Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Unahitaji kusaidiwa sana.Ndio maana nawaza sana kwenye swala la watoto endapo nitafanya makosa kama hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahitaji kusaidiwa sana.Ndio maana nawaza sana kwenye swala la watoto endapo nitafanya makosa kama hayo
Mtu kama huyu nadham aachwe tu.Hakua mnachowez kumshawishi akwaelewUPUMBAVU.
Mtoto anakuwa vile unavyotaka wewe kutokana na malezi utakayompa.
Sasa kama wewe unazaa tu mradi kuzaa kama paka alafu malezi unayaachia jamii basi tegemea upate bomu.
Ukiona mtu anaogopa mtoto wake kuwa mjinga na mpumbavu basi tambua huyo mzazi ni mjinga aisiyejitambua na mpumbavu vilevile na sio mbeba majukumu yake kama mzazi.
Na hapaswi kuwa mzazi.
Kipande hiko👆👆 happy juu tupo pamoja,.UPUMBAVU.
Mtoto anakuwa vile unavyotaka wewe kutokana na malezi utakayompa.
Sasa kama wewe unazaa tu mradi kuzaa kama paka alafu malezi unayaachia jamii basi tegemea upate bomu.
Ukiona mtu anaogopa mtoto wake kuwa mjinga, mpumbavu na kuharibika basi tambua huyo mzazi ni mjinga asiyejitambua na mpumbavu vilevile na sio mbeba majukumu yake kama mzazi.
Na hapaswi kuwa mzazi.
Mi nahitaji kusaidiwa ila sio nishawishiwe upumbavu,.Unahitaji kusaidiwa sana.
We ni muathirika?? Kama sio wasiwasi wako unatoka wapi??je kwa watoto wanaozaliwa nao?
na kwenye suala la umasikini je?, na vipi kwenye elimu bora? au nizae tu watoto hata wakija kuwa machangudoa safi tuWe ni muathirika?? Kama sio wasiwasi wako unatoka wapi??
Hata hivo kwasasa hata kama mama anao kuna dawa anapewa kumlinda mtoto.
Sipaswi kuwaza juu mimi na yaliyopita napaswa kuiangalia leo na kesho yao,. sasa kama mimi nimeshindwa na umasikini ndo nilete wanangu nao waje kushindwa?Thubutu wewee acha uoga babako angekuwa kama ww ungekuwepo? Tumeambiwa nendeni duniani mkaujaze ulimwengu.
Sawa. Wee endelea kuzaaHuko ulipo copy hiyo story mwenzio ameandika hayo tayari ana watoto 7 anao.
Sasa wewe endelea kuyashika mawazo yake ya mitandaoni.
Story zingine ni kwa kujiburudisha na sio serious..
Kuna faida gani kuendeleza familia iliyojaa masikini wa kutupwa? Familia ambayo hakuna hata mwanafamilia mmoja mwenye ajira ya kueleweka au biashara ya kueleweka?? Si ndo kuongeza umasikini tu?Huu ni uoga wa maisha...zaa aisee ili uendeleze familia yenu.
Usipozaa ndio utadhibiti umasikini?...Kuna faida gani kuendeleza familia iliyojaa masikini wa kutupwa? Familia ambayo hakuna hata mwanafamilia mmoja mwenye ajira ya kueleweka au biashara ya kueleweka?? Si ndo kuongeza umasikini tu?
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
ndio,. kwasababu umasikini na majanga yote yataishia kwako,.Usipozaa ndio utadhibiti umasikini?...
Poa.... kwa sababu Unaogopa umasikini (majukumu ya malezi) acha sisi tukusaidie kuijaza dunia.ndio,. kwasababu umasikini na majanga yote yataishia kwako,.
Hapana mi siogopi kulea, naogopa majanga ya kizazi changu,. kama maradhi, ajali, kifo na umasikini,.Poa.... kwa sababu Unaogopa umasikini (majukumu ya malezi) acha sisi tukusaidie kuijaza dunia.
Babe i miss you 🤣🤣🤣Espy Eroni toa maoni yako tafadhali, [emoji23]
I miss you too baby wangu😂Babe i miss you 🤣🤣🤣
kwenye uzima huoI miss you too baby wanguí ½í¸