FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #101
Nachoongea ni facts kwa ushahidi kabisa.Hawa akina Faiza fox ni well trained my friends !! Huyu anauwezo wa kuua hoja in a minute !! kwahyo unapodeal nae kuwa na facts za kumpinga. Huyu hayupo bure uku kama wengi wetu . Nimefatilia nikagundua kwamba nearly 75+% mada zake na michango yake nying ni politics na ni wa upande mmoja. Pia nimegundua kwamba ametoa maoni na positive crédits kwa asilimia 100% kwa Marais wa upande mmoja !! . Pia katika mabishano ya hoja karibu asilimia 80%+ amekuwa akiwin(well trained) narudia tena amekuwa trained sana kwenye eneo hili anaua hoja zinazokinzana na marais mwinyi, kikwete na maza house mlieni tyming mtaona
Hiyo kuwa well trained, nnakuhakikishia sote tuliosoma madrassa utatushangaa.
Indeed we are well trained, kuwa wakweli. Hatumsingizii mtu kitu na hatukisii kabisa.
Tusilolijuwa tutakaa kimya tutafute facts.