Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani nimemgeuza msukule.

Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela, au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani

Kuna mademu wana kisimati sana usione tumewang'ang'ania wakati hawana mvuto.

Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah
Sasa muoe ili upate dili kika ukim tomba
 
Usipolala na huyo mwanamke huwa haupati kabisa madili ya pesa?

Pengine hakuna uhusiano wowote kati ya madili unayopata na huyo mwanamke. Wewe tu ndo unaconnect.
 
Haya mambo haya,
Acheni tu,
Mm nikigonga demu lazima apate kismati kwa kila jambo analofanya, hata kama anajiuza.
Ila mm nishapigw mikosi ya hatari sana,
Kuna demu mmoja kama naon ana kismati hiv,
 
Haya mambo haya,
Acheni tu,
Mm nikigonga demu lazima apate kismati kwa kila jambo analofanya, hata kama anajiuza.
Ila mm nishapigw mikosi ya hatari sana,
Kuna demu mmoja kama naon ana kismati hiv,
Haya mambo yapo sana tu
 
ni kweli asilimia 200%
demu ukiwa nae ukiona pesa inajileta tu tupa ndani oa kabisa na uhakikishe umezaa nae mtoto utaogelea mapesa tu siku zote daima hutafilisika ila huwa na wao wanazilamba mno pesa zako usijali wala usimshtue usimdharau na usimuache komaa nae japo atakuwa msumbufu sana we potezea, kula mzigo kula hela tu mengine potezea!!
I speak from personal experience kuna mzigo niko nao ten years nakula pesa tu kiulaini mzigo siuachi ila nawenyewe unazitafuna pesa zangu kama mchwa na sijali si zinaingia!! kazi yangu moja tu kumsifia kuwa yeye ni mzuri balaa huu mwaka wa kumi sijaacha mi najua kila akifurahi kusifiwa mi napiga hela!!
 
Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani nimemgeuza msukule.

Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela, au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani

Kuna mademu wana kisimati sana usione tumewang'ang'ania wakati hawana mvuto.

Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah
861E276C-6A9A-4817-A334-2E17B12B4634.jpeg
 
Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
Una uzuri gani wewe kiande
 
ni kweli asilimia 200%
demu ukiwa nae ukiona pesa inajileta tu tupa ndani oa kabisa na uhakikishe umezaa nae mtoto utaogelea mapesa tu siku zote daima hutafilisika ila huwa na wao wanazilamba mno pesa zako usijali wala usimshtue usimdharau na usimuache komaa nae japo atakuwa msumbufu sana we potezea, kula mzigo kula hela tu mengine potezea!!
I speak from personal experience kuna mzigo niko nao ten years nakula pesa tu kiulaini mzigo siuachi ila nawenyewe unazitafuna pesa zangu kama mchwa na sijali si zinaingia!! kazi yangu moja tu kumsifia kuwa yeye ni mzuri balaa huu mwaka wa kumi sijaacha mi najua kila akifurahi kusifiwa mi napiga hela!!
Ahaaa safi sana mkuu,mi pia huu mzigo siuachii hata kidogo
 
Back
Top Bottom