Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
Tumekuskia, tunakuja PM
 
Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
Kwanini ukajiita Sexless [emoji3526][emoji3526]
 
Mimi kuna Jamaa kila nikimpa Yani nitapata pesa sijui hata zinakotokea, biashara nitauza nishangae, sijawahi kumwambia.....Ila na yeye juzi kanambia toka anijue mambo yake yananyooka, kila anachogusa kinatiki.
 
Mimi kuna Jamaa kila nikimpa Yani nitapata pesa sijui hata zinakotokea, biashara nitauza nishangae, sijawahi kumwambia.....Ila na yeye juzi kanambia toka anijue mambo yake yananyooka, kila anachogusa kinatiki.
 
Mimi kuna Jamaa kila nikimpa Yani nitapata pesa sijui hata zinakotokea, biashara nitauza nishangae, sijawahi kumwambia.....Ila na yeye juzi kanambia toka anijue mambo yake yananyooka, kila anachogusa kinatiki.
Mabilionea watarajiwa oaneni tu
 
Mimi kuna Jamaa kila nikimpa Yani nitapata pesa sijui hata zinakotokea, biashara nitauza nishangae, sijawahi kumwambia.....Ila na yeye juzi kanambia toka anijue mambo yake yananyooka, kila anachogusa kinatiki.
Na mimi nataka
 
Back
Top Bottom