Kila nikiwaza haya majanga nakosa hamu ya kupata mtoto

Kila nikiwaza haya majanga nakosa hamu ya kupata mtoto

Haujioni mwenye hatia unapowaona watoto wako mashoga, mateja, waathirika, na hata wakifungwa kifungo cha maisha?
Hayo ni matokeo ya maisha, na kuna watu wana watoto wa hivyo na wa nawapenda watoto wao vizuri sana,
Tuanze kuchambua

1. Mashoga- ni changamoto ila familia nyingi zimejifunza kukubali watoto wa hivyo maana hao watoto hawakuchagua kuwa hivyo. Na mifano ipo baada ya kuwa kubali watoto hao wapo wengi waliofanikiwa walipokuwa wa kubwa, miongoni mwa watu waliofanikiwa mafanikio makubwa duniani wamo hao mashoga. Suluhisho la mtoto shoga ni kukubali kuwa yuko hivyo maana hakuna namna nyengine na sio yeye wakwanza wala wa mwisho kuwa hivyo alivyo.

2. Mateja, kama nilivyosema ni changamoto tu ya maisha, wapo watu walijiingiza katika uteja na wakapona na wanaishi maisha yao mazuri tu, sitaki kuorodhesha majina ya watu maarufu walioweza kujinasua baada ya kutumia madawa maana siwajui personally

3. Uathirika ni tatizo tu la kimaisha, na binadamu kaumbiwa matatizo

4. Kufungwa kifungo cha maisha-hilo halipaswi kukuumiza wewe mzazi maana mpaka mwanao kafikia hapo ni shauri lake, kwanini kafanya kosa la kufunga maisha. Mfano mwanao kaua kwa kudhamiria, hivi ye hajui kuwa hilo ni kosa???


Halafu kama una imani ya Mungu utafahamu kuwa binadamu tunaukomo wa kupata tunachotamani ama kukipenda lazima ufike hatua uinue mikono juu uombee tu Kile kinachokushukia maishani, kwa sababu huwezi kucontrol kila kitu asilimia mía ikiwemo kizazi chako
 
Ni bara gani HIV imeisha?? Acha uoga wa maisha ww. Imagine baba ako angekuwa na mawazo potofu kama yako[emoji23][emoji23].... Saiv tusingekuwa na mttupolli JF
Bora kumkosa mttupolli jf kuliko kuwa na mttpolli mwenye majanga mwenye njaa mwenye maradhi mwenye makesi makubwa makubwa wee unahisi mi baba akijua kuwa nina HIV atajionaje alikuwa kanizaa mzima wa afya? wee unafikiri baba angu atajionaje akiniona mwanae naenda fungwa maisha gerezani?
 
Natamani sana kuwa na watoto, ila nina mambo yanayonikosesa furaha kila nikiwaza juu ya kuwa na watoto,.
Miongoni mwa mambo hayo nina makubwa mawili nayo ni;-


Hata wazazi wako wanakuwazia namna hiyo mpaka leo na wanakuombea uwe salama na uwe mtu mwema, mkabidhi Mungu uzazi wako na uwafunze watoto njia njema

Hakuna mzazi anaependa kuona mtoto ametumbukia mahala ambapo sio sahihi, hayo ni matokeo tu, do your best and God will do the rest
 
Wazazi wako wangekuwa na mawazo hayo, wewe ungekuwepo?
 
02a03b76a4d658d00622bc3c9ea5a2a8f0b3fe37772c37ce638d9e2416d5b5be.0.gif
 
Mttupplli:nakuelewa na hii uwatokea watu ambao wametoka familia ngumu kwa maana ya hali duni Ki uchumi na maradhi hadi chakula.unaweza ukamkuta kijana yuko 35-40+ yrs amepambana kuokoa familia yake angalau wavuke ktk daraja hilo la ufukara lakini hadi anajikuta umri huo anaanza kuwaza mambo yanayo umiza akili kama usemavyo.Alafu jamii inayomzunguka haijui unapambana kwa kiwango gani ili nawewe uwe au muwe kama familia zingine zenye *3 kutwa.

Sasa jamii inaanza kukuhukumu haujao hadi sasa umri unakwenda,hapo unaingiwa na hofu unaanza kujiuliza hivi nilikuwa na ndoto watto wangu wasisome mazingira kama uliyopitia,sasa utaishi vipi?na watto ktk malezi yapi na huku hauna pesa.sasa ndg nikusaidie kitu kimoja nahiki kitu huwa tunajisahau au Maarifa ndo huwa hatuna.ktk familia zetu Mara kwa mara kulikuwa na matambiko sasa ukifatilia utakuja kugundua mmefungana kizazi kwa kizazi hadi unasikia ukoo flani huwa ni masikini mambo yaliyotendeka huko nyuma hauyajui na ukifatilia utasikia hivi Mara vile.

Tafuta sehemu moja ambayo utaamini kuwa yule ni mtumishi wa MUNGU kweli nenda kakae naye msimulie kisha tubu na kuwaombea na ndg zako wengine wafunguliwe ktk vitanzi hivyo hakika ipo siku utakuja kushukur JF.MUNGU akutangilie chukuwa hatua sasa hakika ata kama unamaradhi yanayo shindikana kwa wataaram kwa MUNGU nijambo dogo sna.na mwisho wasiku utakuwa na familia yako na maisha yakuwa historia.
 
Wewe mwenyewe kuzaliwa kwako ni zali la mentali kwani ulijua utazaliwa sasa kwanini uogope kuwaleta duniani wengine waone uumbaji wa Mungu?
Sawa Mimi nimezaliwa kwa zali la mentali Sasa na Mimi ndio nizae ki zali la mentali kweli nitakuwa nipo sahihi? Sawa Mimi nimekuwa kimapenzi ya mungu kwahiyo na Mimi ndio nizae nikisubiria mapenzi ya mungu kweli ntakuwa timamu?
 
Hayo ni matokeo ya maisha, na kuna watu wana watoto wa hivyo na wa nawapenda watoto wao vizuri sana,
Tuanze kuchambua

1. Mashoga- ni changamoto ila familia nyingi zimejifunza kukubali watoto wa hivyo maana hao watoto hawakuchagua kuwa hivyo. Na mifano ipo ba
kwa kutumia neno mungu basi hatupaswi kujadili chochote, mpaka tunajadili hi inamaana kwamba tunahitaji kutumia akili na mawazo yetu sio MUNGU Tena, maana ukuanza kuingiza mungu kwenye maada yangu utaonekana haupo timamu,.
 
Hata wazazi wako wanakuwazia namna hiyo mpaka leo na wanakuombea uwe salama na uwe mtu mwema, mkabidhi Mungu uzazi wako na uwafunze watoto njia njema

Hakuna mzazi anaependa kuona mtoto ametumbukia mahala ambapo sio sahihi, hayo ni matokeo tu, do your best and God will do the rest
Kwa kuwa umemtanguliza MUNGU siongei chochote, ila unapaswa kubadilika sio Kila hatua ya maisha yako anakupangia mungu,. Leo yako ipo mikononi mwako,.
 
Kuna kitabu kimoja Cha mungu kinasema chungeni wake na watoto zenu maana watawatia kwenye hasara
 
Kwa kuwa umemtanguliza MUNGU siongei chochote, ila unapaswa kubadilika sio Kila hatua ya maisha yako anakupangia mungu,. Leo yako ipo mikononi mwako,.
Ndio maana nikasema do your best, God will do the rest
 
Wazazi wako wangekuwa na mawazo hayo, wewe ungekuwepo?
Bora kutokuwepo kwangu kuliko kuwepo kwangu kwa majanga, na pia hatupaswi kuishi kwa kuangalia wakati uliopita tunapaswa kuijadili Leo na kesho yetu,.
 
Back
Top Bottom