Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

Kiwango Cha mazoezi Bado ni kidogo sana unachofanya...Mimi huwa nikiamua nikate hata kg 2 au 3 Kwa wiki naweza Sana..naweza kimbia km more than 10 bila kusimama Kwa wiki Mara 4 inatosha...halafu kama wadau wanavosema chakula Kina mchango sana.usiku kabla hujalala usile wanga maana naona Bado unakula na ukienda kulala huo unachangia pia...

Asubuhi ukiamka piga maji ya vuguguvu au maji ya ndimu..wahi kwenye shughuli zako..then badae ndio unywe chai kama kawaida na mchana kula kama kawaida...jioni piga zoezi hasa namaanisha " hivi ulishawahipiga zoezi Hadi asubuhi ukiamka unajihisi mwepesi nakama Kuna mzigo umeondoka na kujisikia Raha" kama hujafikia hiyo level basi Bado zoezi lako liko chini....usiku usile wanga unaweza kula matunda yasiyo na sukari nyingi pendelea kula parachichi au tango etc ila sio ndizi au tikiti maji....
Ukifanya ivo nahakika 100 percent utakata kilo..
 
Mgongo uliniuma siku ya kulima njia ili tupitishe gari mvua zilileta mchanga na tope likaziba hiyo njia yetu, nilitumia kama 45min kuweka njia, kesho yake mgongo uliniuma mpaka basi, sio kuonsha viombo na kudeki tu.
hahahah hatari!
 
Kulaaa mzeee km ndio starehe Yako mkuu,,mm asubuh naamka na chapati tatu za jero jero na supu ya buku mbili mix juice ,mchana nakulaa Dona la mama ntilie ,ucku geto naruka hata na wali mboga mboga mix matunda maji yakutosha n vile tu cna mwili wenye shukran mkuu cjawahi ongezeka zaidi ya kilo 69 Wala kitambi cna Wala mwilii[emoji23][emoji23]
Wewe uko kama mimi
 
Ni simple. Unaitenga siku into two blocks .16hrs/8rs.
Kwenye 16 hrs unafunga (fasting) but unaruhusiwa kunywa maji na vinywaji ambavyo havina sukari wala kemikali za viwandani.
Kwenye hizo 8hrs zingine ndo unakula.
So inshort, mlo wako wa kwanza uanzie saa sita mchana na wa mwisho uwe by saa mbili usiku. Masaa mengine yote yaliyobaki haukuli menu yoyote zaidi ya maji n.k
 
Ni simple. Unaitenga siku into two blocks .16hrs/8rs.
Kwenye 16 hrs unafunga (fasting) but unaruhusiwa kunywa maji na vinywaji ambavyo havina sukari wala kemikali za viwandani.
Kwenye hizo 8hrs zingine ndo unakula.
So inshort, mlo wako wa kwanza uanzie saa sita mchana na wa mwisho uwe by saa mbili usiku. Masaa mengine yote yaliyobaki haukuli menu yoyote zaidi ya maji n.k
Hii hata mimi nilipungua.

Nilikuwa nafanya intermittent fasting.

Asubuhi nilikuwa nafanya mazoezi then nakunywa maji tu,kula tena saa 8 mchana tena nakula parachichi na korosho tena sio sana.

Mana the hidden truth ni kwamba kuna eakati miili yetu inasikia njiaa huea inahitaji maji tu ili ipoze njaa hiyo na sio chakula.

"KUNA UNAPOJISIKIA NJAA,NA USILE UKASHIBA" that's all
 
Ni simple. Unaitenga siku into two blocks .16hrs/8rs.
Kwenye 16 hrs unafunga (fasting) but unaruhusiwa kunywa maji na vinywaji ambavyo havina sukari wala kemikali za viwandani.
Kwenye hizo 8hrs zingine ndo unakula.
So inshort, mlo wako wa kwanza uanzie saa sita mchana na wa mwisho uwe by saa mbili usiku. Masaa mengine yote yaliyobaki haukuli menu yoyote zaidi ya maji n.k
Mkuu mbona hiyo formular ni hatari kwangu mimi nilikua nafunga kuanzia saatatu ucku mpaka saa 1jioni mlo moja kwa siku 45, matokeo yamekua ni kuongezeka kilo sio kupungua.
 
107cm ndo ulefu sijui kama nimekosea
Dah urefu 107 cm.

Punguza uzito mkuu.

Hiyo sio safari ya siku 45 ni safari ya imepungua basi atleast mwaka mmoja.

Haiwezekani kilo 100,urefu 107cm inataka juhudi sana.

Na wala usihangaike na dieti ama vyakula fulani.

Nitakupa njia nzuri za kupungua hapa jamvini
 
kupunguza unene inawezekana hasa has ukifuata , utaratibu ufuatayo

-Kupunguza , vyakula vya wanga, ugari wa sembe,wali, n.k, kupunguza uraji wa nyama hasa hasa nyama choma, na kuku hawa wa kisasa

-Asubuhi inatakia ulee chapati moja, na chai au kuacha kabisa

-Mchan kula matunda, inaweza kua ndizi 2 au parachichi moja

-Usiku unaweza kula ugari kidogo au wali kidogo

utaamua , mchana ule matunda au usiku ndo ule matunda

-UKIFANYA MAZOEZI, LAZIMA UTAKULA SAANA NA UTANENEPA , MAZOEZI HAYAPUNGUZI UZITO MBALI YANAONGEZA

nimefanya hao kwa mda wa miezi 5 nimepungua kutoka 70 to 56,
Ulaji wa yama hauna madhara yoyote kwenye kutaka kupunza uzito , kumbuka nyama ni protin na perotin hai nenepeshi sababu haipandishi sukari ukila kwa kiasi na nyama ina mafuta mazuri ambayo sio tatizo mwilini .
 
Dah urefu 107 cm.

Punguza uzito mkuu.

Hiyo sio safari ya siku 45 ni safari ya imepungua basi atleast mwaka mmoja.

Haiwezekani kilo 100,urefu 107cm inataka juhudi sana.

Na wala usihangaike na dieti ama vyakula fulani.

Nitakupa njia nzuri za kupungua hapa jamvini
Hya na zisubilia kwa hamu mkuu, ila sitaki mbinu za maombi kanisani au kwa mchungaji.
 
Mkuu input lazm ikupe output kama unA mwili mkubwa kibailojia na unakula ovyoo utanenepa hadi ujishangae

Zingatia input itakup output
 
Ulaji wa yama hauna madhara yoyote kwenye kutaka kupunza uzito , kumbuka nyama ni protin na perotin hai nenepeshi sababu haipandishi sukari ukila kwa kiasi na nyama ina mafuta mazuri ambayo sio tatizo mwilini .
Ukiizidisha ni hatari too much of anything is always bad.
 
Punguza vyakula vya wanga kabisa. Kula sana mboga na matunda kwa wingi na endapo chakula chako kitahusisha wanga, basi kula wanga size ya ngumi yako.. Usiache kula mchana na asubuhi maana muda huo Digestion inafanyika vizuri na mwili unahitaji nishati zaidi. Hivyo, Epuka kula chakula kingi wakt wa usiku, au ni heri usiku uache kabisa, na usile na ukaenda kulala muda huohuo maana chakula hakitamen'genywa vizuri na matokeo yake kitawekwa reserve, hence Obesity(Overweight). Mwisho, jitahidi kufanya mazoezi atleast 30 mnts per day au 3 times per week.

Nakutakia mafanikio Mema katk harakati za kupunguza kitambi.

N:B Unene sio mzuri kiafya na ni kisababishj cha maradhi mengi yasiyoambukiza ambayo yamekuwa yakigharimu maisha ya watu na yana gharama kubwa kuyatibu.
 
Kwa siku 45 ni likua silii mchana na kula tu asubuhi chai ya ragi na sikonzi moja na yai moja mchana na piga ndefu ucku ndo na kula wanga kidogo na chai ndo nalala, kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kdgo kwa lengo la kupunguza kilo ni toke 94kg ni rudi 89kg za awali kabla ya holiday.

Jana ndo nilienda kupima nione ni mepungua ngapi on my surprise ni meingia 103kg.
Natimiza hivo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila ana chezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona ntajiachia tu litakalo kua na liwe buana.
Mfatilie Dr Boaz mkumbo insta utapungua hadi ushangae
 
Back
Top Bottom