ππ Ngoja nipashe na komoni , wanzuki itakuja nikishachangamkaHaki ushauri wa kibabe sana popote ulipo kunywa wanzuki nakuja kulipa
We familia tumeamua tumuachie Mungu aseme na kiumbe chake maana hayo maneno hayajaanza leo!.. ngoja mi nikapige safari lager zangu zinisafirishe kwa beki tatu Tena na leo kila mmoja na asimamie dhambi zake..π€£Haki kaka mchawi wewe mbona unaua sana.
Huyu wa sasa a anavuruga firigisi,kongosho,bandama,Utumbo,ini nyongo zangu kwa pamoja.nimeamuanistik na huyu π π π chizi kabisa ujue
Hehehehe baby, mbona wee jana umebanwaa weee lkn sijasema kitu[emoji8]Umebanwa weee sasa umeachiwa ndo unarudi[emoji3525][emoji3525]
Nakupiga chini urudi kwa aliyekubana siku zote hizo[emoji2957][emoji2957]
ππππππππkaka una akili mbovu sanaπππππππhaki nimekushindwaWe familia tumeamua tumuachie Mungu aseme na kiumbe chake maana hayo maneno hayajaanza leo!.. ngoja mi nikapige safari lager zangu zinisafirishe kwa beki tatu Tena na leo kila mmoja na asimamie dhambi zake..π€£
Pambana bwana hutakiwi kukata tamaa kirahisi hivi unaniangushaMi mwanadamu unajua...kuna wakati uvumilivu unakata ujue[emoji38][emoji38][emoji38]
Bora Mimi umenishindwa wewe tumekushindwa! Tumemuachia sir God kiumbe chake apambane nacho..ππππππππkaka una akili mbovu sanaπππππππhaki nimekushindwa
Hakyamama nimecheka kishambenga sijapata ona.Bora Mimi umenishindwa wewe tumekushindwa! Tumemuachia sir God kiumbe chake apambane nacho..
NB; mwambie beki tatu Leo asibane mlango Kama jana nilipata tabu sana kumfikia nilijibamiza mlangoni mpk unundu..π
Immune au kinga ya mwili wako iko chini. Shughulika na immune boosters kwa muda huku ukiacha kumbe kwanza. Kwa uhakika nenda hospital omba wajifanyie full blood picture utakuta cells linda mwili ziko chini kidigo au kwenye boarder line.Hello hello watu wangu wa nguvu mambo vipiiiii...ππ
Natumai mko salama sana na mnaendelea vizuuuriii kabisa π§ββοΈπ§βπ§ββοΈ.
Nirudi kwenye kichwa cha habari sasaππ..
Aise wakuu bhana kila nikinywa kilevi chochote hata kama ni kidogo kiwe ni cha moto(room temperature)au cha baridi basi kesho yake ni lazima nipate mafua makali mnooooo Mpka naogopa mjueππ
Nimevumilia kwa muda lkni wapi.mwenye aliyekuwa na hali kama hii na akapata kupona naombeni mniambukize huo upako wa tiba jamaniβΉοΈβΉοΈ
Hazard CFC brother wa nyumbani kabisa naomba unitafutie mitishamba hii hali inanitishia ujue aiseh ππ
Na wengine woooooootee.
Kama uko karibu,,niko na juice ya mango mixed passion hapa karibuni sana wapendwa katika bwana π₯π₯
Uzi tayari π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈ
Asante mkuu ubarikiwe nitalifanyia kazi.nakuahidi.ubarikiwe sana leo na hata mileleImmune au kinga ya mwili wako iko chini. Shughulika na immune boosters kwa muda huku ukiacha kumbe kwanza. Kwa uhakika nenda hospital omba wajifanyie full blood picture utakuta cells linda mwili ziko chini kidigo au kwenye boarder line.
Haha i will still love you even if you don't want me anymore!!!Nimebanwa na nani..acha mambo yako kibuti kinakuhusu usijisahaulishe
Karibu. Uniletee mrejesho DM/PMAsante mkuu ubarikiwe nitalifanyia kazi.nakuahidi.ubarikiwe sana leo na hata milele
Hakikisha unamsimamia asifunge maana naingiaga kwa spidi sana! Ndo nipo safari park ya kwanza we haya mambo huyawezi tuachie wenye fani zetu dada..πHakyamama nimecheka kishambenga sijapata ona.
Nitamwambia ili upate kusafisha rungu πππππbrother wewe ni chizi kabisa yπ π π