kupunguza unene inawezekana hasa has ukifuata , utaratibu ufuatayo
-Kupunguza , vyakula vya wanga, ugari wa sembe,wali, n.k, kupunguza uraji wa nyama hasa hasa nyama choma, na kuku hawa wa kisasa
-Asubuhi inatakia ulee chapati moja, na chai au kuacha kabisa
-Mchan kula matunda, inaweza kua ndizi 2 au parachichi moja
-Usiku unaweza kula ugari kidogo au wali kidogo
utaamua , mchana ule matunda au usiku ndo ule matunda
-UKIFANYA MAZOEZI, LAZIMA UTAKULA SAANA NA UTANENEPA , MAZOEZI HAYAPUNGUZI UZITO MBALI YANAONGEZA
nimefanya hao kwa mda wa miezi 5 nimepungua kutoka 70 to 56,