Still ataongea pumba tu kwa sababu kichwani hamna kituYawezekana wala sio m'bovu.
Tatizo kuna mtu unaogopa hata kumtambulisha kwa watu mana anoaongea hovyo hachagui aongee nini na wapi yaaani anajiropokea tu.
Yaani hawezi kunyamaza hata kama hawajui ataongea tu na akiongea unaweza tamani ukimbie au ujifiche.
Inshort hana staha wala adabu.
Yawezekana ndio alichomaanisha.
Haswaaa. MTU mzuri bedroom, mpishi mzuri tatizo hajui aongee nini mbele ya Nani.Yawezekana wala sio m'bovu.
Tatizo kuna mtu unaogopa hata kumtambulisha kwa watu mana anoaongea hovyo hachagui aongee nini na wapi yaaani anajiropokea tu.
Yaani hawezi kunyamaza hata kama hawajui ataongea tu na akiongea unaweza tamani ukimbie au ujifiche.
Inshort hana staha wala adabu.
Yawezekana ndio alichomaanisha.
Mechi ya leo Taifa stars na ethiopia mko bar mnaangalia mpira mbele za watu anaropoka mbona mayele hachezi?Haswaaa. MTU mzuri bedroom, mpishi mzuri tatizo hajui aongee nini mbele ya Nani.
Mnakwenda kwenye harusi za watu wa heshima anataka aonekane anajua Sana kucheza, mnakuta chakula Cha harusi sio kizuri anakitoa kasoro pale pale.
Mzaramo huwezi kumbadilishaPambana umbadilishe
Haya mambo yapo sana mkuu kikubwa mchongo ukitiki tusiwasahau,mi naogopa kumwambia asije kuanza maringo maana simuamini aminiNa mimi nlimpataga pisi moja inaitwa E yani nikimgonga tu nikipush mchongo wow wowote inatiki nlikuja kumwambia na nkawa nagawana naye siku izi nkimmiss namwambia nmeitwa interview aje anipe kismati
Kama uyasemayo yamekutoka moyoni, uzee ndo final ya yote,Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
Sura mbovu na shapeless huwa ndiyo wanadumu kwenye mahusiano. Lkn siyo mtu kama mm natafutwa na kila mwanaume, nina uzuri wa Cleopatra (25 BC) nigande na jitu moja tu. Never ever!
Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah
Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah
Huyu dada sijamwambia hii kitu ili asije akadhani ninemgeuza msukule.
Kila tukinyanduana tu kesho yake ujue mdeni wangu atanipigia simu nikachukue hela,au nitapigiwa simu ya dili au kibaruani nitapata safari ya hela mikoani
Kuna mademu wanakisimati sana usione tumewangangania wakati hawana mvuto.
Uzuri ni kwamba kila nikipiga dili sisahau kuutumia muhamala huo msukule wangu Deborah
Za kimatifa ni 3. Za ndani ya Tanzania ni 7Unaongea lugha ngapi?
Msewe china pubHuyu ni debora wa msewe kabisa huyu