Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

Kwa siku 45 ni likua silii mchana na kula tu asubuhi chai ya ragi na sikonzi moja na yai moja mchana na piga ndefu ucku ndo na kula wanga kidogo na chai ndo nalala, kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kdgo kwa lengo la kupunguza kilo ni toke 94kg ni rudi 89kg za awali kabla ya holiday.

Jana ndo nilienda kupima nione ni mepungua ngapi on my surprise ni meingia 103kg.
Natimiza hivo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila ana chezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona ntajiachia tu litakalo kua na liwe buana.
Dieting inachukua miezi mitatu kwa uchache.
 
Tell us how to do it plz.
Iko hivi ndugu mleta maada. Wazungu wanasema Unlearn to Learn. Kuna njia nyingi sana ambazo watu huzishauri zitumike katika kupunguza uzito na njia hizi zinapishana katika ufanisi wa kuleta matokeo tarajiwa. Ili uweze kupungua uzito ni lazima matumizi ya Calories katika mwili wako yawe makubwa zaidi ya kiasi unachoingiza mwilini mwako (Energy consumed
1. Kufunga kula: Njia hii ya kufunga kula kwa masaa 12 hadi 24 imekuwa na uwezo mkubwa sana (40%) wa kuleta matokeo. Katika njia hii Matumizi ya Nishati mwilini huwa ni makubwa zaidi ya kiasi cha Nishati iliyoingizwa mwili hivyo kupelekea mwili kupungua uzito kupitia kuunguza mafuta ya ziada yanayotunzwa katika sehemu mbali mbali za mwili kama vile Chini ya Ngozi na ndani ya viungo. Ukianza kufunga hakikisha pia chakula unachotumia kuvunja funga yako (breakfast) kiwe kisiwebkila chakula chenye Nishati nyingi sana (High caloric value) kama vile ugali mkubwa, sahani iliyojaa wali na mihogo n.k. Kumbuka mtu akiwa katika haki ya kushiba chakula kinchotumika sana ni kile alichotoka kula kilichotunzwa hakivunjwi vunjwi hata kidogo na kama mtu amefunga chakula huvunjwa katika mtiririko huu

Wanga > Mafuta > Protini. Kwahiyo kama haujala mwili hauna wanga, mafuta hutumika kuzalisha nishati na kama mafuta yameisha Protini hutumika (Autolysis). Swali linaweza kuwa ni kufunga kwa namna ganj kwafaa kati ya ile kufunga mfululizo(continuous fasting) au kufunga kwa kurusha siku (intermittent fasting), mimj nakuambia Tumia intermittent fasting. Has been proven effective enough to make your body loose weight.

2. Kupunguza kula wanga(Cutting off carbs) : Wanga umeonekana kuwa ndio chanzo kikubwa cha mafuta mwilini. Hivyo sasa, ili kuzuia mafuta yaliyotunzwa mwilini kuongezeka tunapunguza ulaji wa wanga na kuhamia kula vyakula kama Nyama (Protein) na Mboga za majani. Kufanya hivi hupelekea mwili kuanza kutumia mafuta ya yaliyotunzwa kabla kuzigeukia protini. Hivyo hii nayo inasaidia kupungua uzito. Na kiasi cha wanga unapaswa kula kama unataka kupungua uzito kiwango cha ngumi yako.

3. Kufunga kula huku ukinywa maji tu. Hii njia inaweza kukupa matokeo within 7days unaisha kabisa bila hata kuhangaika sana. Swali je, utaweza kujizuia kula kwa hizo siku zote huku ukiwa unakunywa maji tu? Inawezekana sana ila fanya kwa kuruka siku moja moja (intermittent fasting).

4. Achana na hizi tabia : Acha kunywa pombe usiku na uende kulala, acha kula sana usiku na uende kulala muda huo huo, punguza matumizi ya sukari au vyakula au vinywaji vyenye sukari nyingi, Acha tabia kula usiku muda umeenda sana jizoeze kula chakula chako cha usiku saa moja jioni kama ilivyokuwa boarding schools.

Kama umeisoma hii na unataka niendelee, Quote tena na andika More
 
Iko hivi ndugu mleta maada. Wazungu wanasema Unlearn to Learn. Kuna njia nyingi sana ambazo watu huzishauri zitumike katika kupunguza uzito na njia hizi zinapishana katika ufanisi wa kuleta matokeo tarajiwa. Ili uweze kupungua uzito ni lazima matumizi ya Calories katika mwili wako yawe makubwa zaidi ya kiasi unachoingiza mwilini mwako (Energy consumed
1. Kufunga kula: Njia hii ya kufunga kula kwa masaa 12 hadi 24 imekuwa na uwezo mkubwa sana (40%) wa kuleta matokeo. Katika njia hii Matumizi ya Nishati mwilini huwa ni makubwa zaidi ya kiasi cha Nishati iliyoingizwa mwili hivyo kupelekea mwili kupungua uzito kupitia kuunguza mafuta ya ziada yanayotunzwa katika sehemu mbali mbali za mwili kama vile Chini ya Ngozi na ndani ya viungo. Ukianza kufunga hakikisha pia chakula unachotumia kuvunja funga yako (breakfast) kiwe kisiwebkila chakula chenye Nishati nyingi sana (High caloric value) kama vile ugali mkubwa, sahani iliyojaa wali na mihogo n.k. Kumbuka mtu akiwa katika haki ya kushiba chakula kinchotumika sana ni kile alichotoka kula kilichotunzwa hakivunjwi vunjwi hata kidogo na kama mtu amefunga chakula huvunjwa katika mtiririko huu

Wanga > Mafuta > Protini. Kwahiyo kama haujala mwili hauna wanga, mafuta hutumika kuzalisha nishati na kama mafuta yameisha Protini hutumika (Autolysis). Swali linaweza kuwa ni kufunga kwa namna ganj kwafaa kati ya ile kufunga mfululizo(continuous fasting) au kufunga kwa kurusha siku (intermittent fasting), mimj nakuambia Tumia intermittent fasting. Has been proven effective enough to make your body loose weight.

2. Kupunguza kula wanga(Cutting off carbs) : Wanga umeonekana kuwa ndio chanzo kikubwa cha mafuta mwilini. Hivyo sasa, ili kuzuia mafuta yaliyotunzwa mwilini kuongezeka tunapunguza ulaji wa wanga na kuhamia kula vyakula kama Nyama (Protein) na Mboga za majani. Kufanya hivi hupelekea mwili kuanza kutumia mafuta ya yaliyotunzwa kabla kuzigeukia protini. Hivyo hii nayo inasaidia kupungua uzito. Na kiasi cha wanga unapaswa kula kama unataka kupungua uzito kiwango cha ngumi yako.

3. Kufunga kula huku ukinywa maji tu. Hii njia inaweza kukupa matokeo within 7days unaisha kabisa bila hata kuhangaika sana. Swali je, utaweza kujizuia kula kwa hizo siku zote huku ukiwa unakunywa maji tu? Inawezekana sana ila fanya kwa kuruka siku moja moja (intermittent fasting).

4. Achana na hizi tabia : Acha kunywa pombe usiku na uende kulala, acha kula sana usiku na uende kulala muda huo huo, punguza matumizi ya sukari au vyakula au vinywaji vyenye sukari nyingi, Acha tabia kula usiku muda umeenda sana jizoeze kula chakula chako cha usiku saa moja jioni kama ilivyokuwa boarding schools.

Kama umeisoma hii na unataka niendelee, Quote tena na andika More
Ushauri mzuri pia ubarikiwe japo ni mtihani kufunga bila kula siku 7
 
Iko hivi ndugu mleta maada. Wazungu wanasema Unlearn to Learn. Kuna njia nyingi sana ambazo watu huzishauri zitumike katika kupunguza uzito na njia hizi zinapishana katika ufanisi wa kuleta matokeo tarajiwa. Ili uweze kupungua uzito ni lazima matumizi ya Calories katika mwili wako yawe makubwa zaidi ya kiasi unachoingiza mwilini mwako (Energy consumed
1. Kufunga kula: Njia hii ya kufunga kula kwa masaa 12 hadi 24 imekuwa na uwezo mkubwa sana (40%) wa kuleta matokeo. Katika njia hii Matumizi ya Nishati mwilini huwa ni makubwa zaidi ya kiasi cha Nishati iliyoingizwa mwili hivyo kupelekea mwili kupungua uzito kupitia kuunguza mafuta ya ziada yanayotunzwa katika sehemu mbali mbali za mwili kama vile Chini ya Ngozi na ndani ya viungo. Ukianza kufunga hakikisha pia chakula unachotumia kuvunja funga yako (breakfast) kiwe kisiwebkila chakula chenye Nishati nyingi sana (High caloric value) kama vile ugali mkubwa, sahani iliyojaa wali na mihogo n.k. Kumbuka mtu akiwa katika haki ya kushiba chakula kinchotumika sana ni kile alichotoka kula kilichotunzwa hakivunjwi vunjwi hata kidogo na kama mtu amefunga chakula huvunjwa katika mtiririko huu

Wanga > Mafuta > Protini. Kwahiyo kama haujala mwili hauna wanga, mafuta hutumika kuzalisha nishati na kama mafuta yameisha Protini hutumika (Autolysis). Swali linaweza kuwa ni kufunga kwa namna ganj kwafaa kati ya ile kufunga mfululizo(continuous fasting) au kufunga kwa kurusha siku (intermittent fasting), mimj nakuambia Tumia intermittent fasting. Has been proven effective enough to make your body loose weight.

2. Kupunguza kula wanga(Cutting off carbs) : Wanga umeonekana kuwa ndio chanzo kikubwa cha mafuta mwilini. Hivyo sasa, ili kuzuia mafuta yaliyotunzwa mwilini kuongezeka tunapunguza ulaji wa wanga na kuhamia kula vyakula kama Nyama (Protein) na Mboga za majani. Kufanya hivi hupelekea mwili kuanza kutumia mafuta ya yaliyotunzwa kabla kuzigeukia protini. Hivyo hii nayo inasaidia kupungua uzito. Na kiasi cha wanga unapaswa kula kama unataka kupungua uzito kiwango cha ngumi yako.

3. Kufunga kula huku ukinywa maji tu. Hii njia inaweza kukupa matokeo within 7days unaisha kabisa bila hata kuhangaika sana. Swali je, utaweza kujizuia kula kwa hizo siku zote huku ukiwa unakunywa maji tu? Inawezekana sana ila fanya kwa kuruka siku moja moja (intermittent fasting).

4. Achana na hizi tabia : Acha kunywa pombe usiku na uende kulala, acha kula sana usiku na uende kulala muda huo huo, punguza matumizi ya sukari au vyakula au vinywaji vyenye sukari nyingi, Acha tabia kula usiku muda umeenda sana jizoeze kula chakula chako cha usiku saa moja jioni kama ilivyokuwa boarding schools.

Kama umeisoma hii na unataka niendelee, Quote tena na andika More
Mkuu umeelezea vyema. Hapo kwenye namba 4 hata mimi nilikuwa na huo ujinga wa kula saa 7 usiku kisha kulala. Haikuchukua hata miezi mitatu nikaanza kuvaa Tshirt XXL huku wananchi wakinisifu nimenenepa bila kujua tayari nimeanza kununua nguo mpya kuendana na size. Nilipokuja kugundua nikaacha upuuzi. Ikishapita saa 4 basi nakula kdg ya kusaidia tu pakuche badala ya saa 7 usiku kufakamia kama mzee Tola. Bahati nzuri ule unene ulitoweka nikarudi kawaida.
 
Kwa siku 45 ni likua silii mchana na kula tu asubuhi chai ya ragi na sikonzi moja na yai moja mchana na piga ndefu ucku ndo na kula wanga kidogo na chai ndo nalala, kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kdgo kwa lengo la kupunguza kilo ni toke 94kg ni rudi 89kg za awali kabla ya holiday.

Jana ndo nilienda kupima nione ni mepungua ngapi on my surprise ni meingia 103kg.
Natimiza hivo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila ana chezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona ntajiachia tu litakalo kua na liwe buana.
Kuna uwezekano mkubwa ya kwamba ulicho gain sio fat ila ni muscles, hivyo kwenye scale uzito ukaona umeongezeka lakini sio kwamba umenenepa.
Njia bora ya kufanya ni kubadilisha kabisa mfumo ya maisha yako kwnye kula, usijaribu hesabu calories sababu njia hiyo huwa haidumu kukuwezehsha pungua kwa muda mrefu .
Cha kufanya , jaribu kushi kama mtu mwenye ugonjwa wa kisukari, ili uweze pata matokeo haraka na utaweza control uzito kama ukiamua hivyo.
Jambo la kufanya ni kuacha kula vyakula vya wanga na sukari .hivyo ndio vinavyo kukupa unene .
Funga (fasting ) jaribu kufunga kwa masaa 16 kwa siku huku ukila mara mbili kwa siku , na mlo mmoja na mwingine upishane masaa 8 , yani unapo amua kula basi kula baada ya hapo kaa masaa nane bila kula kitu cohcote zaidi ya maji na ndio ule tena , baada ya hapo una funga tena kw ma saa 16 ,lakini isiwe mfululizo yani week moja una funga masaa 16 na week nyingine una kula kawaida ila unaepuka vyakula vya wanga na sukari, hiyo ita saidia mwili wako usiweze adapt mabadiliko hayo na kuzoea nakuacha kukufanya upungue uzio kwa kutengeneza resistance .
Fanya mazoezi, hapo kwenye mazoezi yasiwe yale ya "No pain no gain" na kufanya mazoezi magumu kama yale wano dance kule gym na kudhani ni Aerobics wakati yake ni Anaerobic, ambapo huwa sio mazuri kwa mtu anaye taka kupungua , hivyo epuka mazezi yoyote yanao julikana kama Anaerobics .
Una weza beba chuma kama kawaida ,ila zoezi zuri ambalo liatauwezesha kupungua ni kutembea kwa miguu (Aerobics) kwa dakika 45 - 1hr , hiyo ni tosha .
Again Epuka zaidi mazoezi ya Anerobics,hayo mara nyini yana kufanya una gain weight sababu yana tumia sukari (Glucose) kukupa nguvu na matokeo yake unapatwa na njaa kubwa na kuanza kula zaidi . Mazoezi mengine ambayo ni mazuri kwenye kupingua ni yale ya jilikanayo kama High-Intensity Interval Training (HIIT) , haya ni mazuri sababu yana choma mafuta kwa haraka zaidi na hata ukimaliza bado yanachmeka kwa kuendelea yani wanaita After effct burning , naomba google HIIT ujifunce namna ya kufanya kwa maelezo ni marefu ku type hapa.
Diet , je ule nini? usiwasikileze hawa wanao kuambia sijui acha nyama nyekundu sijui vyakula vya mafuta, wote hao hawako sahihi, mafuta unayo paswa kuepuka na ni yale yalio sindikwa na yale yasio salama yanayo tokana na pia ulaji wa wanga.
Mafuta ya nyama hayana matatizo yoyote na hayana uwezo wa kupandisha sukari kwnye damu yako. hivyo unapasw akuzingatia diet za iina hii ili uweze pungua.
Diet ya kwanza ni Keto Diet , hii ni ngumu kinamna fualani ila ukiiweza ni zuri sana ( Google it)
Diet nyingine ni inaitwa LOw card diet , hii piaunaach kula vyakula vya wanga na sukari kwa namna fulani , ina kwenda kwa ufanisi zaidi kama uta combine pamoja na kufunga na mazoezi .
Ule nini kwenye Low carB Diet?
1.Nyama aina zote .( Proteins)
2.Matunda mfano Apples ,berries ,Avocado ( epuka matunda yote ya tropical sababu yana sukari na wanga kwa wingi)
3. Mboga mboga , ni muhimu kutumia mboga zenye kiwango kidogo sana cha wanga, mboga nyingi za kwetu zina wanga kw akiasi kukubwa , hivy nakushauri tumia mboga hizi ambazo na uhakika kiwango chake cha wanga ni kidogo sana , ila huwa ni ghali nazo ni -
( A) Green Beans
( B) Cauliflower
(C) Broccoli.
Zipo mboga iana nyingine ila na zo zifahamu kwa uhakika ni hizo .
Utakuwa na hamu ya kula kitu kama Ugali au wali kuweza kula na hivyo , jibu ni kwamba usigyse vyakula hiyo , jaribu kutumia Magimbi kama ,wanga , sababu magimbi ni mazuri haya pandishi sukari kwnye damu na hivyo huwa haya nenepeshi.
Katika vyakula jaribu kutumia mafuta haya kwnye mapishi yako mafuta muri ni haya tuu
1.Olive Oil
2.Coconut oil
3.Avocado Oil
La mwisho ni kwamba hakikisha unaondoa stress kwnye maisha yako , stress ni chanzo kikubwa nacho ya kunenepa , pia unapaswa upate muda mzuri wa kupumzika , yani kulala, upate usingizi uio na quality .
Fanya hivyo kwa muda wa mwezi tuu utaona tofauti kubwa sana , na utakapo ona una pungua sana basi ndio ale una kuw aun apunguza kwa kula wanga kidogo ili usije pungua ukabaki kijiti ,Kilala Kheri
 
Mkuu umeelezea vyema. Hapo kwenye namba 4 hata mimi nilikuwa na huo ujinga wa kula saa 7 usiku kisha kulala. Haikuchukua hata miezi mitatu nikaanza kuvaa Tshirt XXL huku wananchi wakinisifu nimenenepa bila kujua tayari nimeanza kununua nguo mpya kuendana na size. Nilipokuja kugundua nikaacha upuuzi. Ikishapita saa 4 basi nakula kdg ya kusaidia tu pakuche badala ya saa 7 usiku kufakamia kama mzee Tola. Bahati nzuri ule unene ulitoweka nikarudi kawaida.
Ni vizuri ulishituka mapema ndugu yangu.
 
kuna muscle mass
kuna muscle strength izo pushap unapiga chache sana unaongeza mass, bora uache kama unapenda piga nyingi upate strength, kama unapunguza. mwili fanya sana mazoezi ya cadio kama kukimbia na kutuka kamba +water drinking water into an empty stomach kila siku asubuhi, amka mapema
 
Kuna uwezekano mkubwa ya kwamba ulicho gain sio fat ila ni muscles, hivyo kwenye scale uzito ukaona umeongezeka lakini sio kwamba umenenepa.
Njia bora ya kufanya ni kubadilisha kabisa mfumo ya maisha yako kwnye kula, usijaribu hesabu calories sababu njia hiyo huwa haidumu kukuwezehsha pungua kwa muda mrefu .
Cha kufanya , jaribu kushi kama mtu mwenye ugonjwa wa kisukari, ili uweze pata matokeo haraka na utaweza control uzito kama ukiamua hivyo.
Jambo la kufanya ni kuacha kula vyakula vya wanga na sukari .hivyo ndio vinavyo kukupa unene .
Funga (fasting ) jaribu kufunga kwa masaa 16 kwa siku huku ukila mara mbili kwa siku , na mlo mmoja na mwingine upishane masaa 8 , yani unapo amua kula basi kula baada ya hapo kaa masaa nane bila kula kitu cohcote zaidi ya maji na ndio ule tena , baada ya hapo una funga tena kw ma saa 16 ,lakini isiwe mfululizo yani week moja una funga masaa 16 na week nyingine una kula kawaida ila unaepuka vyakula vya wanga na sukari, hiyo ita saidia mwili wako usiweze adapt mabadiliko hayo na kuzoea nakuacha kukufanya upungue uzio kwa kutengeneza resistance .
Fanya mazoezi, hapo kwenye mazoezi yasiwe yale ya "No pain no gain" na kufanya mazoezi magumu kama yale wano dance kule gym na kudhani ni Aerobics wakati yake ni Anaerobic, ambapo huwa sio mazuri kwa mtu anaye taka kupungua , hivyo epuka mazezi yoyote yanao julikana kama Anaerobics .
Una weza beba chuma kama kawaida ,ila zoezi zuri ambalo liatauwezesha kupungua ni kutembea kwa miguu (Aerobics) kwa dakika 45 - 1hr , hiyo ni tosha .
Again Epuka zaidi mazoezi ya Anerobics,hayo mara nyini yana kufanya una gain weight sababu yana tumia sukari (Glucose) kukupa nguvu na matokeo yake unapatwa na njaa kubwa na kuanza kula zaidi . Mazoezi mengine ambayo ni mazuri kwenye kupingua ni yale ya jilikanayo kama High-Intensity Interval Training (HIIT) , haya ni mazuri sababu yana choma mafuta kwa haraka zaidi na hata ukimaliza bado yanachmeka kwa kuendelea yani wanaita After effct burning , naomba google HIIT ujifunce namna ya kufanya kwa maelezo ni marefu ku type hapa.
Diet , je ule nini? usiwasikileze hawa wanao kuambia sijui acha nyama nyekundu sijui vyakula vya mafuta, wote hao hawako sahihi, mafuta unayo paswa kuepuka na ni yale yalio sindikwa na yale yasio salama yanayo tokana na pia ulaji wa wanga.
Mafuta ya nyama hayana matatizo yoyote na hayana uwezo wa kupandisha sukari kwnye damu yako. hivyo unapasw akuzingatia diet za iina hii ili uweze pungua.
Diet ya kwanza ni Keto Diet , hii ni ngumu kinamna fualani ila ukiiweza ni zuri sana ( Google it)
Diet nyingine ni inaitwa LOw card diet , hii piaunaach kula vyakula vya wanga na sukari kwa namna fulani , ina kwenda kwa ufanisi zaidi kama uta combine pamoja na kufunga na mazoezi .
Ule nini kwenye Low carB Diet?
1.Nyama aina zote .( Proteins)
2.Matunda mfano Apples ,berries ,Avocado ( epuka matunda yote ya tropical sababu yana sukari na wanga kwa wingi)
3. Mboga mboga , ni muhimu kutumia mboga zenye kiwango kidogo sana cha wanga, mboga nyingi za kwetu zina wanga kw akiasi kukubwa , hivy nakushauri tumia mboga hizi ambazo na uhakika kiwango chake cha wanga ni kidogo sana , ila huwa ni ghali nazo ni -
( A) Green Beans
( B) Cauliflower
(C) Broccoli.
Zipo mboga iana nyingine ila na zo zifahamu kwa uhakika ni hizo .
Utakuwa na hamu ya kula kitu kama Ugali au wali kuweza kula na hivyo , jibu ni kwamba usigyse vyakula hiyo , jaribu kutumia Magimbi kama ,wanga , sababu magimbi ni mazuri haya pandishi sukari kwnye damu na hivyo huwa haya nenepeshi.
Katika vyakula jaribu kutumia mafuta haya kwnye mapishi yako mafuta muri ni haya tuu
1.Olive Oil
2.Coconut oil
3.Avocado Oil
La mwisho ni kwamba hakikisha unaondoa stress kwnye maisha yako , stress ni chanzo kikubwa nacho ya kunenepa , pia unapaswa upate muda mzuri wa kupumzika , yani kulala, upate usingizi uio na quality .
Fanya hivyo kwa muda wa mwezi tuu utaona tofauti kubwa sana , na utakapo ona una pungua sana basi ndio ale una kuw aun apunguza kwa kula wanga kidogo ili usije pungua ukabaki kijiti ,Kilala Kheri
Ahsante kwa ushauri maridha japo vya kula umeweka kwa kiingereza hizo Green beans ni zipi kwa kiswahili.....
 
kuna muscle mass
kuna muscle strength izo pushap unapiga chache sana unaongeza mass, bora uache kama unapenda piga nyingi upate strength, kama unapunguza. mwili fanya sana mazoezi ya cadio kama kukimbia na kutuka kamba +water drinking water into an empty stomach kila siku asubuhi, amka mapema
Push up nipige ngapi ili ziwe na matokeo chanya kama 30 ni ndogo ila jua mwili unachoka nikifanya mazoezi kwa mda mrefu nakuanza kutetemeka.
 
Ishu kubwa ni kuwa una papara ya kuona matokeo ya kupungua uzito na pia inaonesha kuwa si mtu mwenye shukrani kwa kile kidogo unachokipata.

Hujawahi kuwaza kuwa hiyo kg moja iliyopungua kutoka katika mafuta ya mwili wako ni mafanikio kwako?!

Kupungua uzito hufuata utaratibu uleule wa inverted S-curve...mwanzo utaona kuwa unapungua uzito kwa taratibu mno kiasi kwamba unaweza kukata tamaa halafu itaingia stage utapoteza uzito kwa kasi sana mpaka utafika mahali uzito utakuwa constant ,haupungui wala hauongezeki
 
Kwa siku 45 nilikua silii mchana, nakula tu asubuhi chai ya ragi na skonzi moja na yai moja, mchana napiga ndefu, usiku ndio nakula wanga kidogo na chai ndio nalala. Kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kidogo kwa lengo la kupunguza kilo, nitoke Kg 94 nirudi Kg 89 za awali kabla ya holiday.

Jana ndio nilienda kupima nione ni mepungua ngapi, to my surprise nimeingia Kg 103! Natimiza hivyo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila anachezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona nitajiachia tu litakalokuwa na liwe bwana.
Keep in mind Unene au uzito mkubwa uendane na kuwa na pesa...la sivyo ni adhabu!
 
Kwa siku 45 nilikua silii mchana, nakula tu asubuhi chai ya ragi na skonzi moja na yai moja, mchana napiga ndefu, usiku ndio nakula wanga kidogo na chai ndio nalala. Kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kidogo kwa lengo la kupunguza kilo, nitoke Kg 94 nirudi Kg 89 za awali kabla ya holiday.

Jana ndio nilienda kupima nione ni mepungua ngapi, to my surprise nimeingia Kg 103! Natimiza hivyo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila anachezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona nitajiachia tu litakalokuwa na liwe bwana.
Mkuu pole kwa kujitahidi kupunguza uzito lakini unajikuta unarudi pale pale nitafute mimi nikupe dawa upate kupunguw auzito wako.
 
Matokeo ya diet yako huwezi kuyaona ndani ya mwezi tu...unatakiwa uyapime kwa kipindi cha miezi 6 pia kama unaweza ni vyema ukawa una skip kunywa chai asubuhi ila kula nyama nyeupe kidogo, matunda na mboga mboga mchana na usiku kula kidogo. Baada ya miezi 6 utaona matokeo makubwa mno unaweza kushuka kilo mpaka 85-90
 
Ishu kubwa ni kuwa una papara ya kuona matokeo ya kupungua uzito na pia inaonesha kuwa si mtu mwenye shukrani kwa kile kidogo unachokipata.

Hujawahi kuwaza kuwa hiyo kg moja iliyopungua kutoka katika mafuta ya mwili wako ni mafanikio kwako?!

Kupungua uzito hufuata utaratibu uleule wa inverted S-curve...mwanzo utaona kuwa unapungua uzito kwa taratibu mno kiasi kwamba unaweza kukata tamaa halafu itaingia stage utapoteza uzito kwa kasi sana mpaka utafika mahali uzito utakuwa constant ,haupungui wala hauongezeki
Hiyo s-curve ndo inakua je aina kiswahili chake, na jingine mimi sijapungua hata kilo moja ndani ya mwezi moja nimeongezaka kilo 9. Pamoja na kufanya mazoezi ya kupungua.
 
Mkuu pole kwa kujitahidi kupunguza uzito lakini unajikuta unarudi pale pale nitafute mimi nikupe dawa upate kupunguw auzito wako.
Weka hapa madini Dr ili upate wateja zaidi watu ukiwaomba aje inbox wanadhani kupigwa tu usihofu toa ushauri wako mkuu
 
Push up nipige ngapi ili ziwe na matokeo chanya kama 30 ni ndogo ila jua mwili unachoka nikifanya mazoezi kwa mda mrefu nakuanza kutetemeka.
kutetemeka ni dalili jinsi ghan uko weak, nskushauri ach pushup ganya cadio tu
 
kutetemeka ni dalili jinsi ghan uko weak, nskushauri ach pushup ganya cadio tu
Yeah am week physically nalijua hilo sijakualia kwenye kazi ngumu japo kwenye gym nilikua na jitahidi sana kunyanyua vyuma....sasa hayo mazoezi ya Cadio ni yapi mkuu? Fafanua plz.
 
Back
Top Bottom