Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
- #41
Sawa, ila je ikitokea huyo mtoto mmoja ni TAHAIRA hauoni nitaabika mpaka kufa kwake au kwangu?We zaa boss kama hauna mtoto angalau mpaka 36 uwe na wawili wanakuja na riziki zao pia kwa hizo point utapambana baada ya watoto kuna kanguvu utapata cha kupambana
Usihofie dunia kwani hata sikuwa zetu za kufa hatuzijui pambana mkuu kama unataka na mwenza unae unaweza kuzaa raisi au au mtu mkubwa ukaja tabasamu uzeeni