Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
- #121
Watu hawajui tu, watoto na wake wanatia hasara duniani mpaka na siku ya malipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawajui tu, watoto na wake wanatia hasara duniani mpaka na siku ya malipo
Sawa na je vipi kuhusu kuwamudu kielimu na kimalazi pia na vipi kwenye maradhi umejipangaje au ndo unataka kuturetea watoto ombaomba?Hiyo sio kazi yako, Wewe piga pumbu.Mimi nataka fikishe angalau watoto nane,na nimeshakubaliana na mke wangu.
Ndio, Nina mambo mawili makubwa yaani maradhi na umaskini na sitamani mwanangu awe mhanga wa lolote like kati ya hayo,. Kama una plan B nipe ili kukinusuru kizazi cha mwana jamiiforumsKwani wewe umeshawahi kuwa shoga, mwizi, teja, +HIV, mfungwa?
Ufumbuzi fanya kazi kwa bidii, hakikisha hakuna fursa inayokupita. Wadau tungejua maeneo unayoishi ungeambiwa fursa nyingi zilizoko huko labda ungeweza kuzitumia ukapambana na watoto wako wakajifunza toka kwako mkaepukana na umaskini.Ndio, Nina mambo mawili makubwa yaani maradhi na umaskini na sitamani mwanangu awe mhanga wa lolote like kati ya hayo,. Kama una plan B nipe ili kukinusuru kizazi cha mwana jamiiforums
je kwa watoto wanaozaliwa nao?Janga hapo ni umaskini tu ila hayo mengine ni nature ya universe na mengine kama ukimwi ni mtoto tu na ujinga wake ajikute huko.
mi ntafanya kaz kwa bidii sawa, je na wanangu waje fanya kaz kwa bidii si ndio? je unajua maana ya bidii wewe??Ufumbuzi fanya kazi kwa bidii, hakikisha hakuna fursa inayokupita. Wadau tungejua maeneo unayoishi ungeambiwa fursa nyingi zilizoko huko labda ungeweza kuzitumia ukapambana na watoto wako wakajifunza toka kwako mkaepukana na umaskini.
Nitapambana,huku nikiamini kuwa Riziki yao ipo mikononi mwa MUNGU.Sawa na je vipi kuhusu kuwamudu kielimu na kimalazi pia na vipi kwenye maradhi umejipangaje au ndo unataka kuturetea watoto ombaomba?
Sawa. Ila inakupasa utambue kuwa Leo na kesho yao ipo mikononi mwakoNitapambana,huku nikiamini kuwa Riziki yao ipo mikononi mwa MUNGU.
Sawa, MUNGU akishakuwa upande wangu hakuna kitachoshindikana ktk kuwalea hao Wanangu.Sawa. Ila inakupasa utambue kuwa Leo na kesho yao ipo mikononi mwako
Kwamba kuwaza kuwa na watoto wengi kadiri ya mpango wa MUNGU ni ujinga??.Aliwazalo mjinga ndilo humpata
Hyo miti ameshindwa kujipandia yeye hata heka 1 je hzo heka 10 za kila mtoto ndo ataweza?Namba moja linaepukika. KILA ukizaa mtoto mpandie miti heka 10 akifika miaka 10 atakuwa tajiri
Mimi mwenyewe nimeshindwa kuweka hata 1000 kila siku ndo nitaweza hilo kama alivyosema ndugu yangu hapaNamba moja linaepukika. KILA ukizaa mtoto mpandie miti heka 10 akifika miaka 10 atakuwa tajiri
Hyo miti ameshindwa kujipandia yeye hata heka 1 je hzo heka 10 za kila mtoto ndo ataweza?
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Tena ujinga, kufanya ujinga ukitegemea mungu atafanya atakuwa mbele ya huo ujinga no ujinga Kama maujinga mengine.Kwamba kuwaza kuwa na watoto wengi kadiri ya mpango wa MUNGU ni ujinga??.
Ndio Tena ndio naongezea ndio,.Aliwazalo mjinga ndilo humpata
Je ukifa kabla ya wao kumaliza kuwalea? Na je una plan B ya kuwanusura watoto au wangu juu yanumasikini na maradhiSawa, MUNGU akishakuwa upande wangu hakuna kitachoshindikana ktk kuwalea hao Wanangu.