Kama tayari ushaukwaa basi zingatia tizi na mazoezi tu, utapunguaMbona hivyo vichagamoto vya kitoto watu tuna chagamoyo zaidi ya hizo ila hatupungui, kukonda kwasbb ya ngoma ni vijana wasio miliki pesa na mali kuna chagamoto ngoma ni cha mtoto.
107cm ndo ulefu sijui kama nimekoseaUna urefu kiasi gani ?
Urefu unarelate sana na kilo za mtu
Ucku ndio muda mbaya wa kula ukashiba ukita kupunguza mwili.Hapana nilikua na kula nusu sahani, tena mara moja kwa siku ucku tu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]tayari mi bonge ila simfikie yule wa melodyMkuu
Utakuwa Bonge Kama Mamelod Wa FIFA
kijeshi "mwendo wa ling'ang'a" aka "mwendo wa kung'oa visiki" [emoji1549][emoji1549][emoji38]Tembea mkuu temneaa hata ule wali gunia utakonda..
Kila siku tembea kilomita kumi mwendo wa mateka
Inakua je hiyo ielezee tuijua ila isiwe ya yule mchungaji wa kenya kufunga siku 40, ni hatari sana hiyo.Fanya kitu inaitwa "intermittent fasting"..
Its a slow bt sure method. Ndano ya miez 6 ukiwa makini kbsa utaona changes kubwa mno.
Mimi nilifanya nkatoka 97 hadi 83. Nkajisahau nkarudi Misri lkm zmebaki hapo hapo.
Angalizo, wiki 3 za mwanzo n ngumu but after hapo unateleza tu.
piga zoezi la kikimbia huku unakula hivyo hivyo...angalia wakimbia riadha we hujuilizi kwanini hawanenepi??? l,,,,tiziKwa siku 45 ni likua silii mchana na kula tu asubuhi chai ya ragi na sikonzi moja na yai moja mchana na piga ndefu ucku ndo na kula wanga kidogo na chai ndo nalala, kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kdgo kwa lengo la kupunguza kilo ni toke 94kg ni rudi 89kg za awali kabla ya holiday.
Jana ndo nilienda kupima nione ni mepungua ngapi on my surprise ni meingia 103kg.
Natimiza hivo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila ana chezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona ntajiachia tu litakalo kua na liwe buana.
Mkuu unene ni physical sio mental na solution lazima iwe physical sio spiritual, am a student of realism theory sio idealism theory.
Yeah lazma kilo zi drop....kijeshi "mwendo wa ling'ang'a" aka "mwendo wa kung'oa visiki" [emoji1549][emoji1549][emoji38]
Mkuu natamani kufanya kazi za nguvu ili nipungue ila nguvu ndo sina na choka haraka, sijawahi kufanya kazi za nguvu tangu nizaliwe ila na zipenda, ila kuisha vyombo na kupiga deki na weza ila kulima kubeba vitu vizito siwezi, kuna siku niliamua kutegenza njia gari lipite mgongo umeniuma wiki moja.Niliwahi kufanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni kwa lengo la kupunguza uzito, na matokeo nilipata kama ya kwako (kuongezeka) ,nikasema huu ni ushenzi! Nikapiga chini mazoezi ,nikaendelea na maisha yangu.
Baadaye kidogo nilipata ka likizo miezi kama 2 hivi, nikaamua kwenda nyumbani (kijijini) ,nakumbuka ulikuwa msimu wa mvua/kilimo;
Nikasema ngoja namimi nishike jembe nilime viazi (jasiri haachi asili) [emoji23].
Ndg yangu nilivyorudi mjini watu walibaki midomo wazi kwamba nimekonda!!
Nikasema msinitanie, nikaenda kupima uzito[emoji848]
nilikutwa na kg 67 kutoka kg 83..
Najua wewe huwezi kulima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41]
Sasa basi,
Katika harakati zako za kupunguza uzito/unene; hakikisha katika matunda, "limao" iwe namba moja!
Limao ina matokeo mazuri kuliko kukimbia! Fanya hvyo.
kupunguza uzito ni kipengele ingne[emoji3]Yeah lazma kilo zi drop....
Kama anatumia daladala aanze kushuka vituo kadhaa nyuma then amalizoe na mguu..
Ka ana gari apaki mbali na job afu mwendo wa ngaz ghorofan aone
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi mzima ila kwa mtazamo wangu naona kutibu saratani na ukapona ni chagamoto kubwa kuliko ukimwi.Kama tayari ushaukwaa basi zingatia tizi na mazoezi tu, utapungua
Ukimwi sijamaanisha kuwa nao ndo issue ila nimemaanisha ule muda unasubiri majibu for the first time[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi mzima ila kwa mtazamo wangu naona kutibu saratani na ukapona ni chagamoto kubwa kuliko ukimwi.
Sawa mkuu nimekuelewa, ila unaweza ukapata pressure ya kupanda badala ya kupungua mwili, lazima uangalie pia hilo.Ukimwi sijamaanisha kuwa nao ndo issue ila nimemaanisha ule muda unasubiri majibu for the first time
mkuu, kuosha vyombo na kudeki! ahahah[emoji38]Mkuu natamani kufanya kazi za nguvu ili nipungue ila nguvu ndo sina na choka haraka, sijawahi kufanya kazi za nguvu tangu nizaliwe ila na zipenda, ila kuisha vyombo na kupiga deki na weza ila kulima kubeba vitu vizito siwezi, kuna siku niliamua kutegenza njia gari lipite mgongo umeniuma wiki moja.
Mgongo uliniuma siku ya kulima njia ili tupitishe gari mvua zilileta mchanga na tope likaziba hiyo njia yetu, nilitumia kama 45min kuweka njia, kesho yake mgongo uliniuma mpaka basi, sio kuonsha viombo na kudeki tu.mkuu, kuosha vyombo na kudeki! ahahah[emoji38]
ati mgongo uliuma wiki nzima[emoji38][emoji38]
hakikisha kila chakula unanyunyizia maji ya lemao kila siku! ukisahau kuja kunishukuru wala usihofu !![emoji8]
Baddest aliimba "Oya Sir God, Nimekimbia sana jogging, nimepiga sana jimu lakini kitumbo hakitoki"Kilo nimepunguza kutoka 90 hadi 80 ila kitambi kimegoma kabisa kutoka