ndio alichomaanisha.
Haswaaa. MTU mzuri bedroom, mpishi mzuri tatizo hajui aongee nini mbele ya Nani.
Mnakwenda kwenye harusi za watu wa heshima anataka aonekane anajua Sana kucheza, mnakuta chakula Cha harusi sio kizuri anakitoa kasoro pale pale.
 
Haswaaa. MTU mzuri bedroom, mpishi mzuri tatizo hajui aongee nini mbele ya Nani.
Mnakwenda kwenye harusi za watu wa heshima anataka aonekane anajua Sana kucheza, mnakuta chakula Cha harusi sio kizuri anakitoa kasoro pale pale.
Mechi ya leo Taifa stars na ethiopia mko bar mnaangalia mpira mbele za watu anaropoka mbona mayele hachezi?
 
Na mimi nlimpataga pisi moja inaitwa E yani nikimgonga tu nikipush mchongo wow wowote inatiki nlikuja kumwambia na nkawa nagawana naye siku izi nkimmiss namwambia nmeitwa interview aje anipe kismati
 
Na mimi nlimpataga pisi moja inaitwa E yani nikimgonga tu nikipush mchongo wow wowote inatiki nlikuja kumwambia na nkawa nagawana naye siku izi nkimmiss namwambia nmeitwa interview aje anipe kismati
Haya mambo yapo sana mkuu kikubwa mchongo ukitiki tusiwasahau,mi naogopa kumwambia asije kuanza maringo maana simuamini amini
 
Ila uhuru umezidi jamani... mpaka hili nalo linaelezewa mtandaoni?
 
No sahih ila Kuna wengine Ni balab tupu nimewai kumla demu wa kiyela hapo uyule kesho yake nikaenda kazin aisr nilipata ajali mbya sna katk baranara ya song. Gar ya ofcn iliaribika vibaya ingawa sijafunkuzwa Kaz mpka leo namuogopa yule demu yaani
 
Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
Kama uyasemayo yamekutoka moyoni, uzee ndo final ya yote,
 
Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!

Unaongea lugha ngapi?
 
Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah

Debora gani huyo au huyu debora ndala ndefu
 
Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah

Debora gani huyo au huyu debora ndala ndefu
 
Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah

Debora gani huyo au huyu debora ndala ndefu
 
Back
Top Bottom