Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Natamani sana kuwa na watoto, ila nina mambo yanayonikosesa furaha kila nikiwaza juu ya kuwa na watoto,.
Miongoni mwa mambo hayo nina makubwa mawili nayo ni;-
1. Umasikini, Umasikini ni janga kubwa kwa upande wangu, huwa nakosa amani pale ninapoiona kesho ya watoto wangu kwenye swala umaskini, sina njia mbadala ya kuwa kwamua watoto wangu kwenye hili janga.
2. MARADHI, Hili ni kubwa pia japo halilingani na la kwanza, mfano kwenye hili gonjwa la UKIMWI kila nikiiwaza kesho ya wanangu katika hili janga linanikatisha tamaa na kujiona mwenye hatia endapo ntawaacha watoto waje duniani na niwaingize kwenye hili janga.
3. Upofu, Maradhi ya akili kama uchizi, utahaira nk. Pia kuna maradhi ya moyo. Na hata kifafa. Huwa nakosa furaha kila nikiifikilia kesho ya kizazi changu na naona ni bora niishi mwenyewe na hata nikifa basi nife bila ya kuacha KIZAZI kisicho na furaha.
Miongoni mwa mambo hayo nina makubwa mawili nayo ni;-
1. Umasikini, Umasikini ni janga kubwa kwa upande wangu, huwa nakosa amani pale ninapoiona kesho ya watoto wangu kwenye swala umaskini, sina njia mbadala ya kuwa kwamua watoto wangu kwenye hili janga.
2. MARADHI, Hili ni kubwa pia japo halilingani na la kwanza, mfano kwenye hili gonjwa la UKIMWI kila nikiiwaza kesho ya wanangu katika hili janga linanikatisha tamaa na kujiona mwenye hatia endapo ntawaacha watoto waje duniani na niwaingize kwenye hili janga.
3. Upofu, Maradhi ya akili kama uchizi, utahaira nk. Pia kuna maradhi ya moyo. Na hata kifafa. Huwa nakosa furaha kila nikiifikilia kesho ya kizazi changu na naona ni bora niishi mwenyewe na hata nikifa basi nife bila ya kuacha KIZAZI kisicho na furaha.