Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

Haki kaka mchawi wewe mbona unaua sana.

Huyu wa sasa a anavuruga firigisi,kongosho,bandama,Utumbo,ini nyongo zangu kwa pamoja.nimeamuanistik na huyu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…chizi kabisa ujue
We familia tumeamua tumuachie Mungu aseme na kiumbe chake maana hayo maneno hayajaanza leo!.. ngoja mi nikapige safari lager zangu zinisafirishe kwa beki tatu Tena na leo kila mmoja na asimamie dhambi zake..🀣
 
We familia tumeamua tumuachie Mungu aseme na kiumbe chake maana hayo maneno hayajaanza leo!.. ngoja mi nikapige safari lager zangu zinisafirishe kwa beki tatu Tena na leo kila mmoja na asimamie dhambi zake..🀣
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†kaka una akili mbovu sanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†haki nimekushindwa
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†kaka una akili mbovu sanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†haki nimekushindwa
Bora Mimi umenishindwa wewe tumekushindwa! Tumemuachia sir God kiumbe chake apambane nacho..

NB; mwambie beki tatu Leo asibane mlango Kama jana nilipata tabu sana kumfikia nilijibamiza mlangoni mpk unundu..πŸ˜…
 
Bora Mimi umenishindwa wewe tumekushindwa! Tumemuachia sir God kiumbe chake apambane nacho..

NB; mwambie beki tatu Leo asibane mlango Kama jana nilipata tabu sana kumfikia nilijibamiza mlangoni mpk unundu..πŸ˜…
Hakyamama nimecheka kishambenga sijapata ona.

Nitamwambia ili upate kusafisha rungu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†brother wewe ni chizi kabisa yπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Immune au kinga ya mwili wako iko chini. Shughulika na immune boosters kwa muda huku ukiacha kumbe kwanza. Kwa uhakika nenda hospital omba wajifanyie full blood picture utakuta cells linda mwili ziko chini kidigo au kwenye boarder line.
 
Immune au kinga ya mwili wako iko chini. Shughulika na immune boosters kwa muda huku ukiacha kumbe kwanza. Kwa uhakika nenda hospital omba wajifanyie full blood picture utakuta cells linda mwili ziko chini kidigo au kwenye boarder line.
Asante mkuu ubarikiwe nitalifanyia kazi.nakuahidi.ubarikiwe sana leo na hata milele
 
Hakyamama nimecheka kishambenga sijapata ona.

Nitamwambia ili upate kusafisha rungu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†brother wewe ni chizi kabisa yπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hakikisha unamsimamia asifunge maana naingiaga kwa spidi sana! Ndo nipo safari park ya kwanza we haya mambo huyawezi tuachie wenye fani zetu dada..πŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…