Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye bia ni kweli ndio maana walevi hawakosi hela ya kunywaMimi kila nikienda kidimbwi, kesho yake napata hela.
nisipo kunywa bia, naamka patupu tu, hakuna hela 😃🤣🤣
Itabidi nifanye hivyo ila amekaa kama baunsa na mi kimbaumbau nikioa nikamzingua atanidundaSi uoe kabisa Ili zije KILA siku
Ukimnyandua vizuri hawezi kukudunda.Itabidi nifanye hivyo ila amekaa kama baunsa na mi kimbaumbau nikioa nikamzingua atanidunda
Na ndio maana simuachi aiseeUkimnyandua vizuri hawezi kukudunda.
Mimi niliwahi pata wa hivyo sema zamani.
Wa hivyo mtaelewana Sana kwenye ndoa Hakuna vurugu ana ngekewa huyo
Wacha wee ahaaa kumbe we kisuSura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
Fgujyrs byjfds nbjjlkIvjcjtvkonf uunfvdtj hlctjfyl
Msukule? Just imagine!
Mzaramo tatizo huwezi kumbadili tabia,wanawezana wenyewe,kwenda ngomani kila week changamotoMimi nilikua na wa hivyo tatizo lake ni mzaramo. Mwanamke alikua na nyota ya hela balaa. Tatizo mtoto wa uswazi, sio presentable Ila kwenye mechi alikua mzuri Sana.
Tatizo uswahili tu.
😂😂😂 “sio presentable” nahis ndio tatizo linalomsumbua jamaa hapo muanzisha uzi kaja kutafuta justification hapaMimi nilikua na wa hivyo tatizo lake ni mzaramo. Mwanamke alikua na nyota ya hela balaa. Tatizo mtoto wa uswazi, sio presentable Ila kwenye mechi alikua mzuri Sana.
Tatizo uswahili tu.
Ahaaa acha hizo😂😂😂 “sio presentable” nahis ndio tatizo linalomsumbua jamaa hapo muanzisha uzi kaja kutafuta justification hapa
Hiyo ni code kwamba “namla demu mbaya ila wana wasinijudge” kama movie zote za ujasusi nilizoangalia hazikunisaidia kitu
Niambie kama siko sahihiAhaaa acha hizo
Bila picha mkuu inabaki kuwa masiharaHuyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah
Accha uchawiiiHuyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah
Yawezekana wala sio m'bovu.[emoji23][emoji23][emoji23] “sio presentable” nahis ndio tatizo linalomsumbua jamaa hapo muanzisha uzi kaja kutafuta justification hapa
Hiyo ni code kwamba “namla demu mbaya ila wana wasinijudge” kama movie zote za ujasusi nilizoangalia hazikunisaidia kitu
Usielezee sana mkuu Deborah mwenyeweYawezekana wala sio m'bovu.
Tatizo kuna mtu unaogopa hata kumtambulisha kwa watu mana anoaongea hovyo hachagui aongee nini na wapi yaaani anajiropokea tu.
Yaani hawezi kunyamaza hata kama hawajui ataongea tu na akiongea unaweza tamani ukimbie au ujifiche.
Inshort hana staha wala adabu.
Yawezekana ndio alichomaanisha.
Sasa we ni mwanaume af unajiita uzr wa Cleopatra, unatatizo kubwa sana kijina kichwan,Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
aah hapo kwahiyo unaogopa kumtambulisha mpenzi wako kwa cool kids wenzio maana atakuaibishaYawezekana wala sio m'bovu.
Tatizo kuna mtu unaogopa hata kumtambulisha kwa watu mana anoaongea hovyo hachagui aongee nini na wapi yaaani anajiropokea tu.
Yaani hawezi kunyamaza hata kama hawajui ataongea tu na akiongea unaweza tamani ukimbie au ujifiche.
Inshort hana staha wala adabu.
Yawezekana ndio alichomaanisha.