Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

Kuna ile mwanaume analala chini (chali) halaf mwanamke anakaa kwa juu. Anakua anakatikia. Hadi achoke.

Kifupi mwenye uzito mkubwa ndio anatakiwa awe chini.
Hiyo sitaili sio ya kuzaa mtoto haitungi mimba........
 
Mbona mkopo mkuu nilikua nao mkubwa zaidi nilisha umaliza vizuri haukunipa shida kabisa, tena kipindi cha mkopo ndo niliongezeka kilo zingine sita kutoka 84 hadi 90.
Jaribu stress za mapenzi zinasaidia kupunguza mwili
 
Jaribu stress za mapenzi zinasaidia kupunguza mwili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu uko nimesha pitia kwote hi ni ndoa yangu ya nne tulisha shindana baada ya stress kama hizo ila sikupungua nilianza mahusiano 2006 nikiwa na 79kg sasa ni hesabie nina 100+ hilo halikunisaidia kabisa pia.
 
Kwahiyo mwili utaendelea kutunza hayo mafuta mpaka lini? Matharani mimi nimeamua kufunga kutwa bila chakula zaidi ya matunda tu, ila usuku saa mbili na kula kipande cha jimbi na greens nataka nifanye hivo kwa mwezi mzima nione matokeo yatakuaje...sasa kwa sitaili hiyo pia mwili utaficha au kutunza yale mafuta?
Mwili utakua una punguza namna ya kuchoma mafuta sababu utagundua chakula hakiji kwa wakati, mwili una akili nyingi na unajua namna ya kuji hami , hivyo una weza pungua kwa kiasi tuu na kama ni mnene teari na una kitambi, ina weza ikaw angumu zaidi kuondoa kitambi hivho zaidi .
Unapo kula matunda inategemea ni matunda yepi na kwa kiwango gani, matunda ya kitropiki yana sukari na wanga kwa wingi na ndio chanzo kikubwa cha mafuta kwnye mwilini ,mafuata yalo mwilini ni kw akiasi kikubwa husababishwa na sukari na wanga, sababu kubwa ni kwamba, wanga na sukari vikisha badilishwa vina kuwa glucose na glucose ikijaa mwilini huja badilishwa kupitia Insuline na kuwa mafuata kupitia kwnye Inni , hivyo kama unakula matunda kwa wingi basi pia unakula sukari aina ya Fructoce ambayo huenda moja kwa moja kwenye inni na huko pia hubadilishwa kuja kuwa fat .
Kama unapenda matunda jaribu zaidi kula matunda kama Berries ,Apples na Acocado ( avcado kitaalam sio tunda Ila tunaita tunda tuu) ni zuri lina good fat.
 
Naomba unitajie vyakula visivyo kua na wanga ukiondoa hayo matunda.
Ni vichache sana na pia vina wnga ila kwa kaisi kidogo sana, Una weza kula Magimbi ,green beand,Cauliflour na Brocoli , na ukala kwa kisasi nyama ain zote ( swajai hao wanao sema red meat uepuke0 na ukala matund akama Apples ,berries na Avocado, sija fnya research kubw ya kujua vyakula vingine ni vipi, ila hivyo kwauhakika ukiwa unakula utaweza loose weight kwa njia bora zaidi
 
Kosa lako kula vyakula vya wanga usiku, ilitakiwa usiku ule matunda tu, na hivyo vyakula wanga achana navyo.
Hata matund apia yana sukari a wanga , tena wale wanao kunywa juice ndio mbaya zaidi inakua hakuna tofauti sana na anaye kunywa Coca Cola.
Matunda ya ki tropical karibu yote yana wanga an sukari , hivyo kula kw akiwango kidogo sana au kuacha kabisa na kuanza kula matunda kama Apples na aina za berries ,pamoja na Acoccados ,Kumbuka Matunda yana aina ya sukari ijulikanayo kama Fructose ambayo pia ukila sana ndio una wez apata na tatizo la Fatty liver au hat kuzidi nenepa.
 
Kwa siku 45 nilikua silii mchana, nakula tu asubuhi chai ya ragi na skonzi moja na yai moja, mchana napiga ndefu, usiku ndio nakula wanga kidogo na chai ndio nalala. Kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kidogo kwa lengo la kupunguza kilo, nitoke Kg 94 nirudi Kg 89 za awali kabla ya holiday.

Jana ndio nilienda kupima nione ni mepungua ngapi, to my surprise nimeingia Kg 103! Natimiza hivyo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila anachezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona nitajiachia tu litakalokuwa na liwe bwana.i
Ili upungue Uzito unaoutaka haraka mtafute Mtu yoyote kisha kwa Siku Saba mfululizo bishana nae kwa Hasira kuhusu Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu utaona utakavyopungua.

Kila la Kheri.
 
Keto diet ikoje
Inajualikana kama Ketogenic diet ni diet moja ina masharti labda niseme ya kisayansi zaidi na ukikosea tuu unatoka kwnye hiyo hali inaitwa Ketosis ,.
Ni diet ambayo ina limit kabisa utumiaji wa wanga na sukari wa kaiwango kikubwa , sija ifuatilia vizuri sababu kwangu nimona ni ngumu sana ,ila ndio diet bora sana kiafya na ina wez aondoa magonjw amengi yaso ambukiza na kuondoa kabisa hili suala la hali ya kuwa na Insulin resistance ,sababu sababisha mwili kuacha kutumia Glucose kupata nguvu na badala yake mwili unatumia fat kupata nguvu na hivyo uchomaji wa fat unakua mkubwa zaidi na kukufanya upungue na kuwa fiti zaidi maana ni Ketons ndio zinakufanya uweza choma mafuta .Jaribu ku google hiyo Diet kw amaelezo ya umakini zaidi.
 
Weka hapa madini Dr ili upate wateja zaidi watu ukiwaomba aje inbox wanadhani kupigwa tu usihofu toa ushauri wako mkuu
Funga aka kaa na njaa kuanzia saa 11 alfajiri mpaka saa 1 usiku na ikifika usiku kula chakula usile tena mpaka kesho yake usiku. Na wakati wa usiku kunywa maji ya uvuguvugu glasi 8 fanya kufunga kwa siku 90 utapunguwa pasipo na kutumia dawa yoyote ile.
 
Ili upungue Uzito unaoutaka haraka mtafute Mtu yoyote kisha kwa Siku Saba mfululizo bishana nae kwa Hasira kuhusu Uwekezaji wa DP World na Bandari zetu utaona utakavyopungua.

Kila la Kheri.
Njoa hiyo yes ina wez akukufanya upungue ila sio ya kiafya sababu hapo ni stress ndio inayo kufanya uweze
Funga aka kaa na njaa kuanzia saa 11 alfajiri mpaka saa 1 usiku na ikifika usiku kula chakula usile tena mpaka kesho yake usiku. Na wakati wa usiku kunywa maji ya uvuguvugu glasi 8 fanya kufunga kwa siku 90 utapunguwa pasipo na kutumia dawa yoyote ile.
Kweli kabisa kwa maana hiyo ni Intermittent fasting .
 
Kiwango Cha mazoezi Bado ni kidogo sana unachofanya...Mimi huwa nikiamua nikate hata kg 2 au 3 Kwa wiki naweza Sana..naweza kimbia km more than 10 bila kusimama Kwa wiki Mara 4 inatosha...halafu kama wadau wanavosema chakula Kina mchango sana.usiku kabla hujalala usile wanga maana naona Bado unakula na ukienda kulala huo unachangia pia...

Asubuhi ukiamka piga maji ya vuguguvu au maji ya ndimu..wahi kwenye shughuli zako..then badae ndio unywe chai kama kawaida na mchana kula kama kawaida...jioni piga zoezi hasa namaanisha " hivi ulishawahipiga zoezi Hadi asubuhi ukiamka unajihisi mwepesi nakama Kuna mzigo umeondoka na kujisikia Raha" kama hujafikia hiyo level basi Bado zoezi lako liko chini....usiku usile wanga unaweza kula matunda yasiyo na sukari nyingi pendelea kula parachichi au tango etc ila sio ndizi au tikiti maji....
Ukifanya ivo nahakika 100 percent utakata kilo..

Not sustainable
 
Chalula chq Asubuhi ndo balaa hqkitakiwi kabisa.

Iyo yq kuitwa chai ya asubui ndo imachangia zaidi uzito
 
Covax Njia nyingi wanazokupa wadau sio sustainable in the long run.

Njia unayotumia Sasa ni sahihi na inafanya kazi ila hujaipa muda kuona matunda yake. Kifupi you're on the right track.

Sababu umepunguza intake ya chakula mwili umeshtuka na response yake ni water retention. Hiyo weight uliyoongezeka kwa asilimia kubwa ni maji na mwili unajitahidi kutunza all the energy it can maana umegundua huli kama hapo awali.

Ukiendelea hivyo hivyo bdae mwili utazoea na utaacha kufanya retention hapo ndo utaona drop in weight. Hii itachukua muda kidogo sio mwezi mmoja au miwili ila ni njia sahihi na unayoweza ifanya kwa muda mrefu badala ya njia zingine za kujitesa wanazokupa watu. Ukitaka kujua hii njia inafanya kazi usiangalie weight angalia size, utaona nguo zinakutosha vizuri bila kubana. Utaona umekua mwepesi badala ya 30 pushups utapiga 40 bila kuchoka ilhali scale inasema umeongezeka.

Only change I'd advise is, kula mchana vizuri kabisa wanga na msosi wowote ule ila usiku ndo piga ndefu au kunywa chai au mboga kidogo/matunda yasiyo na sukari.
 
Covax Njia nyingi wanazokupa wadau sio sustainable in the long run.

Njia unayotumia Sasa ni sahihi na inafanya kazi ila hujaipa muda kuona matunda yake. Kifupi you're on the right track.

Sababu umepunguza intake ya chakula mwili umeshtuka na response yake ni water retention. Hiyo weight uliyoongezeka kwa asilimia kubwa ni maji na mwili unajitahidi kutunza all the energy it can maana umegundua huli kama hapo awali.

Ukiendelea hivyo hivyo bdae mwili utazoea na utaacha kufanya retention hapo ndo utaona drop in weight. Hii itachukua muda kidogo sio mwezi mmoja au miwili ila ni njia sahihi na unayoweza ifanya kwa muda mrefu badala ya njia zingine za kujitesa wanazokupa watu. Ukitaka kujua hii njia inafanya kazi usiangalie weight angalia size, utaona nguo zinakutosha vizuri bila kubana. Utaona umekua mwepesi badala ya 30 pushups utapiga 40 bila kuchoka ilhali scale inasema umeongezeka.

Only change I'd advise is, kula mchana vizuri kabisa wanga na msosi wowote ule ila usiku ndo piga ndefu au kunywa chai au mboga kidogo/matunda yasiyo na sukari.
Sasa leo nimetimiza wiki bila kugusa chakula cha wanga nyingi kama wali, maharage ugali nyama au samaki, asubuhi na kunywa chai ya tangauzi na juice ya limao yenye maji maji ya vugu vugu, mshana na shindia vipande vya matunda kama tikiti, chungwa, na embe, usiku saa mbili na nusu kula gimbi kipande na spinach strictly hiyo ndo routine ya kula, ntaendelea hivi kwa zaidi ya siku 23 nifikishe mwezi ndo nipime nione hali itakua je.
 
Chalula chq Asubuhi ndo balaa hqkitakiwi kabisa.

Iyo yq kuitwa chai ya asubui ndo imachangia zaidi uzito
Kwahiyo asubuhi ni sile kabisa mpaka saa ngapi ndo niweke kitu ndani.
 
Back
Top Bottom